Ilikuwa ni vigumu kwa 'unafiki' wa Kagame kuendelea kuwa rafiki wa Magufuli

Mimi Msukuma.

Na hapo nakupa sababu nyingine zaidi, kwa watu wanaosema ninamsema Magufuli kwa chuki binafsi, kwamba namsema kwa principle, si kwa chuki binafsi.

Kwa sababu, ningeweza kuondoa principle nilete ukabila kusema huyu mzee wa kwetu, zamu yetu kutesa, nimsifie.

Magufuli anamuheshimu sana Mzee wangu wamefanya naye kazi miaka mingi.Kiukweli ni kama mzee wangu.

Lakini, mimi najali principles.

Siangalii kwamba Msukuma, siangalii anajuana na mzee wangu.

Naangalia principles za uongozi tu.

Kwamba, kama tunamsema Kagame mnafiki, Magufuli naye hatuwezi kumuacha.

Magufuli anajinadi kupiga vita rushwa, wakati alimuhonga nyumba ya serikali hawara wake Kabula.

Huo nao ni unafiki.

Sasa, kama tunataka kumshambulia Kagame tu, tunatumia habari ya unafiki kinafiki, sawa.

Lakini, kama tunataka kweli kumulika unafiki, Magufuli naye mnafiki.
Kiranga Kiranga Mzee alikuwa Ex-General au???
 
Mimi Msukuma.

Na hapo nakupa sababu nyingine zaidi, kwa watu wanaosema ninamsema Magufuli kwa chuki binafsi, kwamba namsema kwa principle, si kwa chuki binafsi.

Kwa sababu, ningeweza kuondoa principle nilete ukabila kusema huyu mzee wa kwetu, zamu yetu kutesa, nimsifie.

Magufuli anamuheshimu sana Mzee wangu wamefanya naye kazi miaka mingi.Kiukweli ni kama mzee wangu.

Lakini, mimi najali principles.

Siangalii kwamba Msukuma, siangalii anajuana na mzee wangu.

Naangalia principles za uongozi tu.

Kwamba, kama tunamsema Kagame mnafiki, Magufuli naye hatuwezi kumuacha.

Magufuli anajinadi kupiga vita rushwa, wakati alimuhonga nyumba ya serikali hawara wake Kabula.

Huo nao ni unafiki.

Sasa, kama tunataka kumshambulia Kagame tu, tunatumia habari ya unafiki kinafiki, sawa.

Lakini, kama tunataka kweli kumulika unafiki, Magufuli naye mnafiki.
Unadhani unao mfano wa kiongozi clear katka sayari hii na utupe asiye na unafiki awe mfano?
 
Sisi tulimaliza habari za uteuzi wa rais enzi za Nyerere na Mwinyi.

Wengine tumetembea corridors za Ikulu tangu tumboni mwa mama zetu, kazi za serikali tunaona mzigo wa chawa tu.

Limbukeni nyie mnaoona deal bado.
Unataka Sana uteuzi sio kwa kuhangaika huko
Wee endelea kupambana na hali yako
Subiri Tena Magu awafikirie hahahaha
 
Unataka Sana uteuzi sio kwa kuhangaika huko
Wee endelea kupambana na hali yako
Subiri Tena Magu awafikirie hahahaha
Weka fact, acha speculations.

Ikiwa kijijini kwenu kila mtu analilia uteuzi, usifikiri kila mtu anawaza ujinga huo.

Usinitoe katika reli.

Fact.

Magufuli ni mnafiki.

Anajinadi kupiga vita rushwa, wakati yeye mwenyewe kamuhonga hawara wake nyumba ya serikali.
 
Mimi Msukuma.

Na hapo nakupa sababu nyingine zaidi, kwa watu wanaosema ninamsema Magufuli kwa chuki binafsi, kwamba namsema kwa principle, si kwa chuki binafsi.

Kwa sababu, ningeweza kuondoa principle nilete ukabila kusema huyu mzee wa kwetu, zamu yetu kutesa, nimsifie.

Magufuli anamuheshimu sana Mzee wangu wamefanya naye kazi miaka mingi.Kiukweli ni kama mzee wangu.

Lakini, mimi najali principles.

Siangalii kwamba Msukuma, siangalii anajuana na mzee wangu.

Naangalia principles za uongozi tu.

Kwamba, kama tunamsema Kagame mnafiki, Magufuli naye hatuwezi kumuacha.

Magufuli anajinadi kupiga vita rushwa, wakati alimuhonga nyumba ya serikali hawara wake Kabula.

Huo nao ni unafiki.

Sasa, kama tunataka kumshambulia Kagame tu, tunatumia habari ya unafiki kinafiki, sawa.

Lakini, kama tunataka kweli kumulika unafiki, Magufuli naye mnafiki.


Mkuu me nimekuelewa kwenye majibu yako,ila sasa nina swali hili kwako....

Kwasababu Magufuli alimuhonga hawara wake nyumba wakati akiwa waziri,leo hii akiwa kama Rais,je asijaribu kupambana na rushwa kwasababu ataonekana mnafiki??

Je ingekuwa wewe umefanya kama alivyofanya Magufuli, usingejaribu kusahihisha makosa yako kisa tu utaonekana mnafiki kwa wengine??
 
Mkuu me nimekuelewa kwenye majibu yako,ila sasa nina swali hili kwako....

Kwasababu Magufuli alimuhonga hawara wake nyumba wakati akiwa waziri,leo hii akiwa kama Rais,je asijaribu kupambana na rushwa kwasababu ataonekana mnafiki??

Je ingekuwa wewe umefanya kama alivyofanya Magufuli, usingejaribu kusahihisha makosa yako kisa tu utaonekana mnafiki kwa wengine??
Swali lako lingekuwa na mantiki kama Magufuli angekuwa anapambana na rushwa.

Ambapo napo angetakiwa kuanza kwa kuwa muwazi na angalau kutubu makosa yake kwanza.

Hakuna vita dhidi ya rushwa inayofanikiwa bila uwazi.

Uficho ni mwanya wa rushwa. Uwazi unaondoa mazingira ya rushwa.

Lakini swali lako halina mantiki. Limejengwa katika msingi wa kwamba Magufuli anapambana na rushwa leo.

Swali halina mantiki.

Kwa sababu mpaka leo, Magufuli hapambani na rushwa.

Ila, anafanya siasa kwa kujinadi kuwa anapambana na rushwa.

Hii vita dhidi ya rushwa ni ya "danganya toto"

Unafiki wake hauishii huko nyuma kwenye kuhonga nyumba. Mpaka leo anaendesha ATCL kwa kukataza vitabu kukaguliwa.

Anafanya manunuzi bila zabuni.

Kajenga uwanja wa ndege Chato bila mkataba kujulikana.

Kwani Magufuli anapambana na rushwa?
 
Weka fact, acha speculations.

Ikiwa kijijini kwenu kila mtu analilia uteuzi, usifikiri kila mtu anawaza ujinga huo.

Usinitoe katika reli.

Fact.

Magufuli ni mnafiki.

Anajinadi kupiga vita rushwa, wakati yeye mwenyewe kamuhonga hawara wake nyumba ya serikali.
Huna lolote
WEE endelea kulia Lia kwenye mitandao
Mnafikiri kwa vile baba zenu walipewa nafas za uongozi basi na watoto lazima mpewe
Magu kama aliwahi kugawa nyumba ndio kigezo Cha kuruhusu madereva wa Tz kunyanyasika, yaan asiongelewe mtu yoyote kama amekosea basi lazima naMagu atajwe eti aligawa nyumba kwa hyo NI mnafiki
Khaaa poleee
 
Huna lolote
WEE endelea kulia Lia kwenye mitandao
Mnafikiri kwa vile baba zenu walipewa nafas za uongozi basi na watoto lazima mpewe
Magu kama aliwahi kugawa nyumba ndio kigezo Cha kuruhusu madereva wa Tz kunyanyasika, yaan asiongelewe mtu yoyote kama amekosea basi lazima naMagu atajwe eti aligawa nyumba kwa hyo NI mnafiki
Khaaa poleee
Mimi siwezi kufanya kazi serikalini. Kazi zina lawama nyingi na haziwezi kunilipa mshahara ninaotaka.

Naona huwezi kujibu facts.

Fact.

Magufuli ni mnafiki.

Anajinadi kupambana na rushwa wakati hapo hapo kakataza vitabu vya ATCL kukaguliwa.

Kahinga nyumba ya aerikali hawara wake ambaye hata hakuwa mfanyakazi wa serikali.
 
Rasmi sasa urafiki wa kinafiki baina ya JPM na Kagame u mbioni kukoma hii ni kwa sababu ya mmoja wapo ni mnafiki-PK.


Kuna sintofahamu kubwa pale mpakani mwa Tanzania na Rwanda pale Rusumo ni baada ya Serikali ya kuamua madereva wote wa gari za Rwanda kupimwa Covid 19 na ili waruhusiwe kuendelea na safari ni lazima wangojee majibu ya vipimo kwa muda wa siku 7 pale mpakani ndiposa kwa wale majibu yao yakiwa sawa wataruhusiwa kuendelea na safari na wale majibu yao yakiwa chanya watazuiliwa kuingia Tanzania.



Hali hiyo inaonekana ni wazi Serikali ya Tanzania imeamua kulipa kisasi kwa namna madereva wa Tanzania wanavyo fanyiwa hasa wawapo upande wa Rwanda.


Ikumbukwe dereva yeyote wa Tanzania aikiingia upande wa Rwanda anapaswa;

kwanza muda wote awe anasindikizwa na askari polisi wenye silaha!


pili muda wote haruhusiwi kuchangamana kwa namna yeyote ile na wananchi wa Rwanda hii ni pamoja na kutoruhusiwa kula chakula mgahawani,kununua mahitaji yeyote ya msingi hawaruhusiwi!


tatu na kwa masharti magumu hasa ni gari chache tu za Tanzania zinaruhusiwa kufaulisha mzigo na gari za kampuni mama zilizopo Tanzania tena kwa lazima dereva awe na work permit pia lazima awe na cheti cha majibu ya maabara yao ya Taifa.


LAKINI LILILO BAYA ZAIDI NI UNYANYAPA WANAOFANYIWA WATZ KWAKWELI NI ZAIDI YA USHETANI!WANATEMWA HADI MATE!


Katika maamuzi hayo ya Serikali yetu ya Tanzania niwe wa kwanza kuipongeza kwalo.Kwa hakika Nchi ya Rwanda nje ya ujirani ni watu wabinafsi na wanafiki sana na hao dawa yao ni man to man!


MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Acha wivu unafiki upi na SGR inaenda Rusumo??
 
Swali lako lingekuwa na mantiki kama Magufuli angekuwa anapambana na rushwa.

Ambapo napo angetakiwa kuanza kwa kuwa muwazi na angalau kutubu makosa yake kwanza.

Hakuna vita dhidi ya rushwa inayofanikiwa bila uwazi.

Uficho ni mwanya wa rushwa. Uwazi unaondoa mazingira ya rushwa.

Lakini swali lako halina mantiki. Limejengwa katika msingi wa kwamba Magufuli anapambana na rushwa leo.

Swali halina mantiki.

Kwa sababu mpaka leo, Magufuli hapambani na rushwa.

Ila, anafanya siasa kwa kujinadi kuwa anapambana na rushwa.

Hii vita dhidi ya rushwa ni ya "danganya toto"

Unafiki wake hauishii huko nyuma kwenye kuhonga nyumba. Mpaka leo anaendesha ATCL kwa kukataza vitabu kukaguliwa.

Anafanya manunuzi bila zabuni.

Kajenga uwanja wa ndege Chato bila mkataba kujulikana.

Kwani Magufuli anapambana na rushwa?




Jibu langu limeegemea zaidi kwenye post yako ya kwanza,ambapo ulisema ...


Magufuli anajinadi kupambana na rushwa wakati amehonga nyumba kwa hawara wake,

Nawewe post yako ya mwanzo ingekuwa na mantiki zaidi endapo Magufuli angekuwa amehonga nyumba kwa hawara kipindi hiki akiwa Rais na huku akijinadi kupambana na rushwa,na si wakati akiwa waziri wakati ule.

Na hayo mambo mengine unayoyasema hapa ya kukata kukaguliwa vitabu vya ATCL,kujenga uwanja wa ndege chato bila mkataba kujulikana na kufanya manunuzi bila zabuni ni mambo unayoyaongea kihisia zaidi kuliko kuwa na facts



Kwa mambo hayo kuwa kama yalivyo,haimaanishi lazima kuwe na rushwa ndani yake,ingawa vile vile sisemi hakuna uwezekano wa rushwa kuwepo.


Sina uhakika kama ambavyo hauna uhakika!!!
 
Kwa hiyo wewe unayemwaminia kuwa sio mnafika ni nani kuko ufipa? Tuwekee jina hapa tukuonyeshe unafiki wake.

Pili kumpa mtu nyumba au kitu sio unafiki.
Kwani wewe umeshahongwa vingapi? Je hao waliokuhonga pia ni wanafiki?
Punguza jazba alafu usikariri kila anaemsema Magu anatokea ufipa! Wengine mko nao huko Lumumba na wanampiga madongo kama kawaida
 
PK ni master mind, kashafanya yake mererani huko. Jamaa anatafuta fursa zozote nje ya nchi yake ili awanufaishe wanyarwanda, ikumbukwe rwanda haina rasilimali zozote za maana ila jamaa anapambana
Kafanya nini mkuu?
 
Back
Top Bottom