Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,491
- 3,998
Dah!! Haya mambo tumeyazoea kuona kwenye nchi kama Marekani, Uingereza n.k
Kitendo alichofanya huyu dogo Josephat kama ungekuwa utawala wa mwendazake sasa ungekuta wazazi wanamtafuta huyu kijana.
Kwanza angepotezwa kwa kuidhalilisha serikali bila kusikilizwa hoja zake,angepigwa na kuvunjwa miguu ili iwe funzo kwa madogo wengine.
Hongereni TAMISEMI kwa busara mliyotumia,sasa ni wakati wa demokrasia chini ya Samia Suluhu hakuna ubabe tena,hakuna kejeli wala kutosikizwa kama tulivyozoea.
Mods niwekeeni ule uzi wa TAMISEMI YAMEJIBU MWANAFUNZI ALIEVAA MABANGO ili watu waelewe hoja yangu
Kitendo alichofanya huyu dogo Josephat kama ungekuwa utawala wa mwendazake sasa ungekuta wazazi wanamtafuta huyu kijana.
Kwanza angepotezwa kwa kuidhalilisha serikali bila kusikilizwa hoja zake,angepigwa na kuvunjwa miguu ili iwe funzo kwa madogo wengine.
Hongereni TAMISEMI kwa busara mliyotumia,sasa ni wakati wa demokrasia chini ya Samia Suluhu hakuna ubabe tena,hakuna kejeli wala kutosikizwa kama tulivyozoea.
Mods niwekeeni ule uzi wa TAMISEMI YAMEJIBU MWANAFUNZI ALIEVAA MABANGO ili watu waelewe hoja yangu