Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,832
- 29,490
Habaha spotezei machungu. Okay lowassa ameondoka then what. Binafsi sio mwanachama.ukabila had none to do with Lowassa
unajaribu kupotezea machungu ya ukweli
chama cha kifamilia na uongozi wa kiukoo
kambi zake kuu ziko kaskazini
uteuzi wa viti maalum wa moshi anateuliwa Songea nk
Ila hizi kelele za chama cha kifamilia. Sijui kambi zote ziko kaskazini.. zimetokea wapi? Hakuna mtoto wa mbowe.. wala ndugu yake mwenye uongozi cdm..
Nimechunguza kwa umakini nikaona makabila mengine kama akina mashinji.. akina lissu..akina mnyika.. ester.. hawa si wa kaskazini..
Hizi kelele za kwamba ni cha kikabila zilanza lowassa alipohamia. Leo kaondoka huko what next?
Sent using Jamii Forums mobile app