Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Binafsi jana nilitoka kazini nikijua muheshimiwa si wa kumsikilizia ofisini na sikupenda niadithiwe,kwa hakika nilijilaumu kwa kile nilichofanya.Binafsi kikwete nilikuwa simuamini kabla hata hajapata urais wenyewe,ila alinipa moyo na ile hotuba yake ya kwanza pale bungeni.Jana ilifikia wakati nikawa najiuliza pale bungeni alikuwa ameenda kufanya nini,nafikiri kama ana akili atagundua yale maneno ya spika yalikuwa yana maana gani.Ndo kwanza mwaka wapili na nusu na bado atataka miaka mingine mitano 2010.WE HAVE A LONG WAY TO GO.
Baba wa 3 hili swali ndilo hadi muda huu linaniumiza kwamba alienda kufanya nini pale .Ila napata jibu kwamba alienda Dodoma eneo la Dodoma kuvunja record yake mwenyewe ya kuhutubia muda mrefu zaidi kwa kusema mzaha kwa watanzania