Ilichofanya TAMISEMI ndio demokrasia ya kweli kwa sasa, Shukran Ummi Mwalimu na mama Samia

Kibosho1

JF-Expert Member
Dec 12, 2017
2,491
3,998
Dah!! Haya mambo tumeyazoea kuona kwenye nchi kama Marekani, Uingereza n.k

Kitendo alichofanya huyu dogo Josephat kama ungekuwa utawala wa mwendazake sasa ungekuta wazazi wanamtafuta huyu kijana.
Kwanza angepotezwa kwa kuidhalilisha serikali bila kusikilizwa hoja zake,angepigwa na kuvunjwa miguu ili iwe funzo kwa madogo wengine.

Hongereni TAMISEMI kwa busara mliyotumia,sasa ni wakati wa demokrasia chini ya Samia Suluhu hakuna ubabe tena,hakuna kejeli wala kutosikizwa kama tulivyozoea.

Mods niwekeeni ule uzi wa TAMISEMI YAMEJIBU MWANAFUNZI ALIEVAA MABANGO ili watu waelewe hoja yangu
 
Mkuu Kwanini unaona km ni ajabu???. Kwani Serikali ipo kwaajili ya akina nani?. Kweli mfumo kandamizi ni mbaya sana yaani haki Yako unaona km Surprise?!!.
Mkuu ni haki yangu lakini geresha tu,ww uliwahi kupata haki kabisa? Japo ni haki yangu lakini ni ajabu sababu sijazoea
 
Dah!! Haya mambo tumeyazoea kuona kwenye nchi kama Marekani, Uingereza n.k

Kitendo alichofanya huyu dogo Josephat kama ungekuwa utawala wa mwendazake sasa ungekuta wazazi wanamtafuta huyu kijana.
Kwanza angepotezwa kwa kuidhalilisha serikali bila kusikilizwa hoja zake,angepigwa na kuvunjwa miguu ili iwe funzo kwa madogo wengine.

Hongereni TAMISEMI kwa busara mliyotumia,sasa ni wakati wa demokrasia chini ya Samia Suluhu hakuna ubabe tena,hakuna kejeli wala kutosikizwa kama tulivyozoea.

Mods niwekeeni ule uzi wa TAMISEMI YAMEJIBU MWANAFUNZI ALIEVAA MABANGO ili watu waelewe hoja yangu
Mimi bado najiuliza, dogo hakuona kama kachaguliwa Ualimu!

Badala yake akaona kachaguliwa ECA...
 
Nyie sifieni tu nyuma ya pazia huyo mtoto ana majanga mengi atakayokumbana nayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom