Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,133
- 122,589
๐๐๐ Sesten umesahau eeee?Nakazia
Kuna mtu alifura kisa umeandika hili neno la kukazia? ๐๐๐
๐๐๐ Sesten umesahau eeee?Nakazia

Bana wee, yaani hadi leo nikikumbuka nacheeka๐๐๐ Sesten umesahau eeee?
Kuna mtu alifura kisa umeandika hili neno la kukazia? ๐๐๐
Mkuu kahaba aliyechoka akiamua kutulia ndoa yake inakuwa mstari ulionyooka.Haki ya mtungi,shahidi yake kata,
sihami,
nasema sihami jamii forum
๐๐namba iko hapoHehehe
Bana wee, yaani hadi leo nikikumbuka nacheeka
Kuna neno jingine "Mkaza mjomba" yaani yupo rafiki yangu mmoja Muhaya hua halielewi hata kidogo
Anasema "mkaza nani!? Nyie watu wa Pwani mnamatusi ya hadharani sana nyie"
Basi hua nacheka sana Hajar
Umeona eeh Hajar ni vile kila mtu anavyotafsiri na kuchukulia maana ya vituHahahaaaa. Kiswahili hiki acha tu Sesten.
Tafuta marafiki zake watatu mchezo kwisha.Ndio maana tunatakiwa kuwachunguza wanawake kabla ya kuwaoa,Mie nitacheza na historia yake kuanzia alipozaliwa,alikosoma na mpaka alipokuwa anaishi,Tabia za kishangazi siwezi kuziamini kabisa
Bikra sio dili zenji kuna mtaalam wa ku rebikralizing papuch elfu arobain tu.Siku iz ni ndoa za mkataba kama bikra hamna mkataba ushavunjika anachukua time yake
Ina maana mtu akiungua kugegeda na kugegeduliwa ndio basi?sasa kondom za nn?acha ufala kale mzigo huonkwa kondom au nirushie picha na contact zake nikale zigo ulilolisifia .maana inaonekana ni dizaini za mazigo ya yule mndengereko kipozeo hayo yamejaaliwa neema za mwenyezimunguYani huu uzi umenikumbusha mengi zana yani mademu wengi tuliokua now full vicheche now mmoja kaolewa Arusha mwingine Moshi yanj nawasikitiaga waoaji kwan waolewa walitumia mbinu ya kuhama mkoa kabisa.
Mbaya zaidi miez kadhaa iliyopita kuna demu kaja kitaa inye lake hata bongo movie hamna yani full WOWOWO toto la kinyaturu kiuno Dondola sasa ikatokea anahitaji msaada kwangu but wa kibiashara baada ya kujua nadeal na nini tukaexchange namba Alhamdulillah siku moja nimepanda bajaji tukamuona dereva wa bajaji kasema huyu kahaba kahamia huku basi atawaua wengi kaungua na ndio chanzo cha kuhama Manzese kuja huku!
Duh yani ilikuwa bado siku tatu week end ifike na sijajua ingekuwaje mana alikuwa anakuja race mi nikajua kapenda baba mwenye gari kama ilivyo kwa watoto wa mjini kumbe ana roho mbaya hivyo muuaji mkubwa sijui nitume picha mumuone mumkwepe.
Jamaa kawapa somo ..fanyien kazi