Ilikuweje KGB wameshidwa kumpandikiza mtu wao akaiongoza Ukraine

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Huwa najiuliza kuhusu hili shirika la kijasusi la KGB la urusi ni moja katika ya shirika ambalo linasifika sana ktk maswala ya kijasusi lakini ilikuweje hili shirika wakashidwa kumpandikiza kibaraka wao akaiongoza ukraine kwa matakwa ya urusi

Lakini leo hii mpka vita inatokea ukraine ina maana urusi angepandikiza mtu leo hii haya yote yasingetokea na huyo kibaraka asingefata sera za nchi za magarabi wala usa

Lakini leo hii mpka tunavyozungumza sasa kama raisi wa ukraine yupo upande wa usa na anafata sera zao

Je, ni wapi KGB wamefeli tunaambiwa putin ni jasusi wa kimataifa mwenye asili ya izilaeli lakini why kafeli kupandikiza mtu wake pale ukraine
 
Kwakuwa tunashare knowledge haina shida, ngoja tukumbushane!

Hao KGB walifanikiwa kupandikiza rais wao huko Ukrain, alikuwa anaitwa Victor Yanukovyich.

Huyu jamaa aliondolewa madarakani kwa maandamano ya umma mwaka 2014, baada ya kukataa kusaini makubaliano kati ya Ukraini na Umoja wa Ulaya.

Victor Yanukovyich alinusurika kuuawa, na kumbilia Urusi ambapo anaishi mpaka sasa.

Inaonekana Urus wameona hakuna njia nyingine ya kuizuia Ukrain kujiunga na EU zaidi ya vita.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nafikiri walishindwa kuandaa propaganda nzuri kuwahadaha raia wa ukraine kuichukia serikali.....

Siasa ni propaganda tu.....
Marekani(ulaya magharibi) hicho kipande cha propaganda yupo sawa ......
Ndio mAana wanasumbua

Rejea kwenye mfano hai ni bongo kwa awamu ya 5 ambapo walitumia sana watu wachache wa ndani ya nchi kutuaminisha hata visivyo sahihi......
Wamepata walichokitaka unawasikia tena.....
Na propaganda inaendana na nguvu ya kifedha na ambapo Urusi bado sio sawa na mataifa ya ulaya magharibi.....

Taliban leo hii sio watu hatari lakini kabla walikuwa watu wabaya.....

Imani chanzo chake ni kusikia na hapo watu wa ulaya magharibi wamejitahidi kuwa na mizizi iliyojikita angalia vyombo vya habari vingi ambavyo n msingi wa hiyo imani inayosambazwa kwa raia wanahakikisha wanatoa kile chenye faida kwao
 
Nafikiri walishindwa kuandaa propaganda nzuri kuwahadaha raia wa ukraine kuichukia serikali.....

Siasa ni propaganda tu.....
Marekani(ulaya magharibi) hicho kipande cha propaganda yupo sawa ......
Ndio mAana wanasumbua

Rejea kwenye mfano hai ni bongo kwa awamu ya 5 ambapo walitumia sana watu wachache wa ndani ya nchi kutuaminisha hata visivyo sahihi......
Wamepata walichokitaka unawasikia tena.....
Na propaganda inaendana na nguvu ya kifedha na ambapo Urusi bado sio sawa na mataifa ya ulaya magharibi.....

Taliban leo hii sio watu hatari lakini kabla walikuwa watu wabaya.....

Imani chanzo chake ni kusikia na hapo watu wa ulaya magharibi wamejitahidi kuwa na mizizi iliyojikita angalia vyombo vya habari vingi ambavyo n msingi wa hiyo imani inayosambazwa kwa raia wanahakikisha wanatoa kile chenye faida kwao
Binafsi naona, katika ulimwengu wa utandawazi, ni ngumu kuleta propaganda kwa wananchi wa Ukraini ambao wanatamani maisha ya Ulaya magharibi.

Inaonekana wananchi wengi wa Ukrain wanapenda mfungamano na Ulaya magharibi. Maisha ya Urus yana element za ujamaa. Rejea mifano kadhaa ya wanaharakati wanavyofanyiwa huko Urusi.

Ukizifuatilia elementi za ujamaa, hakika ni wananchi wachache sana ambao watautaka ujamaa.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kama Putin ndiye miongoni mwa wabobezi wa KGB unaona kuna kitu hapo? Kutawala kwa nguvu ni ngumu sana, wajanja hutafuta ushawishi hata wa uongo kupata kutawala. KGB inayowaza kutawala dunia kwa manguvu haitafika popote.
Huwa najiuliza kuhusu hili shirika la kijasusi la KGB la urusi ni moja katika ya shirika ambalo linasifika sana ktk maswala ya kijasusi lakini ilikuweje hili shirika wakashidwa kumpandikiza kibaraka wao akaiongoza ukraine kwa matakwa ya urusi

Lakini leo hii mpka vita inatokea ukraine ina maana urusi angepandikiza mtu leo hii haya yote yasingetokea na huyo kibaraka asingefata sera za nchi za magarabi wala usa

Lakini leo hii mpka tunavyozungumza sasa kama raisi wa ukraine yupo upande wa usa na anafata sera zao

Je, ni wapi KGB wamefeli tunaambiwa putin ni jasusi wa kimataifa mwenye asili ya izilaeli lakini why kafeli kupandikiza mtu wake pale ukraine
 
Kama Putin ndiye miongoni mwa wabobezi wa KGB unaona kuna kitu hapo? Kutawala kwa nguvu ni ngumu sana, wajanja hutafuta ushawishi hata wa uongo kupata kutawala. KGB inayowaza kutawala dunia kwa manguvu haitafika popote.
Ha ha ha! Daily tunaaminishwa Putin is the best of the best in KGB! Dunia imebadilika nowadays ukiona jitu linatembea kwa kujivimbisha kuonesha umwamba unajua kabisa something is wrong somewhere.
 
Huwa najiuliza kuhusu hili shirika la kijasusi la KGB la urusi ni moja katika ya shirika ambalo linasifika sana ktk maswala ya kijasusi lakini ilikuweje hili shirika wakashidwa kumpandikiza kibaraka wao akaiongoza ukraine kwa matakwa ya urusi

Lakini leo hii mpka vita inatokea ukraine ina maana urusi angepandikiza mtu leo hii haya yote yasingetokea na huyo kibaraka asingefata sera za nchi za magarabi wala usa

Lakini leo hii mpka tunavyozungumza sasa kama raisi wa ukraine yupo upande wa usa na anafata sera zao

Je, ni wapi KGB wamefeli tunaambiwa putin ni jasusi wa kimataifa mwenye asili ya izilaeli lakini why kafeli kupandikiza mtu wake pale ukraine
Screenshot_20220227-170822.jpg
 
Mbona walikuwa nae na aliondolewa?
Sasa nia yao pia ni hiyo na itakuwa hivyo maana wanaona huyo nuksi

Tusubiri yajayo
 
Kwanza kwa sasa ujue hakuna kitu kinaitwa KGB, pia uelewe kwamba mpango wa Russia kumpandikiza kibaraka wao ili aitawale Ukraine kamwe hauwezi kufanikiwa, watagonga mwamba vibaya, tusubiri tuone.
 
Back
Top Bottom