VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,489
- 1,465
Tatizo ni moja, mpaka mwanamke analiwa, unadhani anakuwa kashikiwa panga? Ni maamzi yake tu. Na mwanamke akichepuka, ujue ashakuchoka kitambo. Na wangapi wanasema tushaachana? Viumbe wa ajabu sana. Kwa hiyo, jifunze tu kupotezea kwa ajili ya watoto(kama ni wako)Uko sahihi, ila sijasema kwamba ukichapiwa na ww ukafanye laah hasa tulia tu hapo hapo ila hujui maumivu ya kuchapiwa wewe aisee [emoji23][emoji23] inaumaga hiyo kitu sio poa man..