Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Usiku ule tulitoka watatu tukaenda kupata bia mbili tatu.Tulikuwa mimi,yeye(shemeji) na rafiki yake.Tukiwa tunapiga vitu(pombe)shemeji kila saa akawa ananichokoza anamuulizia ulizia wifii yake nikajua hapa kuja jambo,tukiwa tunakunywa nikaanza kupitisha mikono kwenye mapaja manene meupe laini ya shemeji huku nikimsifia alivyonona,wala hakuwa mkali

Tuliendelea kupiga tungi mwishowe yule rafiki yake na shemeji pombe zilipomkolea akatukimbia(Ni kawaida yake).Tuliendelea kunywa na shemeji mpaka mida ikasogea tukaazimia tuondoke.Shemeji akataka nimsindikize nikasema sawa nikamsindikiza mpaka karibu na kwake lakini akaniambia karibu nyumbani na zile pombe nikakaribia kweli,nikakaribishwa mpaka ndani.Mmewe alikuwa anafanyia kazi mkoa wa mbali hivyo hakuwepo na watoto walikuwa boarding,basi nilikaribishwa mpaka chumba cha watoto tukalala huko,tukafanya ya kwetu.Nilidamka saa 11 niwahi kwangu wakuda wasije kuniona nikitoka mle asubuhisubuhi na kuconnect dots.Toka siku hiyo nikawa najipigia kika nitakapo.
Hiyo inatwa kulalizya 😄😄😄😄
 
Au siyo...
Sasa wewe endelea na hizo concept zako,wakikufumania huwa hawana mambo mengi,ni mwendo wa baby Johnson kidogo ili wasikuumize sana
Bora hiyo kule Twitter nimesoma eti kuna mtu alisokomezwa sime ya matako kwa kuiba mke wa mtu. Na alikufa baadae
 
Aisee sijui huwa inakuwaje,mbali na kunyanyua miguu juu anaambiwa pia inama mbuzi kagoma
Haya maisha, na akili za viumbe wa siku hizi, basi tu.

Unajiuliza, mtu anaanzaje mwanamke sawa au hata anaemzidi mama yake, na si usiku, hawajalewa, anasoundisha mpaka anawin.

Mzazi mwenyewe, anatongozwa na mjukuu wake kabisa, na anaona ni kawaida, nguo anasaula, lodge analipia, na asante kuja anatoa yeye.
Mbibi huyu huyu anakuwa na wivu, akikuona na kitoto cha lika lako, ujue timbwili lake utasimulia.
 
sio poa ila ilinitokea mke wa mtu alikua ananiomba sana pesa mpaka akijiweka kwenye reli nikamla kimskhara.
Hukula ki masikhara hii mzee, ila ulinunua kwa mfumo wa installments! Wake za watu wengi now wanajiuza sana indirect au kwa mkopo.. kuna mazingira anajiweka kwako we unaweza kuhisi ni zali kumbe ni mtego tu baadae unaanza pigwa mizinga kwakua usha onja utamu wa asali basi unatoa tu, au anakuja kwa njia hiyo ya kukukopa kopa kila mara afu malipo unaishia kumla na hakulipi hela zako (kakuuzia K hivyo)..
 
We bado mtoto. Subiri ufike walau 40 na kuendelea, urudi hapa.
No cwez NAOMBA MUNGU aniepushe mbali videmu mtaani ni vingi SANA unajipigia TU kwa Nini ukamuumize mwenzio,? Malipo hapa hapa duniani nawe utachapiwa mkuu NAOMBA MUNGU anilinde🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏


Kwishaaaaa


Bro Alex on da beats yoow
 
No cwez NAOMBA MUNGU aniepushe mbali videmu mtaani ni vingi SANA unajipigia TU kwa Nini ukamuumize mwenzio,? Malipo hapa hapa duniani nawe utachapiwa mkuu NAOMBA MUNGU anilinde🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏


Kwishaaaaa


Bro Alex on da beats yoow
Napo ishi Mimi Kuna wake za WATU tumepanga NAO SA una Kuta mwanamke kaolewa NDOA za mitala ye n MKE MDOGO mumewe anakaa HADI MWEZI hajakanyagapo, NAMI napga NAO STORI mwanzoni niliomba nikapangwa NIPIGE BADAE nkajifikiria nkatemana NAO HADI WAO walishangaa wakahisi NILIKUA nawatega ILA NDO hivo ATA SASA NIKI tak napiga ILA big no mkuu nilivo ingia ZENJI nilishangaa mademu kibao ALAF hawana TATIZO ni WEWE TU utake mshangaz WAPO vitoto VIPO n WEWE TU.



Kwishaaaaa



Bro Alex on da beats
 
Back
Top Bottom