Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #61
Mhafidhina, ujumbe mzito sana huu.
MMKJJ, siku utaandika postings zako kwa kuchambua pande zote mbili nitakuwa miongoni mwa wapenzi wa postings zako.
kwenye ufisadi hakuna pande mbili
Kwenye utawala wa sheria hakuna pande mbili,
kwenye kutaka maendeleo ya kweli na kuwajibika hakuna pande mbili,
Hakuna pande mbili kwenye kutaka sheria ifuatwe no matter what.
Pande mbili ziko kwenye majadiliano na mazungumzo na kubadilishana hoja; kwenye kutaka vitendo ni aidha unatenda au hutendi na ukitenda hakuna pande mbili, na usipotenda hakuna pande mbili kwani zote ni pande moja!