I'm Confused, Niolewe ama niendelee kumsubiri?

I'm Confused, Niolewe ama niendelee kumsubiri?

Kuna msemo hua tunasemaga shahada mwisho ni mara tatu tu, ya mbele hayo ni majukumu ya Mungu hayaingiliwi sote tumo humu hatujui jama jioni tutafika au tukafariki kabla ya kula cha mchana, of course ndoa s kuvaa shela wala pete ibataka kujitoa nyie wahusika yeye mwenyewe kama kishaona anastahili ana watamudu aolewe zake tu wapo watu waliwasubiri wapenzi wao waliowapenda wafikie huko na mtu akawakataa wote abakie na huyo isifae pia bas kama yeye anaona asiolewe na wengine amuoe yeye wakat mwengije riziki hufunguka baada ya ndoa kwa hiyo hata kama miaka 23 midogo akubali kuendelea kuziniwa tu? Huyo kaka amuoe kama anamhitaji wataishi hivo hivo
Hajjat unafaa kuwa kungwi!!!! Endelea kuwafunda
 
Kama unataka boyfriend endelea kusubiri kama unataka mume olewa na huyo alojitokeza madhali wote mmeridhiana
 
kwanza uyo kijana ana umri gani pasi na shaka atakua 24 na nusu plus kama si 25 na kuendelea
dini gani kama ni waislamu wote ndoa ni simple tu upande wenu anasubiri nini basi atakua hana nia nawe zaidi ya kukuzalisha ila kama ni cristian basi labda tutasema anakusanya pesa
mipango yake vipi anakushirikisha katika kila hatua kweli uone nia yake!?
msubiri ila mpe kikomo bi dada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaka kulikamata limwanaume liongo na halina mpango wowote na wewe ....Ni lile linaloanza na gia ya nizalie mtoto then mambo mengine yafate[emoji44][emoji44]......anakuwa anajifanya wewe na familia yako[emoji57]

Fyekelea mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
subiri, wewe bado ni msichana mdogo,

hakuna kitu kinachomput off mwanaume kama kumuonyesha unataka ndoa ama uko desperate na ndoa…

Ndoa ni fumbo kubwa, hao wanaotaka kukuposa unaweza ukute wanafanya hivyo sio kwa mapenzi kwako ila kwa sababu wameshaona 'udhaifu' wako ni ndoa….

...Sali utambue mume sahihi ,ikibidi shirikisha Rafiki zako,ndugu zako etc
Ukiwa na makeke na ndoa mdada....jamani utakutana na vituko mpaka Basi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom