I'm Confused, Niolewe ama niendelee kumsubiri?

I'm Confused, Niolewe ama niendelee kumsubiri?

MUME hakuna hapo...KUBALI POSA uolewe,,na hata huyo aliyeleta POSA USIMPE BUMUNDA hadi uhakikishe AMEOA,,maana vijana now TUNA MBINU NYINGI,,,anaweza akaleta POSA ukimpa PAPUCHI...anageuka SWALA,,,anarukaruka na MBIO nyingi,,,, usije UKAKOSA KOTE..MPE masharti,,,HUNIGUSI HADI NDOA....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MUME hakuna hapo...KUBALI POSA uolewe,,na hata huyo aliyeleta POSA USIMPE BUMUNDA hadi uhakikishe AMEOA,,maana vijana now TUNA MBINU NYINGI,,,anaweza akaleta POSA ukimpa PAPUCHI...anageuka SWALA,,,anarukaruka na MBIO nyingi,,,, usije UKAKOSA KOTE..MPE masharti,,,HUNIGUSI HADI NDOA....

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂 Duh mkuu Bumunda dah umenikumbusha mbali sana la ndizi au!!
 
Sasa angetaka mtoto nje ya ndoa kama mipango haijakaa sawa? Means kulea anaweza ila kuoa ndio muda bado?
Maisha ya ndoa ni zaidi uwazavyo!
Wewe unaolewaje na mtu ambaye huna mahusiano naye halafu utegemee utaishi naye miaka yako yote iliyobaki?!

Huyo boyfriend wako kama hayuko serious na wewe unaweza kutulia na kuanza upya utampata mwenye mtapendana na muweke malengo! Sikushauri kabisaaa ukaolewe na mwanaume tuu kisa kaleta posa!

Tulia, muombe Mungu akuonyeshe mtu sahihi kwako! Pengine anaweza kuwa huyo boyfriend wako labda mipango yake haijawa sawa!
 
Shida mwanaume kamjibu kua wazae kabla ya haimake sense mtu atake azae lakini ndoa imshinde,so kua baba anaweza kua mume hawezi,huyo dada aolewe kama moyo wake umemruhusu na akili yake ikakubali aolewe tu ya mbele anajua Allah
Wanawake mna nini lakini mnatuperekesha puta kama wajeshi, mapenzi sio vita, yani unataka kuolewa haraka haraka bila subira na kijana mwingine kisa ametaka amekutamkia anakuoa na huyu uliokaa nae miaka miwili kwenye uchumba unaona hafai, sioni sababu ya kukimbilia ndoa kama vipi subiri mwenzako ajipange uliweza kaa nae kipindi chofe hicho mpe muda, wanaume tunapenda tujipange kabla, inaonyesha ulikua unamsaliti maana huyu aliekuja umewezaje kumkubalia haraka ndoa, nakushauri hata ukae miaka 80 hujaolewa wait for the right time cha msingi uolewe na mtu sahihi pia, ndoa zina mambo wewe waulize walioingia kwenye ndoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wanaume huwa hawamaanishi wanachokisema! Ingekuwa lengo ni mtoto angeshazaa hata kwingine! Pengine ni kumpima tu bidada uwezo wake wa kufikiri!!
kikubwa kilichopo huyu dada hamuamini huyo anetaka wazae, na mm ntamshauri tu akae chin amchunguze akiemkubali kuolewa nae akiridhika sawa aolewe zinaa s nzuri ukiendekeza kama anajiona anastahili kua mke wa mtu aolewe hata hivo maisha yajayo hatujui yatakavokua anaweza wakataa wote wanaomposa kesho na kesho kutwa akose hata wa kumdanganyia kumuoa yote kwa yote yanawezekana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom