Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Kama nanihii subili tena utachukua anayekuzidi umri ha ha ha
Ni kweli ILA SI MKE WA MTU. ILA natamani San nimiliki lishanagzi huwa nawakubali SANA mkuuu


Kwishaaaaaaa


Bro Alex on da beats
 
Akifika miaka 40 halafu anampenda mke wa mtu mwenye miaka 50 😃😃😃 utasikia umri namba tu
Ndo hapo sasa. Si wengine utasikia ohhh mi wiezi. Na huku wakikaa gheto,wake za watu wakipika ndo wanawapelekea msosi humo. Wawaache tu. Wasipowala,wasubili wakioa,wake zao wataliwa tuuuu.
 
-Nilimkopesha hela akashindwa kulipa,nikamtyomba na akanyonya hadi mashine.
 
-Nilimkopesha hela akashindwa kulipa,nikamtyomba na akanyonya hadi mashine.
Dah! Una roho mbaya, siku akikokopesha, jiandae atakutia vidole kulipiza kisasi. Teh teh teh teh. Watu wa Mungu,haya hayaoni? Watu wanateseka,mpaka watoto wale lazima washenyetwe!!
 
Dah! Una roho mbaya, siku akikokopesha, jiandae atakutia vidole kulipiza kisasi. Teh teh teh teh. Watu wa Mungu,haya hayaoni? Watu wanateseka,mpaka watoto wale lazima washenyetwe!!
-Acha ufala labda utiwe vidole ww
- nimemtyomba mara tatu kwa deni la laki1
 
Ndo hapo sasa. Si wengine utasikia ohhh mi wiezi. Na huku wakikaa gheto,wake za watu wakipika ndo wanawapelekea msosi humo. Wawaache tu. Wasipowala,wasubili wakioa,wake zao wataliwa tuuuu.
Ni zamu kwa zamu, mme yupo busy na mademu huko nje, mkewe anabaki na ukiwa hivyo wenye mageto wanajipatia fursa 😂
 
No cwez NAOMBA MUNGU aniepushe mbali videmu mtaani ni vingi SANA unajipigia TU kwa Nini ukamuumize mwenzio,? Malipo hapa hapa duniani nawe utachapiwa mkuu NAOMBA MUNGU anilinde[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]


Kwishaaaaa


Bro Alex on da beats yoow
Hata usipochapa za watu wa kwako atakuja kugongwa tu na wahuni, sema ndo ivo aisee tuombe Mungu tu atuepushe na haya majanga..
 
Hata usipochapa za watu wa kwako atakuja kugongwa tu na wahuni, sema ndo ivo aisee tuombe Mungu tu atuepushe na haya majanga..
Hivi, mnayaitaje majanga wakati waume zao ndo chanzo cha yote?
Ulimwengu wa sasa, hakuna mwanaume anaetaka kuoa mama wa familia. Wanashindana kuoa sura, makalio, mnato, mliwa Tigo, na mengine mengi.

Unamkuta mwanamke, sehemu zake za siri zimetumika, yaani kama ingekuwa gari la mchina, hata tairi moja ingekuwa haina.

Huyo huyo, ndo unamtaka,na mwenzio hapo, tena mshikaji wako wa karibu ashamlala mara kibao.

Wewe una nini jipya?

Kijijini, eti hawajui mambo ya mjini, ni washamba tu.

Uzuri walalamikaji wote wanajua kinachoendelea sema tu wanajizima data.
 
Hata usipochapa za watu wa kwako atakuja kugongwa tu na wahuni, sema ndo ivo aisee tuombe Mungu tu atuepushe na haya majanga..
Mkuu ni bora uchapiwe, ILA SI WEWE uchape wake za WATU. Sasa HIVI UNAWEZA ona POA TU ILA Kuna UMRI UKIFIKA, unaanza kuona ULE ULIKUA ujinga TU. Mkuu hujawai ona hiyo.



Kwishaaaa
 
Mkuu ni bora uchapiwe, ILA SI WEWE uchape wake za WATU. Sasa HIVI UNAWEZA ona POA TU ILA Kuna UMRI UKIFIKA, unaanza kuona ULE ULIKUA ujinga TU. Mkuu hujawai ona hiyo.



Kwishaaaa
Uko sahihi, ila sijasema kwamba ukichapiwa na ww ukafanye laah hasa tulia tu hapo hapo ila hujui maumivu ya kuchapiwa wewe aisee [emoji23][emoji23] inaumaga hiyo kitu sio poa man..
 
Mwanamke anachagua wa kufanya nae ngono na mwanaume anaamua wa kufunga nae ndoa. Mwanamke wakati wowote na popote hata kwenye kitanda chako anaweza kuliwa. Hivo mwanaume usiumize kichwa endelea na maisha yako
 
Alinitaka mwenyewe yule mtoto wa kipare mweupe pee mme wake ni pharmaceutical mkubwa kwenye hospital kubwa tako lake tamu hatari siji kusahau
 
Uko sahihi, ila sijasema kwamba ukichapiwa na ww ukafanye laah hasa tulia tu hapo hapo ila hujui maumivu ya kuchapiwa wewe aisee [emoji23][emoji23] inaumaga hiyo kitu sio poa man..
Una uhakika GANI sijawahi chapiwa man?


Kwishaaaa
 
Muunganiko mtakatifu unakuwaje?
Kutembea na mke wa mtu ikiwa unajua ni mke wa mtu hiyo sio tamaa bali ubaradhuli usiokuwa na kifani.

Na mwanamke anaeruhusu kulalwa na mwanaume mwingine ikiwa yeye ni mke wa mtu basi huyo amepoteza sifa zote za kuwa mke wa mtu.

Ndoa ni muungano takatifu.
 
Back
Top Bottom