Ilibaki kidogo nifulishwe mashuka lodge

Ilibaki kidogo nifulishwe mashuka lodge

Mbona 'heading' haiendani na stori uloandika, alafu stori haijafika mwisho hivyo bado ina utata.

Kasema alipiga castle lite mbili ili aweke akili sawa! Akili yake timamu ikirudi ataoanisha heading na body mkuu, just hold on!
 
Nina wasiwasi na hii hadithi,inaonekana jamaa kaigeuza nahisi alizama chumvini sana, asubuhi Jua linatoka akaona pedi iko Pembeni ya kitanda alivyojaribu kurudisha kumbukumbu akakumbuka ile alfajiri walivyoingia chumbani na Pombe kichwani alizama chumvini,kilichofuata akaangusha matapishi kitandani.Ndivyo ilivyokuwa.
 
Kasema alipiga castle lite mbili ili aweke akili sawa! Akili yake timamu ikirudi ataoanisha heading na body mkuu, just hold on!
Hahahaaa..... Stori zingine bhana.
 
169949.jpg
TWANGA PHOTOOO!!!....... ekotiteee.... ekotiteee.... hebu image hapo yaani umekutana na MWEHU ukaanza kuchat nae... unadhani watu watakufikiriaje hapo??? NI ZAIDI YA MWEHU.
 
Mwisho


tukaoga, tupo tayari kusepa
Kufika reception namkuta yule mhudumu namwambia naenda kuchukua hela then naleta anipe cm yangu
Ndani ya dk 30 nikawa nimeenda nikarudi (kumbe mhudumu keshaingia kule room kakuta lile balaa japo tulifunika funika)
Nikakuta mtu anatokwaa mapovuu
Mimi nikawa mpole tu nkampa ela yake anipe cm yangu
Si akagoma et hadi nifue zile dam
Daaaaaah tukabishana kichz huku nkiomba msamaha
Mara boss anafika anaulza kuna nn hapa akajuzwa, weeh acha awakee!
Nkasema ili balaa, so ikanitoka 30000 ndo wakatulia nkachukua simu nikasepa"!
Uliteseka sana....unakula kisusio
 
Bado safari ya kuelekea club inaendelea
ukifika utatujulisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom