Pengine huyo mwanaume hajaweka mambo yake sawa! Huwezi jua huyo mdada anamjua vyema au umri wao badoHuyo anaempenda anataka wazae kwanza hayuko serious huyo mwanaume!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshangaa pia.Huyo aliyeleta posa huna hata mahusiano nae?! Hivi bado kuna vijana mnapeleka posa hata huyo msichana hujaongea nae [emoji23][emoji23]
Darasani anafanya nini? Mtu wa miaka 23 anatakiwa awe amemaliza chuo mwaka jana mwezi wa 10.Miaka 23 unakimbilia kuolewa? Ww si ulitakiwa uwe darasani mda huu? Jamani ccm imeharibu vijana wetu wengi sana...... Mungu walaani ccm na vizazi vyao vyote
Pengine huyo mwanaume hajaweka mambo yake sawa! Huwezi jua huyo mdada anamjua vyema au umri wao bado
Pm pako wazi? Natafuta mchumba mimi. Niko serious(kwa kiswahili sijui inatamkwaje)
Hahaha hahaha
Hivi jamani hao wanaume wanokuja mpaka nyumani kutoa posa wanapitiaga mitaa maalum tu na mikoa au tz nzima na viunga na mitaa yake na nyumba zote kwa wanawake wote?
Mi mbona sina hiyo bahati jamanii[emoji23]
Maskini mwajuma nazeeka mimi
Sawa[emoji47]
Sent using Jamii Forums mobile app
Usituambie umeishi wapi hyo nje ya mada kabisa...Je unafikiri mdada wa miaka 23 ni mdogo kiasi kwamba asiolewe!!??Nimeishi mda mrefu sana Yemen na Israel sijawahi kuona msichana wa miaka 23 akiolewa
Ok, naruhusiwa kuja huko?
Maamuzi ni yakwako. Mpaka unaomba ushauri hapa tayari Una jibu lakoSalaam wakuu, moja kwa moja kwenye mada, naomba msaada wa kimawazo juu ya hili nalopitia wana jamvi wenzangu. Mm ni msichana miaka 23, nimekuwa kwenye mahusiano kwa muda wa miaka miwili sasa, (Boyfriend & Girlfriend, kwa maana kwamba sio mahusiano rasmi). Kiukweli nampenda sana huyu mkaka, ananipenda pia anavosema. Lakini tatizo linakuja kwenye Commitment. Mwenzangu anatamani mtoto kabla ya ndoa na mm nataka tupite njia za halali Nusra (Ndoa) kwanza ndo mengine yafuate. Wamekuja vijana watatu kwetu kuniposa sikuwakubalia nikiamini ninae wangu ambae ndo yeye, habari hizo anazijua lakini bado hakutilia maanani,
Sababu ya kutaka ushauri ni kwamba amejitokeza kijana mwingine mwenye nia ya kunioa, nilivompa taarifa kwamba nmeamua nakubali kuolewa kwasabb ya yeye kutonionesha ushirikiano, ananilaumu kwamba nimechukua maamuzi kwaharaka kwanini nisimvumilie. Kiukweli I'm confused, naomba ushauri nimkatae na huyu ili niendelee kumsubiria Boyfriend au ni Move on? Karibuni.
NB: New ID for a Reason. Please don't doubt.
Sent using Jamii Forums mobile app
I dont have one...If u don't have kids just pm me
Hahaha eehhh hivyo hivyo !Hivyo Hivyo Entrepreneur
Nope I don't hate kids but I can't date a single mother.