Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 27,599
- 53,380
Ndoa ni taasisi pana sana wanaoingia kwenye ndoa lazima wawe watu wanaojielewa, we muache achague analoliona linamfaa siku ya mwisho mwenye maamuzi ni yeyeLabda hatujui kwa kweli
God is a God of hearts