I'm going through hell!...should i keep going?

Teamo

JF-Expert Member
Jan 9, 2009
12,272
1,035
Geoff is happily enjoying his new life!...............

Geoff is expecting............................................
 
Duh pole mkuu kwa hiyo wewe unafikiriaje maana maamuzi yote yapo juu yako watakuja watu hapa kukwambia achana nae sijui fanya hivi lakini mwisho ya siku wewe ndo utakae amua baada ya kuangalia uzito wa penzi lako kwake na pima uzito wa penzi lake kwako.
 
.....YES!i am going through the hell,because she makes some silly mistakes and I FO0RGIVE,FORGET then we start over.but she keep making mistakes kila kukicha.

THE WORST PART OF MY MARRIAGE NI KWAMBA,nilipojaribu kumshirikisha kaka yake ili amshauri kuwa makini nimeibua tatizo jingine kubwa.she can't talk to me for three days now.na ananiita mnafiki,na mbeya.nikimwambia tukae tujadili mahusiano yetu hataki tena.ni visilani kila kukicha.

i am going through the hell!i can't keep quite just like that.i have done so much to fight for what belongs to me!

Mpwa kama kuna kitu kinawapa jeuri kubwa hawa watu ni ndoa, mimi ndio maana ninaishi na mtu mwaka nne sasa hata discussion ya kuhusu ndoa siruhusu ianze maana visa kama hivyo hawezi kuleta kwenye u boifrend na ugelfrend.
 
Duh pole mkuu kwa hiyo wewe unafikiriaje maana maamuzi yote yapo juu yako watakuja watu hapa kukwambia achana nae sijui fanya hivi lakini mwisho ya siku wewe ndo utakae amua baada ya kuangalia uzito wa penzi lako kwake na pima uzito wa penzi lake kwako.

i am totally confused!thanks anyways
 
Mpwa kama kuna kitu kinawapa jeuri kubwa hawa watu ni ndoa, mimi ndio maana ninaishi na mtu mwaka nne sasa hata discussion ya kuhusu ndoa siruhusu ianze maana visa kama hivyo hawezi kuleta kwenye u boifrend na ugelfrend.
i wish ningeyajua haya!i am going through the damn hell!what do i do?
 
Duh pole mkuu kwa hiyo wewe unafikiriaje maana maamuzi yote yapo juu yako watakuja watu hapa kukwambia achana nae sijui fanya hivi lakini mwisho ya siku wewe ndo utakae amua baada ya kuangalia uzito wa penzi lako kwake na pima uzito wa penzi lake kwako.

na wewe utamwambia aongeze mke wa pili teh teh teh
 
.....YES!i am going through the hell,because she makes some silly mistakes and I FO0RGIVE,FORGET then we start over.but she keep making mistakes kila kukicha.

THE WORST PART OF MY MARRIAGE NI KWAMBA,nilipojaribu kumshirikisha kaka yake ili amshauri kuwa makini nimeibua tatizo jingine kubwa.she can't talk to me for three days now.na ananiita mnafiki,na mbeya.nikimwambia tukae tujadili mahusiano yetu hataki tena.ni visilani kila kukicha.

i am going through the hell!i can't keep quite just like that.i have done so much to fight for what belongs to me!

Geoff,
Pole sana kwa hali/matatizo unayopitia kwa sasa. Kwa kweli ndoa haina operators manual ya kusema if you go by the book everything will be alright. Cha muhimu sana kwenu ni mawasiliano na pia kusameheana pale mnapokoseana. Nadhani mkeo kaamua kukuchunia kwa sababu ulijaribu kuacha njia yenu ya mawasiliano ya siku zote (baina yako na yeye) na kwenda kumshirikisha third party ambaye ni kaka wa mkeo(shemejio).

Nina uhakika we ulitegemea mambo yangeenda sawa kwa kuwa labda anmheshimu sana kaka yake na hivyo angemsikiliza - kwa kufanya hivyo ulimdhihirishia kwamba wewe hujiamini kwamba unao uwezo wa kumuambia jambo na akakusikiliza(hii ni weakness).

Kwa sasa nadhani ujitahidi kwanza uimarishe njia zenu za mawasiliano, muwe wawazi katika maongezi yenu.

Muhimu zaidi ni kwamba hakuna hata mtu mmoja zaidi yako wewe na mkeo ambaye anaweza kuyafanya maisha yenu yawe heaven, I tell you hata wazazi au wachungaji hawana huo uwezo cos hayo ni mambo ya ndani yenu na mnayajua vizuri nyie wenyewe. Try as much as possible to solve your issues by yourselves....

Good luck...
 
Ohh my dear Shem Geoff,Usikate tamaa atabadilika tu.Kumbuka viapo vya siku ile kanisani uliposema for better for worse till death do us apart!
endelea kutafuta mbinu za kumrejeza,Pengine anza kwanza kuchunguza zaidi kiini cha hayo matatizo yake nini.huwezi jua pengine ww ndio sababu.Ukijua kiinu cha tatizo utaweza kusolve kirahisi.
Usikimbie kukata tamaa wakati hujafanya vya kutosha kurekebisha.Ila na huo ushauri sijui kwa kaka,wifi,jirani jitahidi kuepuka na au kuwa makini zaidi.Nakwambia kweli Daktari mkuu wa ndoa yako ni wewe mwenyewe na huyo honey wako.Ndio ukubwa huo jikaze,na ukifanikiwa kusolve nakwambia you will be the Hero na utakuwa umepata experience na kuongeza bond ya upendo zaidi kati yako na mkeo.
be blessed na Mungu awasaidie.
 
Mpwa kama kuna kitu kinawapa jeuri kubwa hawa watu ni ndoa, mimi ndio maana ninaishi na mtu mwaka nne sasa hata discussion ya kuhusu ndoa siruhusu ianze maana visa kama hivyo hawezi kuleta kwenye u boifrend na ugelfrend.
Search in your heart. The answer probably is just a few steps from you. But I understand your position. Be tough you will manage to get through over them
 
.....YES!i am going through the hell,because she makes some silly mistakes and I FO0RGIVE,FORGET then we start over.but she keep making mistakes kila kukicha.

THE WORST PART OF MY MARRIAGE NI KWAMBA,nilipojaribu kumshirikisha kaka yake ili amshauri kuwa makini nimeibua tatizo jingine kubwa.she can't talk to me for three days now.na ananiita mnafiki,na mbeya.nikimwambia tukae tujadili mahusiano yetu hataki tena.ni visilani kila kukicha.

i am going through the hell!i can't keep quite just like that.i have done so much to fight for what belongs to me!
Mpwa tupe mfano mmoja wa kosa analofanya kabla hatujajustify maamuzi yako!
 
Geoff,
Pole sana kwa hali/matatizo unayopitia kwa sasa. Kwa kweli ndoa haina operators manual ya kusema if you go by the book everything will be alright. Cha muhimu sana kwenu ni mawasiliano na pia kusameheana pale mnapokoseana. Nadhani mkeo kaamua kukuchunia kwa sababu ulijaribu kuacha njia yenu ya mawasiliano ya siku zote (baina yako na yeye) na kwenda kumshirikisha third party ambaye ni kaka wa mkeo(shemejio).

Nina uhakika we ulitegemea mambo yangeenda sawa kwa kuwa labda anmheshimu sana kaka yake na hivyo angemsikiliza - kwa kufanya hivyo ulimdhihirishia kwamba wewe hujiamini kwamba unao uwezo wa kumuambia jambo na akakusikiliza(hii ni weakness).

Kwa sasa nadhani ujitahidi kwanza uimarishe njia zenu za mawasiliano, muwe wawazi katika maongezi yenu.

Muhimu zaidi ni kwamba hakuna hata mtu mmoja zaidi yako wewe na mkeo ambaye anaweza kuyafanya maisha yenu yawe heaven, I tell you hata wazazi au wachungaji hawana huo uwezo cos hayo ni mambo ya ndani yenu na mnayajua vizuri nyie wenyewe. Try as much as possible to solve your issues by yourselves....

Good luck...

shukrani!mawazo mazuri sana mkuu.i will go through your plan
 
geoff wanawake kwa kununa nafikiri hatuna mpinzani.....
mwache kwanza atoe joto lake, endelea kubembeleza tu wewe ukijua kuwa kwa siku za mwanzo hatakusikia kwa kuwa anahasira, lakini hata wiki haitapita, atakuwa keshamaliza hasira zake na mtakaa na kujadili tatizo lenu.

binaadamu kukubali kosa ni ngumu, na hasa kama umeenda "kumsemea" kwao, anaona umemdhalilisha, ndo maana amekukasirikia, but bembeleza tu kidogo kidogo hasira zitampungua
 
Mpwa tupe mfano mmoja wa kosa analofanya kabla hatujajustify maamuzi yako!


