Elections 2010 I'm done with Kikwete! - Say NO to Second Term!

Binafsi jana nilitoka kazini nikijua muheshimiwa si wa kumsikilizia ofisini na sikupenda niadithiwe,kwa hakika nilijilaumu kwa kile nilichofanya.Binafsi kikwete nilikuwa simuamini kabla hata hajapata urais wenyewe,ila alinipa moyo na ile hotuba yake ya kwanza pale bungeni.Jana ilifikia wakati nikawa najiuliza pale bungeni alikuwa ameenda kufanya nini,nafikiri kama ana akili atagundua yale maneno ya spika yalikuwa yana maana gani.Ndo kwanza mwaka wapili na nusu na bado atataka miaka mingine mitano 2010.WE HAVE A LONG WAY TO GO.



Baba wa 3 hili swali ndilo hadi muda huu linaniumiza kwamba alienda kufanya nini pale .Ila napata jibu kwamba alienda Dodoma eneo la Dodoma kuvunja record yake mwenyewe ya kuhutubia muda mrefu zaidi kwa kusema mzaha kwa watanzania
 
Matumaini na mwelekeo wa mtanzania kwa raisi kikwete yamefika mwisho. Kikwete ameshindwa kufikiri , kutenda na ameambatana na uchumi wa kiswahiba na kukosa kabisa mapenzi na nchi yake. Kama alivyoliacha Jimbo lake la uchaguzi likiwa hoi baada ya kukaa bungeni takribani miaka kumi na ushee atawaacha watanzania wakiwa wamechoka kuliko kipindi chochote ktk maisha ya Mtanzania.
Kikwete ameshindwa uongozi kura ya kutokuwa na imani naye ipigwe. Au awe muungwana aachie ngazi mwenyewe.
Ni Tanzania pekee Raisi anakula deal na wezi, wahujumu na walarushwa.
Hotuba yenye kichefu chefu iliyoandikwa na hulka ya kifedhuli inaonyesha Tanzania iliyokufa.
Kauli mbiu ya Kikwete: Nguvu mpya wizi mpya, utetezi wa ikulu ndio dira ya ikulu ya kikwete.
 
Matumaini na mwelekeo wa mtanzania kwa raisi kikwete yamefika mwisho. Kikwete ameshindwa kufikiri , kutenda na ameambatana na uchumi wa kiswahiba na kukosa kabisa mapenzi na nchi yake. Kama alivyoliacha Jimbo lake la uchaguzi likiwa hoi baada ya kukaa bungeni takribani miaka kumi na ushee atawaacha watanzania wakiwa wamechoka kuliko kipindi chochote ktk maisha ya Mtanzania.
Kikwete ameshindwa uongozi kura ya kutokuwa na imani naye ipigwe. Au awe muungwana aachie ngazi mwenyewe.
Ni Tanzania pekee Raisi anakula deal na wezi, wahujumu na walarushwa.Hotuba yenye kichefu chefu iliyoandikwa na hulka ya kifedhuli inaonyesha Tanzania iliyokufa.
Kauli mbiu ya Kikwete: Nguvu mpya wizi mpya, utetezi wa ikulu ndio dira ya ikulu ya kikwete.

Maneno mazito na yaliyojaa kila chembe ya ukweli mkuu!!!!
 
.



Jakaya Mrisho Kikwete kushitakiwa?!


By reducing criminal offenses to civil (in EPA) without good reasons is just letting the president exercise powers that he doesnt have! This is equal to ordering (without giving reasons) the arrest of a good citizen! Because breaking a law may either be by action or omission! By not prosecuting the EPA culprits is a very serious omission (which looks more of a an ACTION though - I am confused).



Its so unbelievable kwamba wale wezi wataishia kulipa tu. I still comvince myself kwamba line ya mwisho ya point ya EPA ktk speech ya Rais alisahau kuisoma, iliyoelezea kushtakiwa mara moja kwa wote waliorejesha pesa hizo, maana waligawana kinyume cha sheria. Na kwamba this everning kutakua na breaking news kutoka kwa Rais akitoa maelezo hayo :)



Kikwete ameashiria kuwasamehe waliohujumu uchumi hata kabla hawajahukumiwa. Kwa kosa hili twaweza kumburuza mahakamani. Raisi huwa anawasamehe ambao tayari wameshahukumiwa.

Kipindi chake cha Urasi kikipita, tunahitaji tu ushahidi uliokaa vizuri. Ole wake!



.
 
Nilisema Hii Hotuba imeleta wahaka kwa uuma wa watanzania........
 
