Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,960
Na ukienda hospitali sindano ni PPF... SASA si nikawezoea kwamba PPF haiumi.... sasa siku nikaandikiwa christapeni... ilikuwa balaaUkikosa "Bluu" unatumia dawa flani ya vidonda ina rangi ya bluu inaitwa Jivii 😀😀
Mkulima 277...Hahahaaa! Zile radio nyuma zina kama "plywood" laini na ina matundu tundu halafu imeandikwa Dudu proof
Hahahaa...Ukute sasa siku ya mechi ya Simba na Yanga,watu wanaizunguka redio utafikiri wanaota moto wakati wa baridi.Mkulima 277...
Nilikuwa nayo shule O - level.. matangazo ya mpira wa miguu, michezo, vita vya ghuba na taarifa ya habari wana walikuwa wanaizunguka redio
Kuna wakati ikisikika tu gooooo..... anatokea mtemi anazima halafu hamumfanyi chochoteHahahaa...Ukute sasa siku ya mechi ya Simba na Yanga,watu wanaizunguka redio utafikiri wanaota moto wakati wa baridi.
Headmaster alinunulia kila bweni tusikilize updates za vita za ghuba! Irag alivyovamia kuwaitMkulima 277...
Nilikuwa nayo shule O - level.. matangazo ya mpira wa miguu, michezo, vita vya ghuba na taarifa ya habari wana walikuwa wanaizunguka redio
kitambo sana
Daah asee long timekitambo sana
Kulikuwa hamna computer, kwanza mwalimu mkuu alikuwa haruhusu kumiliki hizo magendoImmaculata_ Bima Lee
Haloo Immaculata mama
Vipi Immaculata mama
Nakutafuta sikuoni mama
Napiga darubini sikupati mamaa
Napiga tarumbeta sikupati mamaa
Ni umbali gani ulipooo
Nipigie simu namba 26561
Hakyamungu nakupenda Immaculata natoka jandoni mama nishike mkono nipeleke mbele ya wazee
Nafanya nini nderakendr ?
Nakupendaaaa aa.................. Endelea mwenyewe
Hapo unawakuta jamaa waliotoka NGINDE Mulenga "Spoiler" gitaa la Solo, Mwanyiro "Computer" Bass Gitaa, Abdallah Gama, Rhythm Guitar wakiambatana na Shabaan Dede huku wakiwakuta wenyeji Nguli mwenyewe Jerry Nashon Dudumizi akina Roy Bashekanako, Momba "sauti ya chuma" etc
Huo ulikuwa muziki halisia wa Kitanzania na ubunifu wa hali ya juu bila kusaidiwa na Kompyuta!
Bro wangu alipata typhoid kwa maji ya kisimani,Umesahau na Mapera na Maembe kwa chumvi ya pilipili,hakuna kununua maji ya kunywa,tunakunywa yanayotoka kwenye bomba la Shule tu but full Afya hakuna kuugua.
Uko vizuri mkuu hongera mnoImmaculata_ Bima Lee
Haloo Immaculata mama
Vipi Immaculata mama
Nakutafuta sikuoni mama
Napiga darubini sikupati mamaa
Napiga tarumbeta sikupati mamaa
Ni umbali gani ulipooo
Nipigie simu namba 26561
Hakyamungu nakupenda Immaculata natoka jandoni mama nishike mkono nipeleke mbele ya wazee
Nafanya nini nderakendr ?
Nakupendaaaa aa.................. Endelea mwenyewe
Hapo unawakuta jamaa waliotoka NGINDE Mulenga "Spoiler" gitaa la Solo, Mwanyiro "Computer" Bass Gitaa, Abdallah Gama, Rhythm Guitar wakiambatana na Shabaan Dede huku wakiwakuta wenyeji Nguli mwenyewe Jerry Nashon Dudumizi akina Roy Bashekanako, Momba "sauti ya chuma" etc
Huo ulikuwa muziki halisia wa Kitanzania na ubunifu wa hali ya juu bila kusaidiwa na Kompyuta!
Na mimi nilikuwa primary darasa la mbele yako kidogo...Nami nilikuwa primary lakini darasa la mbele yako kidogo