Ili uolewe mapema mdada tumia mbinu hii matata....

Ili uolewe mapema mdada tumia mbinu hii matata....

kiu si anywe maji mkuu!??. wanasema wakikaa muda mrefu bila kukata kiu panazidi kua padogoooooo👌👌.. kuna wengine wanavipimo vyao utasikia bwawa mara kibamia!! na ukizingatia kule alipita nao wengi utakuta pamekua ziwa kabisa!! thesis nzuri sana Tanzania imejua na dunia imejua!!
 
Mkuu Leo umeongea kitu kilichonikumbusha mbali Sana zaidi ya miaka mitano.. Kuna mdada tulikuwa Nae jirani alikuwa mtu wa dini Sana Hata mavazi yake vijana tulikuwa tunaogopa kumtongoza siku moja akanifuata kuitaji msahada memory card ya simu yake ilikuwa imevamiwa na viruses. Nikamwambia itoe nitaiformat kwenye computer akaniachia nikaingia nayo magetoni nikaiscan nikadaka wadudu wa kutosha kwa wema nikasema nisiiformat kwa sababu wadudu wamekamatwa... Nikaanza kufungua mafail nicheki Picha zake mshangao ulikuja nilipofika kwenye video alikuwa na Picha nying za x Alafu za wanawake wanasagana sikuamin kwa sababu kwa muonekano wa nje mtoto alikuwa mfia dini Lakin ndani mhh na alikuwa anakaa kwa mjomba... Nafikir alipewa ujauzito Baada ya hapo sikujua kilichoendelea...... Mwanamke anaweza kuigiza Maisha yasiyokuwa yake ilimrad apate anachoitaj kwa muda fulan.. Hadi Leo uwa nawaza aliyekuwa anamtumia pich za wasagaj ni me au ke mwenzake
 
Wanaume wengi tunatabia za kuwachunguza nyie fikirini sisi maboya tena huwa tunajifanya maboya tuu...mnatudanganya tunajifanya hatujawashtukia ila tumewaweka makundi yenu......Kumsoma mwanamke rahisi sana ndugu zangu...hata ujifanye umeokoka bado unasomeka tuuu...la muhimu badirika kabisaa...
 
Wanaume huwa tunadanganywa sana,unapowatambulisha wadau unakuwa na bashasha,eti ana heshima kumbe umeoa mstaafu wa uwanja wa fisi
 
Hao wababa atakaokuwa akiwasaidia huko kwa shangazi ndo watamharibia lengo.
 
Wale walioitumia hii mbinu na ikawasaidia nipeni mrejesho bas
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom