Haya,kwani wanaogonga wengine si masela tu. Kwanza,kama upo kamili,unatakiwa ujichunguze na ujue chanzo cha yeye kuchepuka ni nini. Kama una mapungufu,jirekkebishe. Kama yapo nje ya uwezo wako,acha aliwe. Haya,mmatukio haya umeyaona. Unadhani wanaowala hawajawahi shuhudia mengine zaidi ya hilo?
Acha nikupe kisa kilichonikuta mie: siku moja,kuna jimama lina watoto watatu,mmoja mkubwa alikuwa na kama 12 years. Halikuwa na baba watoto. Siku ya kufa nyani,miti yote ndo kama unavosikiaga. Si likawa na jipu? Kwenye paja.. akamtuma mtoto huyo kutafuta soda umbali wa kilometa kama 2 hivi. Kumbe dogo sijui machale yakamcheza,hakufika. Sasa ile kuonyeshwa jipu,sebuleni,tupo wawili,mkono ukapanda mpaka kivulini,fasta,mlingoti ukatembea. Si anajua mtoto amemtuma atakuwa hata hajafika! Mlango umeegeshwa tu. Mara paaaap. Litoto hilo hapo,na sukumawiki inachumwa. Mzeee! Sema tu yasikie kwa mtu. Ingelikuwa ni mwenye mali,kama hajitambui,hakika unakoma.