Mhhh! Jamaa aliingia choo cha ke.demu si alikuwa ana ya kiume na kike bhana! mbaya zaidi ile ya kiume ilikuwa ni kama inasubiri go ahead imalize mchezo
Bange mbaya sana 😀KUNA SIKU ILIBAKI KIDOGO NIFULISHWE MASHUKA LODGE
Intro
Mwaka 2011-12 wakati nipo chuoni (DODOMA) nilipata show moja ya kibabe bila kutarajia na ikaanzisha mahusiano ya mapenzi lakn hayakudumu kwa muda mrefu....
One day nikiwa nimechill room nasikiliza music, mshkaji wangu nnae kaa nae room 1 akaingia na wageni wawili wakike, mmoja alikua dem wa mshkaj na mwingne alikua cousin wa dem wa mshkaj so baada ya salam tukapga stori mbil 3 pale then mshkaj akanistua tutoke tuongee chemba kdg, ( *yule cousing ake shemej ndo nmemuona kwa mara ya kwanza, she z cute, sexy and eatable))
So wakati tupo chemba na mshkaj ananitonya wale gals wanata kwnda club leo so kam vp nimpe campan twende wote hahaha mimi bila kusita nikasema haina mbaya utanikabidhi tu cousin ake shem
Ilikua mida ya saa mbili ucku, nikaenda baa ya jirani nikapiga castle lager mbili za fasta nieke akili sawa maana ckua kbs na mzuka wa club ikabidi niutafute, wakati huo nimemuacha jamaa na madem room,,,
Kurudi room nikawa nimechangamka kdgo, tukajiandaa hadi kufika saa nne safari ikaanza
Aaah! Kama ulikuwepo vile!Namalizia.Akaenda kuomba hela kwa Rafiki yake akamwambia hana.Akarudi lodge muhudumu akadai chake.Jamaa akamwambia amekosa hela hivyo abaki na simu.Muhudumu akakataa kwa kuwa simu yenyewe Mchina halafu kimeo.Akamwambia twende chumbani kuangalia kama una kitu chochote cha thamani.kufika chumbani akakuta mashuka yamechafuka damu.Muhudumu akamwita mlinzi na kumwambia jamaa afue mashuka.Wakati anapelekwa kufua dogo akachoropoka mbioooo.
Na Hadithi imeisha.
Shyeeeh!!! Pole sana Mkuu asmaa80.umenifanya nimecheka kwa nguvu sana, mazingira nilokuwepo hayakufaa kwa kicheko hicho.
Hahahahaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu you have made my dayChuoni mwaka 2011-12 ulikuwa unasomea utengenezaji wa kashata za nazi?!!
Mkuu nikweli haina mvuto? Sasa umefikaje hadi ukurasa wa tisa duuuu wapingaji hawata kaaa waishe dunia. Siku nyingine yaki kukuta haya Chris amkeni mapema shemu afue shuka za watu.Hadithi nyingine hata hazina mvuto...!!
Wewe kijana unajua shughuli za ujenzi wa taifa zimesimama kwa ajili ya hadithi yako....??? Hebu fanya umalizie tukamalizie shughuli zetu....
Hahahaaa..... Umetisha Mkuu.Unaiwahi Tu story! Mwisho WA siku Ni kuwa jamaa atafumua kisamvu hafu Ni first time kwa huu demu, so ikiwa first time ujue Dushe likikoroga huko nyuma then ukichomoa Tu inabidi upishe coz Nya inakuja kwa speed ya ajabu, Kama Ni first time kwa demu na unataka Kula ndogo chagua style poa!
Kufulishwa mashuka baada ya kukojoa kitandan kutokana na mapombe waliyokunywa kupita kiasi[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji14] [emoji14] [emoji14]Sasa, kilichofuata nini?
Mbona u sound like juan moses wa chronicles of a a horny guy sijui...that eatable sentence sounds familiar....KUNA SIKU ILIBAKI KIDOGO NIFULISHWE MASHUKA LODGE
Intro
Mwaka 2011-12 wakati nipo chuoni (DODOMA) nilipata show moja ya kibabe bila kutarajia na ikaanzisha mahusiano ya mapenzi lakn hayakudumu kwa muda mrefu....
One day nikiwa nimechill room nasikiliza music, mshkaji wangu nnae kaa nae room 1 akaingia na wageni wawili wakike, mmoja alikua dem wa mshkaj na mwingne alikua cousin wa dem wa mshkaj so baada ya salam tukapga stori mbil 3 pale then mshkaj akanistua tutoke tuongee chemba kdg, ( *yule cousing ake shemej ndo nmemuona kwa mara ya kwanza, she z cute, sexy and eatable))
So wakati tupo chemba na mshkaj ananitonya wale gals wanata kwnda club leo so kam vp nimpe campan twende wote hahaha mimi bila kusita nikasema haina mbaya utanikabidhi tu cousin ake shem
Ilikua mida ya saa mbili ucku, nikaenda baa ya jirani nikapiga castle lager mbili za fasta nieke akili sawa maana ckua kbs na mzuka wa club ikabidi niutafute, wakati huo nimemuacha jamaa na madem room,,,
Kurudi room nikawa nimechangamka kdgo, tukajiandaa hadi kufika saa nne safari ikaanza
Hahaa hahaaaKufulishwa mashuka baada ya kukojoa kitandan kutokana na mapombe waliyokunywa kupita kiasi[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji14] [emoji14] [emoji14]