Well,
She is doing some silly mistakes.ai miin utoto utoto fulani.last incidence ametapeliwa na vijana simu,pochi na hela nyingi tu.sijui kilichoendelea mpaka wakamuwekea cocain kwenye soda.kakutwa amezidiwa kwenye fukwe mojawapo hapa dar.namshukuru msamaria aliyemuokota akaikuta kadi yangu kwenye jeans yake na kunipigia simu.thank god hakubakwa!

well,sitaki kulikumbuka hili
 
Pole sana kaka, unajua wakati mwingine wanawake huwa wanasema wanaume ni wakatili, lakini wao ndio wakatili mara 100 na wanaweza kuharibu kila kitu katika future ya mwanaume. Sasa tazama jamaa anavyoteseka kisa ndoa, mara nyingi huwa najiuliza huyo mke wangu atakuwa na tabia zipi ili haya ambayo tunaona kama ni experience kwa wale walioingia tayari kwenye ndoa. Pole sana mkuu. Sasa nayakubali maneno ya Fidel80 kuwa bado yupo yupo kwanza. Pole sana bro inabidi umuombe Mungu sana aweze mkubadilisha wife wako na pia washirikishe washenga wenu au bibi/babu au shangazi/mjomba ili kuokoa ndoa yako, maana inaonyesha unampenda sana mkeo lakini yeye hajui kuwa anapendwa. Kuna wenzake wanatafuta mtu wa kumbembeleza lakini hawapati lakini yeye anaichezea hiyo nafasi adhimu katika ulimwengu wa leo wa mapenzi
 
Geoff hayo ni mapito tu ya maisha ni mkeo angalia namna ya kusolve tatizo kila mwanandoa anapitia hayo jaribu kupata suluhu
Ongea na mkeo tena na tena na ikishindika zaidi mshirikishe mama au baba yake na imani watakusaidia kupata ufumbuzi wa tatizo lako usiogope kupata ushauri hata akwambie una kiherehere wewe unataka kuinusuru ndoa yako ..ukiwashirikisha wazazi wako anaweza kulalamika kwa nini umefanya hivyo
usisahau kupiga got na kuomba


When your in need.......
HE WILL PROVIDE
and this same god who takes care of me will supply all your needs from his glorious riches which have been given to us in chirst jesus
Philippinias 4:19
 
basi geoff unalijua tatito kuwa ana utoto .........mstahamilie atakuwa tu.
kumbuka kuwa wanaume ndio viongozi wa familia, na wanawake ni emotional beings na ukichanganya na utoto ndio zaidi.

mwache mpaka hasira zipungue mkae kitako muongee nyinyi wawili, bila ya kumhusisha mtu mwengine.
 
Pole sana kaka, unajua wakati mwingine wanawake huwa wanasema wanaume ni wakatili, lakini wao ndio wakatili mara 100 na wanaweza kuharibu kila kitu katika future ya mwanaume. Sasa tazama jamaa anavyoteseka kisa ndoa, mara nyingi huwa najiuliza huyo mke wangu atakuwa na tabia zipi ili haya ambayo tunaona kama ni experience kwa wale walioingia tayari kwenye ndoa. Pole sana mkuu. Sasa nayakubali maneno ya Fidel80 kuwa bado yupo yupo kwanza. Pole sana bro inabidi umuombe Mungu sana aweze mkubadilisha wife wako na pia washirikishe washenga wenu au bibi/babu au shangazi/mjomba ili kuokoa ndoa yako, maana inaonyesha unampenda sana mkeo lakini yeye hajui kuwa anapendwa. Kuna wenzake wanatafuta mtu wa kumbembeleza lakini hawapati lakini yeye anaichezea hiyo nafasi adhimu katika ulimwengu wa leo wa mapenzi

nawashukuru sana!ukweli hili limeniumiza sana kichwa nimeamua niliweke wazi tu.walau napata relief
 
basi geoff unalijua tatito kuwa ana utoto .........mstahamilie atakuwa tu.
kumbuka kuwa wanaume ndio viongozi wa familia, na wanawake ni emotional beings na ukichanganya na utoto ndio zaidi.

mwache mpaka hasira zipungue mkae kitako muongee nyinyi wawili, bila ya kumhusisha mtu mwengine.
nashukuru,
lakini kwanini anakuwa na moyo mgumu kiasi hicho?hataki kuongea na mimi?ananiambia mimi mbeya?hajui vile amenichoma mkuki moyoni mwangu?
 
Well,
She is doing some silly mistakes.ai miin utoto utoto fulani.last incidence ametapeliwa na vijana simu,pochi na hela nyingi tu.sijui kilichoendelea mpaka wakamuwekea cocain kwenye soda.kakutwa amezidiwa kwenye fukwe mojawapo hapa dar.namshukuru msamaria aliyemuokota akaikuta kadi yangu kwenye jeans yake na kunipigia simu.thank god hakubakwa!

well,sitaki kulikumbuka hili
Pole sana brother kwa hayo matatizo yanayokupata, nadhani inabidi ukae na wazazi wa huyo binti na mjadili hayo matatizo kwa pamoja. Huenda akawaelewa na akabadilika ingawa itachukua muda. All in all brother kama unampenda inabidi umvumilie wakati unatafuta namna ya kumbadili tabia zake za kitoto.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom