Ilikuwa ni vigumu kwa 'unafiki' wa Kagame kuendelea kuwa rafiki wa Magufuli

Kila siku hizo story za kupewa nyumba na kuishi marekani
Hata ungepewa nyumba zote za masaki na Oyesterbay bado huna furaha wewe
Inainyesha wazi una matatizo ya kisaikolojia
Uandish wako unaeleza
Kuishi USA sio ndio kuwa na furaha
Hahahaaa

Kama anaishi marekani ya huku tz yanamuhusu nini? Apambane na ya trump na wazungu kwa jinsi wanavyo watungua na manati kama njiwa.

Kuna kijana alitoka huko marekani tupo nae hapa jirani lakini utadhani alitokea polini, hata mtu akikwambia huyo jamaa aliishi marekani zaidi ya miaka kumi na zaidi hutakubali mpaka wakuue
Kwa hiyo hata marekani wapo wajingawajinga.
 
Umeshindwa hoja, unaleta viroja.

Siamini Shetani yupo, kwa sababu siamini Mungu yupo.

Usitoke nje ya mada.

Magufuli ni mnafiki.

Anajifanya kupiga vita rushwa, wakati yeye mwenyewe kamuhonga hawara wake Kabula nyumba ya serikali.

That is a fact.
Daah hapo kwa kabula noma sana.
 
Kama anaishi marekani ya huku tz yanamuhusu nini? Apambane na ya trump na wazungu kwa jinsi wanavyo watungua na manati kama njiwa.

Kuna kijana alitoka huko marekani tupo nae hapa jirani lakini utadhani alitokea polini, hata mtu akikwambia huyo jamaa aliishi marekani zaidi ya miaka kumi na zaidi hutakubali mpaka wakuue
Kwa hiyo hata marekani wapo wajingawajinga.
Hahahaaaa apambane na ya Trump ya Tz yanamhusu nn
 
Maraa 10000 umuamini mrundi sio mnyarwanda... Mrundi ukimuonesha uungwana na kutokumzulumu haki yakeee basiii, atakuwa rafiki wa milele,,, Ila mnyarwanda anaweza kuja kwako/ugenini afu akaanza kunusaa nusaa Hadi chakula,,, kengeee kbsaa walee
 
Mkuu inaonyesha unamchukia Mr President Sana


Mpaka nakuonea huruma
Hapana.

Sina sababu ya kumchukia mtu aliyeipa familia yangu nyumba ya dola milioni tatu Oysterbay.

Kwetu Magufuli ni kama family friend, kabla hajawa rais.

Mzee wangu alivyokuwa serikalini, wakati akimtolea uvivu Mkapa na kumpa maneno yake, Magufuli ndiye alikuwa mtu wa kwanza kumpigia simu na kumpongeza kwa kusema "ukweli mchungu" ambao kila mtu aliujua, lakini watu wa serikalini,oamoja na Magufuli mwenyewe, walikuwa wanaogopa kumwambia Mkapa.

Kusema mimi naandika kwa chuki ni kukubali kuwa na mawazo mafupi.

Kwa nini unafikiri naandika kwa chuki na si kwa sababu ya tofauti za kifalsafa kuhusu misimamo ya kisiasa?

Kwa mfano.

Magufuli kaangusha biashara ya korosho.

Kafanya serikali iingikie biashara ya korosho mpaka biashara ineharibika vibaya sana.

Mpaka mapato ya mazao ya kilimo ya miaka michache nyuma yalishuka vibaya sana, kwa mujibu wa ripoti ya BOT ya September 2019. Mapato yalishuka kwa asilimia 55, kwa kulinganisha mwaka ulioishia August 2019 na ulioutangulia.

Mimi kifalsafa sioendi serikali kuingikia sana biashara. Serikali inatakiwa kuweka mazingira mazuri tu na kuacha biashara wafanye wengine.

Niliona Magufuli anaharibu. Nikaonya.

Akaharibu. Mpaka leo watu kusini wanalia niashara ya korosho ikivyoharibiwa.