Naomba upunguze munkari mjomba. Kwanza hii hoja ilikuwa haihitaji mada maalum. Wazungu wana msemo fulani: bark is worse than bite. Hebu jiulize: pamoja na ushahidi wote uliyo wazi hakuna Mtanzania hata mmoja kati ya watu milioni 40 (Dr. Slaa na Rev. Mtikila included) aliyeweza kufungua mashitaka mahakamani dhidi ya Mkapa (achilia mbali mhusika mwenzake Daniel Yona). Sasa Kikwete mtamuanzia wapi?
 
Matumaini na mwelekeo wa mtanzania kwa raisi kikwete yamefika mwisho. Kikwete ameshindwa kufikiri , kutenda na ameambatana na uchumi wa kiswahiba na kukosa kabisa mapenzi na nchi yake. Kama alivyoliacha Jimbo lake la uchaguzi likiwa hoi baada ya kukaa bungeni takribani miaka kumi na ushee atawaacha watanzania wakiwa wamechoka kuliko kipindi chochote ktk maisha ya Mtanzania.
Kikwete ameshindwa uongozi kura ya kutokuwa na imani naye ipigwe. Au awe muungwana aachie ngazi mwenyewe.
Ni Tanzania pekee Raisi anakula deal na wezi, wahujumu na walarushwa.
Hotuba yenye kichefu chefu iliyoandikwa na hulka ya kifedhuli inaonyesha Tanzania iliyokufa.
Kauli mbiu ya Kikwete: Nguvu mpya wizi mpya, utetezi wa ikulu ndio dira ya ikulu ya kikwete.

Ewalaah! Swadaktaah! Alhamdulilaah! Takbiru alaah walibaahlu! Ila naona umesahau the constructive part of your criticism. Sasa baada ya kunena maneno mazito yenye jazba kubwa kama hayo; jee una ushauri gani kuhusu pendekezo au mapendekezo ya suluhisho la malalamiko uliyo nayo dhidi ya Kikwete na serikali yake?
 
Matumaini na mwelekeo wa mtanzania kwa raisi kikwete yamefika mwisho. Kikwete ameshindwa kufikiri , kutenda na ameambatana na uchumi wa kiswahiba na kukosa kabisa mapenzi na nchi yake. Kama alivyoliacha Jimbo lake la uchaguzi likiwa hoi baada ya kukaa bungeni takribani miaka kumi na ushee atawaacha watanzania wakiwa wamechoka kuliko kipindi chochote ktk maisha ya Mtanzania.
Kikwete ameshindwa uongozi kura ya kutokuwa na imani naye ipigwe. Au awe muungwana aachie ngazi mwenyewe.
Ni Tanzania pekee Raisi anakula deal na wezi, wahujumu na walarushwa.
Hotuba yenye kichefu chefu iliyoandikwa na hulka ya kifedhuli inaonyesha Tanzania iliyokufa.
Kauli mbiu ya Kikwete: Nguvu mpya wizi mpya, utetezi wa ikulu ndio dira ya ikulu ya kikwete.

Nchi inaendeshwa na wachawi anaotembea nao Kikwete!!!!!!!
 
Sasa baada ya kunena maneno mazito yenye jazba kubwa kama hayo; jee una ushauri gani kuhusu pendekezo au mapendekezo ya suluhisho la malalamiko uliyo nayo dhidi ya Kikwete na serikali yake?

Jazba ndicho kitu ambacho watawala wanakijenga kwa wananchi wao. Hii inatokana na, pamoja na mambo mengine, kushindwa kusikiliza ushauri ambao umekuwa ukitolewa miaka nenda miaka rudi. Sasa ushauri huo utakaotolewa sasa utakuwa na sura gani tofauti na ushauri uliopata kutolewa huko nyuma?
 
Jamani,

Haya matatizo ni ya Kikwete mwenyewe, CCM culture, au systemic and structural Tanzanian problems?
 
Naomba upunguze munkari mjomba. Kwanza hii hoja ilikuwa haihitaji mada maalum. Wazungu wana msemo fulani: bark is worse than bite. Hebu jiulize: pamoja na ushahidi wote uliyo wazi hakuna Mtanzania hata mmoja kati ya watu milioni 40 (Dr. Slaa na Rev. Mtikila included) aliyeweza kufungua mashitaka mahakamani dhidi ya Mkapa (achilia mbali mhusika mwenzake Daniel Yona). Sasa Kikwete mtamuanzia wapi?

It is possible to start from the bottom to the top.
 
Back
Top Bottom