.....YES!i am going through the hell,because she makes some silly mistakes and I FO0RGIVE,FORGET then we start over.but she keep making mistakes kila kukicha.
THE WORST PART OF MY MARRIAGE NI KWAMBA,nilipojaribu kumshirikisha kaka yake ili amshauri kuwa makini nimeibua tatizo jingine kubwa.she can't talk to me for three days now.na ananiita mnafiki,na mbeya.nikimwambia tukae tujadili mahusiano yetu hataki tena.ni visilani kila kukicha.
i am going through the hell!i can't keep quite just like that.i have done so much to fight for what belongs to me!
Duh pole mkuu kwa hiyo wewe unafikiriaje maana maamuzi yote yapo juu yako watakuja watu hapa kukwambia achana nae sijui fanya hivi lakini mwisho ya siku wewe ndo utakae amua baada ya kuangalia uzito wa penzi lako kwake na pima uzito wa penzi lake kwako.
i wish ningeyajua haya!i am going through the damn hell!what do i do?Mpwa kama kuna kitu kinawapa jeuri kubwa hawa watu ni ndoa, mimi ndio maana ninaishi na mtu mwaka nne sasa hata discussion ya kuhusu ndoa siruhusu ianze maana visa kama hivyo hawezi kuleta kwenye u boifrend na ugelfrend.
Duh pole mkuu kwa hiyo wewe unafikiriaje maana maamuzi yote yapo juu yako watakuja watu hapa kukwambia achana nae sijui fanya hivi lakini mwisho ya siku wewe ndo utakae amua baada ya kuangalia uzito wa penzi lako kwake na pima uzito wa penzi lake kwako.
.....YES!i am going through the hell,because she makes some silly mistakes and I FO0RGIVE,FORGET then we start over.but she keep making mistakes kila kukicha.
THE WORST PART OF MY MARRIAGE NI KWAMBA,nilipojaribu kumshirikisha kaka yake ili amshauri kuwa makini nimeibua tatizo jingine kubwa.she can't talk to me for three days now.na ananiita mnafiki,na mbeya.nikimwambia tukae tujadili mahusiano yetu hataki tena.ni visilani kila kukicha.
i am going through the hell!i can't keep quite just like that.i have done so much to fight for what belongs to me!
Search in your heart. The answer probably is just a few steps from you. But I understand your position. Be tough you will manage to get through over themMpwa kama kuna kitu kinawapa jeuri kubwa hawa watu ni ndoa, mimi ndio maana ninaishi na mtu mwaka nne sasa hata discussion ya kuhusu ndoa siruhusu ianze maana visa kama hivyo hawezi kuleta kwenye u boifrend na ugelfrend.
Mpwa tupe mfano mmoja wa kosa analofanya kabla hatujajustify maamuzi yako!.....YES!i am going through the hell,because she makes some silly mistakes and I FO0RGIVE,FORGET then we start over.but she keep making mistakes kila kukicha.
THE WORST PART OF MY MARRIAGE NI KWAMBA,nilipojaribu kumshirikisha kaka yake ili amshauri kuwa makini nimeibua tatizo jingine kubwa.she can't talk to me for three days now.na ananiita mnafiki,na mbeya.nikimwambia tukae tujadili mahusiano yetu hataki tena.ni visilani kila kukicha.
i am going through the hell!i can't keep quite just like that.i have done so much to fight for what belongs to me!
Geoff,
Pole sana kwa hali/matatizo unayopitia kwa sasa. Kwa kweli ndoa haina operators manual ya kusema if you go by the book everything will be alright. Cha muhimu sana kwenu ni mawasiliano na pia kusameheana pale mnapokoseana. Nadhani mkeo kaamua kukuchunia kwa sababu ulijaribu kuacha njia yenu ya mawasiliano ya siku zote (baina yako na yeye) na kwenda kumshirikisha third party ambaye ni kaka wa mkeo(shemejio).
Nina uhakika we ulitegemea mambo yangeenda sawa kwa kuwa labda anmheshimu sana kaka yake na hivyo angemsikiliza - kwa kufanya hivyo ulimdhihirishia kwamba wewe hujiamini kwamba unao uwezo wa kumuambia jambo na akakusikiliza(hii ni weakness).
Kwa sasa nadhani ujitahidi kwanza uimarishe njia zenu za mawasiliano, muwe wawazi katika maongezi yenu.
Muhimu zaidi ni kwamba hakuna hata mtu mmoja zaidi yako wewe na mkeo ambaye anaweza kuyafanya maisha yenu yawe heaven, I tell you hata wazazi au wachungaji hawana huo uwezo cos hayo ni mambo ya ndani yenu na mnayajua vizuri nyie wenyewe. Try as much as possible to solve your issues by yourselves....
Good luck...
Mpwa tupe mfano mmoja wa kosa analofanya kabla hatujajustify maamuzi yako!
Pole sana kaka, unajua wakati mwingine wanawake huwa wanasema wanaume ni wakatili, lakini wao ndio wakatili mara 100 na wanaweza kuharibu kila kitu katika future ya mwanaume. Sasa tazama jamaa anavyoteseka kisa ndoa, mara nyingi huwa najiuliza huyo mke wangu atakuwa na tabia zipi ili haya ambayo tunaona kama ni experience kwa wale walioingia tayari kwenye ndoa. Pole sana mkuu. Sasa nayakubali maneno ya Fidel80 kuwa bado yupo yupo kwanza. Pole sana bro inabidi umuombe Mungu sana aweze mkubadilisha wife wako na pia washirikishe washenga wenu au bibi/babu au shangazi/mjomba ili kuokoa ndoa yako, maana inaonyesha unampenda sana mkeo lakini yeye hajui kuwa anapendwa. Kuna wenzake wanatafuta mtu wa kumbembeleza lakini hawapati lakini yeye anaichezea hiyo nafasi adhimu katika ulimwengu wa leo wa mapenzi
nashukuru,basi geoff unalijua tatito kuwa ana utoto .........mstahamilie atakuwa tu.
kumbuka kuwa wanaume ndio viongozi wa familia, na wanawake ni emotional beings na ukichanganya na utoto ndio zaidi.
mwache mpaka hasira zipungue mkae kitako muongee nyinyi wawili, bila ya kumhusisha mtu mwengine.
Pole sana brother kwa hayo matatizo yanayokupata, nadhani inabidi ukae na wazazi wa huyo binti na mjadili hayo matatizo kwa pamoja. Huenda akawaelewa na akabadilika ingawa itachukua muda. All in all brother kama unampenda inabidi umvumilie wakati unatafuta namna ya kumbadili tabia zake za kitoto.Well,
She is doing some silly mistakes.ai miin utoto utoto fulani.last incidence ametapeliwa na vijana simu,pochi na hela nyingi tu.sijui kilichoendelea mpaka wakamuwekea cocain kwenye soda.kakutwa amezidiwa kwenye fukwe mojawapo hapa dar.namshukuru msamaria aliyemuokota akaikuta kadi yangu kwenye jeans yake na kunipigia simu.thank god hakubakwa!
well,sitaki kulikumbuka hili