Mnamjaza upepo dogo, mtamuharibuAsee ni jasiri sana,kama tungekuwa na vijana hao 500 tusingekuwa hapa tulipo
Mnamjaza upepo dogo, mtamuharibuAsee ni jasiri sana,kama tungekuwa na vijana hao 500 tusingekuwa hapa tulipo
Ndio kizazi jeuri cha kuhoji na kupinga alichokua anakitaka baba wa taifa ila bahat mbaya shujaa wa Africa alikua anapenda kizaz cha kikondooAsee ni jasiri sana,kama tungekuwa na vijana hao 500 tusingekuwa hapa tulipo
Anachoshangaa namna wizara imelipa uzito napia haikuwa rahisi kujibiwaMkuu Kwanini unaona km ni ajabu???. Kwani Serikali ipo kwaajili ya akina nani?. Kweli mfumo kandamizi ni mbaya sana yaani haki Yako unaona km Surprise?!!.
Sio kwaselikari hii anachotaka mama nihoja tuMajanga gani tena jamani
Asishangae,ndivyo ilipaswa kuwa.Anachoshangaa namna wizara imelipa uzito napia haikuwa rahisi kujibiwa
Umewaza Vizuri sanaWamejibu kwa busara sana,heb waza dogo kama huyo anajibiwa na serikali!!! Ni ajabu sana