Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

😀😀🤣🤣🤣🤣
Hatariiii wabibi wwnapelekewa moto
Sana tu. We fikilia ana kama 45 na kuendelea, kijana wa miaka 22 anamshikisha ukuta au miguu anainua juu kifo cha yule mdudu. Daadeki🤣🤣🤣
 
Story nyingine bwana eh,uzuri jf hatufahamiani.

Siku moja nimepanga jiji moja,mi naishi nyumba kubwa,nje kukiwa na wapangaji wengine 3. Kila mmoja alikuwa na mke wake. Jama mmoja alikuwa na mke,mrembo tu,ile sogea tuishi.

Walikuwa na mtoto mmoja. Kumbe mwnamke alimficha mmewe kuwa alizaa watoto wengine(2). Acha simu ipigwe na atarifiwe kuwa watoto wa mkewe wamekuja kwa bibi yao.

Ugomvi ukaanza hivyo. Kila siku,ilikuwa ni kipigo cha ukweli. Mshikaji nae alikuwa mlevi kishenzi. Sasa,kuingilia ndoa za watu,ikawa ngumu. Leo jama ukimshauli,atashaulika,ila baada ya siku mbili,balaa.

Basi,siku moja bibie si akawa amepigwa jana yake! Akaja kushtaki na kwamba mwili mzima anahisi maumivu. Hapo kakaa kwenye viti vya kawaida sebureni,kawekewa kigodolo kidogo,akafanyiwa massage. Kumbe nae,hapo hapo anasikia raha.

Anzia mikono,upande wa juu wote(kasoro kifuani),mgongoni,miguuni,hapo bado kajivalia gauni lake. Kwa chini,mikono ikapandishwa kuyaminya mapaja na makalio,hapo kichwa cha 2 kimechachamaa.

Huku bado kalala kifudi fudi,miguu ilitandazwa,nae hakuleta ugumu,kitu kikazamishwa. Aliitikia kama vile alikuwa analipia huduma aliopewa. Muda kidogo kageuka,hadi zoezi likaisha. Iliishia hapo mchezo haukurudiwa.
kijana wa dar es salaam kinondoni
 
Mara nyingi wanaume wa ovyo wanakuwa na wake wa maana ili mzani ubalansi
Kuna mmoja hapo amepitia msukosuko wa kusimamishwa kazi kwa hyo atakuwa amepunguza kufukuzia madem
Nani huyo yupo kwenye msukosuko wa kusimamishwa kazi?
 
Nilimla mke wa mchungaji,yeye alikuwa jirani yangu nilikuwa nimepanga ila yeye anaishi kwake,kila tukikutana alikuwa anahug ni kama dalili flani ya mtego,siku moja tulianza kuchat saa nne usiku,akaniambia mchungaji ameenda kusoma chuo, aliniita kwake nikagoma nikamwambia tukutane nje,kama kawaida tulipoonana akanihug mi sijui mkono ulifikaje ndani chupi yake,tukalala katikati ya miti ya minanasi,nazi na michenza,kudadeki vuta chupi chini nilimlaza chini,piga pumbu balaa tulivyomaliza kila mtu kivyake mara nashangaa baada ya nusu saa ananileta maji ya moto ya kuoga getoni.
 
Sana tu. We fikilia ana kama 45 na kuendelea, kijana wa miaka 22 anamshikisha ukuta au miguu anainua juu kifo cha yule mdudu. Daadeki🤣🤣🤣
Aisee sijui huwa inakuwaje,mbali na kunyanyua miguu juu anaambiwa pia inama mbuzi kagoma
 
Kutembea na mke wa mtu ikiwa unajua ni mke wa mtu hiyo sio tamaa bali ubaradhuli usiokuwa na kifani.

Na mwanamke anaeruhusu kulalwa na mwanaume mwingine ikiwa yeye ni mke wa mtu basi huyo amepoteza sifa zote za kuwa mke wa mtu.

Ndoa ni muungano takatifu.
unaitwa kanisani father nani
 
Back
Top Bottom