Inaelekea hueleweki wewe.... Ngoja nielekeze nguvu zangu kwa wapinzani.Lazima nijue kwanza.....Unajua sio mchezo kusaliti ndoa. ...
Nini kipya kwanza?
Uzi huu lazima ulikuwa wa enzi zile hakuna Whatsupp na mambo mengine ila ninachokubali umesema ukweli sana.
Filipo big up sana kwa kumdaka juu juu shemelaaa letu la ukweli.
Ila sasa upunguze macho juu juu ili asikonde maana anaonekana ana kawivu fulani
Whatsapp imemaliza nguvu ya chitchat. Watu wameanzisha vigrupu kibao. Hakyamama hata kipaji changu cha kutongoza kimeshuka sana...
sijakuelewa mkuu uliposema hukuwahi kuwauliza mods kuhusu password yako, unataka kusema mods wanajua password zetu au?Tarehe kama ya leo, mwezi wa kwanza, mwaka 2011 (6th Jan 2011), Nilipata fursa ya kujiunga na Jamii Forums. Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kudumu humu jamvini mpaka sasa ..
SABABU YA KUJIUNGA
Habari za SIASA motomoto nilizokuwa nikizipata miaka ile kwenye JAMBO FORUMS, ndizo zilikuwa chachu ya mimi kujiunga tena...
KWA NINI TENA?
Baada ya kukaa nje ya mtandao kwa muda mrefu, nadhani Jambo Forums waliondoka na password yangu... Nilijaribu sana kukumbuka password lakini niliambulia patupu...."Sikuwahi kupata wazo la kuwauliza Mods"
MAFANIKIO
Nimeweza kupata marafiki wengi ,ambao tunafurahi pamoja, tunashirikiana katika mambo mbalimbali.Kimsingi wamekuwa ni sehemu ya familia yangu....
Lini ningekwenda Tanga na kuenjoy kiviile kama sio JF? Big Up sana Arusha-WING, TA-WING na DAR-WING....
Nimeweza kufuatilia mambo mbalimbali ya kisiasa yanayoendelea Nchini,ya kupendeza,kuhuzunisha nk.... Daima nitashukuru kuwepo kwa Jukwaa la Siasa maana bila wao, hakika nisingefika hata huku Chit Chat....
SHUKRANI ZA PEKEE.
Ziwafikie Mods ambao mpaka sasa hawajawahi kunipa hifadhi kule BAN GUEST HOUSE... Nasikia kule kuna mateso balaa, alinidokeza Mungi . Muendelee na moyo huo huo, mkizidi kufanya kazi yenu kwa umakini, msinikumbuke kabisa katika huo ufalme wa BAN..
Pili kwa mume mpenzi Filipo ,kwa kunidaka juu juu.. Nakiri kwamba upinzani upo ,tena mkubwa toka kwa Smile , ladyfurahia , sweetlady Arabela amu ila sintolala usingizi kabisa.... Baadhi ya niliowataja kwa namna moja wanampenda au wanapendwa na mume wangu.... Nayahesabu kwamba ni mapungufu ya kibinadamu....
UJUMBE:
Mimi na Filipo hatukukutana barabarani ,na kama hamuamini angalieni lini tulijiunga JF....
Nawatakia Upendo, Furaha , na Mafanikio katika kila Jambo mtakalolipanga kwa mwaka huu mpya 2013...
Copy: PakaJimmy , Blaki Womani , Preta , Lily Flower , Arushaone , Mr Rocky , Mungi , Mzee wa Rula , LiverpoolFC , Erickb52 , Smile , Arabela , Dark City , madame V , Nicas Mtei na wengine ambao sijawataja...
Sichezi tena na wewe...Wanarenyiu wapi kipaji cha kutongoza?
Kabisa Babu Asprin yaani Chit Chat kama imebaki historiaWhatsapp imemaliza nguvu ya chitchat. Watu wameanzisha vigrupu kibao. Hakyamama hata kipaji changu cha kutongoza kimeshuka sana...
Kama mimi nimeungwa makundi kama matano hivi ya wanaJF tofautitofauti. Sijui namba zangu wanazipatia wapi wallah... Basi full balaa...
Inabidi tuamshane wakongwe tuifufue. Hakuna burudani kama chitchat ya JF. Wallah tenaKabisa Babu Asprin yaani Chit Chat kama imebaki historia
Hueleweki bhana... utanichafuaTucheze bana ya kujificha. ....
Una uhakika unachokinena?Umenena vyema. ....
Sitakuja na mke... changanya na zako.Nije na mume?
Sasa umeongea. Nikukute without tafadhali...Njoo ufanye ukaguzi