Sasa hapo nikimsema Magufuli kafanya vibaya kuingilia biashara ya korosho, kwa sababu zangu za kifalsafa kwamba sikubaliani na serikali kujiingiza kwenye biashara, na kwa kuangalia matokeo ya Magufuli kuingilia biashara ya korosho, utasema namsema Magufuli kwa sababu namchukia?

Kweli utakuwa umenifanyia haki kusema namchukia Magufuli wakati naweza kukuonesha Magufuli alivyoharibu biashara ya korosho kwa data za mauzo ya korosho nje ya nchi?
 
Nashindwa kuonisha unafiki na kuhonga nyumba.
Borabile Pk mnafikinna jpm mnafiki sawa
Je PK alihonga nini? Kinafiki na
Jpm alihonga numba kinatiki

Nadhani kuna mtu ana stress
Hongwa wewe kinafiki pia
 
Atakuwa amekosa uteuzi
Au mmoja katika wanafamilia yao amekosa uteuzi
Labda alipoona amepewa nyumba akasubiri na uteuzi
Sisi tulimaliza habari za uteuzi wa rais enzi za Nyerere na Mwinyi.

Wengine tumetembea corridors za Ikulu tangu tumboni mwa mama zetu, kazi za serikali tunaona mzigo wa chawa tu.

Limbukeni nyie mnaoona deal bado.
 
Rasmi sasa urafiki wa kinafiki baina ya JPM na Kagame u mbioni kukoma hii ni kwa sababu ya mmoja wapo ni mnafiki-PK.


Kuna sintofahamu kubwa pale mpakani mwa Tanzania na Rwanda pale Rusumo ni baada ya Serikali ya kuamua madereva wote wa gari za Rwanda kupimwa Covid 19 na ili waruhusiwe kuendelea na safari ni lazima wangojee majibu ya vipimo kwa muda wa siku 7 pale mpakani ndiposa kwa wale majibu yao yakiwa sawa wataruhusiwa kuendelea na safari na wale majibu yao yakiwa chanya watazuiliwa kuingia Tanzania.



Hali hiyo inaonekana ni wazi Serikali ya Tanzania imeamua kulipa kisasi kwa namna madereva wa Tanzania wanavyo fanyiwa hasa wawapo upande wa Rwanda.


Ikumbukwe dereva yeyote wa Tanzania aikiingia upande wa Rwanda anapaswa;

kwanza muda wote awe anasindikizwa na askari polisi wenye silaha!


pili muda wote haruhusiwi kuchangamana kwa namna yeyote ile na wananchi wa Rwanda hii ni pamoja na kutoruhusiwa kula chakula mgahawani,kununua mahitaji yeyote ya msingi hawaruhusiwi!


tatu na kwa masharti magumu hasa ni gari chache tu za Tanzania zinaruhusiwa kufaulisha mzigo na gari za kampuni mama zilizopo Tanzania tena kwa lazima dereva awe na work permit pia lazima awe na cheti cha majibu ya maabara yao ya Taifa.


LAKINI LILILO BAYA ZAIDI NI UNYANYAPA WANAOFANYIWA WATZ KWAKWELI NI ZAIDI YA USHETANI!WANATEMWA HADI MATE!


Katika maamuzi hayo ya Serikali yetu ya Tanzania niwe wa kwanza kuipongeza kwalo.Kwa hakika Nchi ya Rwanda nje ya ujirani ni watu wabinafsi na wanafiki sana na hao dawa yao ni man to man!


MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Hio Id yako vipi kaka mkubwa
 
Sijajadili mpenzi wa Magufuli.

Nimejadili unafiki wa Magufuli.

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Unataka kubisha na kusema Magufuli si mnafiki?

Kwa hiyo wewe unayemwaminia kuwa sio mnafika ni nani kuko ufipa? Tuwekee jina hapa tukuonyeshe unafiki wake.

Pili kumpa mtu nyumba au kitu sio unafiki.
Kwani wewe umeshahongwa vingapi? Je hao waliokuhonga pia ni wanafiki?
 
Hapana.

Sina sababu ya kumchukia mtu aliyeipa familia yangu nyumba ya dola milioni tatu Oysterbay.

Kwetu Magufuli ni kama family friend, kabla hajawa rais.

