Ilibaki kidogo nifulishwe mashuka lodge

Ilibaki kidogo nifulishwe mashuka lodge

Namalizia.Akaenda kuomba hela kwa Rafiki yake akamwambia hana.Akarudi lodge muhudumu akadai chake.Jamaa akamwambia amekosa hela hivyo abaki na simu.Muhudumu akakataa kwa kuwa simu yenyewe Mchina halafu kimeo.Akamwambia twende chumbani kuangalia kama una kitu chochote cha thamani.kufika chumbani akakuta mashuka yamechafuka damu.Muhudumu akamwita mlinzi na kumwambia jamaa afue mashuka.Wakati anapelekwa kufua dogo akachoropoka mbioooo.
Na Hadithi imeisha.
Hahahaha kali hii
 
Mbona u sound like juan moses wa chronicles of a a horny guy sijui...that eatable sentence sounds familiar....
Ha ha ha kweli that eatable sentence sounds familiar.....
 
mods piga ban watu kama mtoa mada, ANATUKATA BAO, shenzy type
 
Hivi likizo ya pasaka bado haijaisha maana Hawa watoto wasumbufu KWELI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom