Siku unachat (kwa simu ya mkononi) na watu zaidi ya wawili kwa wakati mmoja, then ukajisahau na kureply correct sms to a wrong person. Mathalan unachat na GF/BF at the same time dada/kaka, then badala ya kureply kwa GF/BF, ukakosea ikaenda kwa dada au kaka na sms yenyewe inasomeka hivi: "TUTASeX BILA KONDOM?"
...
It is just an example!
...
Ulijiteteaje ulipotuma sms kwa makosa?
...
ALAMSIKI!
...
It is just an example!
...
Ulijiteteaje ulipotuma sms kwa makosa?
...
ALAMSIKI!