Mzee wangu alivyokuwa serikalini, wakati akimtolea uvivu Mkapa na kumpa maneno yake, Magufuli ndiye alikuwa mtu wa kwanza kumpigia simu na kumpongeza kwa kusema "ukweli mchungu" ambao kila mtu aliujua, lakini watu wa serikalini,oamoja na Magufuli mwenyewe, walikuwa wanaogopa kumwambia Mkapa.

Kusema mimi naandika kwa chuki ni kukubali kuwa na mawazo mafupi.

Kwa nini unafikiri naandika kwa chuki na si kwa sababu ya tofauti za kifalsafa kuhusu misimamo ya kisiasa?

Kwa mfano.

Magufuli kaangusha biashara ya korosho.

Kafanya serikali iingikie biashara ya korosho mpaka biashara ineharibika vibaya sana.

Mpaka mapato ya mazao ya kilimo ya miaka michache nyuma yalishuka vibaya sana, kwa mujibu wa ripoti ya BOT ya September 2019. Mapato yalishuka kwa asilimia 55, kwa kulinganisha mwaka ulioishia August 2019 na ulioutangulia.

Mimi kifalsafa sioendi serikali kuingikia sana biashara. Serikali inatakiwa kuweka mazingira mazuri tu na kuacha biashara wafanye wengine.

Niliona Magufuli anaharibu. Nikaonya.

Akaharibu. Mpaka leo watu kusini wanalia niashara ya korosho ikivyoharibiwa.

Sasa hapo nikimsema Magufuli kafanya vibaya kuingilia biashara ya korosho, kwa sababu zangu za kifalsafa kwamba sikubaliani na serikali kujiingiza kwenye biashara, na kwa kuangalia matokeo ya Magufuli kuingilia biashara ya korosho, utasema namsema Magufuli kwa sababu namchukia?

Kweli utakuwa umenifanyia haki kusema namchukia Magufuli wakati naweza kukuonesha Magufuli alivyoharibu biashara ya korosho kwa data za mauzo ya korosho nje ya nchi?
Mkuu hapa nimekuelewa Sana

Samahani Sana kwa kukuelewa vibaya
 
Mada iliyopo mezani ni unafiki wa viongozi wa kisiasa. That is a fact.

Magufuli ni kiongozi wa kisiasa. That is a fact.

Magufuli ni mnafiki. That is a fact.

Let's talk facts.
Mada: ilikuwa vigumu kwa "unafiki" wa kagame kuendelea kuwa rafiki wa magufuli.


Ndio maana nilisema fungua Uzi Wako na Sasa fungua Tena Uzi mwengine wenye mada "unafiki wa viongozi wa kisiasa"
 
Mimi si rais wala si topic ya uzi huu.

Magufuli ni topic ya uzi huu. That is a fact. Magufuli ni rais, that is a fact.

Na pia Magufuli ni mnafiki. That is a fact.

Stop speculations. Let's talk facts.
Lakini wewe si ni msukuma ndugu Kiranga??
 
Lakini wewe si ni msukuma ndugu Kiranga??
Mimi Msukuma.

Na hapo nakupa sababu nyingine zaidi, kwa watu wanaosema ninamsema Magufuli kwa chuki binafsi, kwamba namsema kwa principle, si kwa chuki binafsi.

Kwa sababu, ningeweza kuondoa principle nilete ukabila kusema huyu mzee wa kwetu, zamu yetu kutesa, nimsifie.

Magufuli anamuheshimu sana Mzee wangu wamefanya naye kazi miaka mingi.Kiukweli ni kama mzee wangu.

Lakini, mimi najali principles.

Siangalii kwamba Msukuma, siangalii anajuana na mzee wangu.

Naangalia principles za uongozi tu.

Kwamba, kama tunamsema Kagame mnafiki, Magufuli naye hatuwezi kumuacha.

Magufuli anajinadi kupiga vita rushwa, wakati alimuhonga nyumba ya serikali hawara wake Kabula.

Huo nao ni unafiki.

Sasa, kama tunataka kumshambulia Kagame tu, tunatumia habari ya unafiki kinafiki, sawa.

Lakini, kama tunataka kweli kumulika unafiki, Magufuli naye mnafiki.
 
Back
Top Bottom