JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,521
- 7,570
Kubomoa jengo la shrika la uma NHC badala ya kulipangisha kwa mpangaji mpya ili liendelee kuliingizia shirika na Taifa fedha sio unafiki huo kwa mtu anayejiita mzalendo!? Sasa lile likiwanja lililo wazi pale miaka 4 sasa limeingiza shilingi ngapi!? Nazungumzia jengo Billcanasilipokuwa imepanga.