Ili uolewe mapema mdada tumia mbinu hii matata....

Ili uolewe mapema mdada tumia mbinu hii matata....

Baada ya kuwakosa WAREMBO PM,, Naona MLETA UZI umebuni MBINU mpya za kuwanasa warembo humu ....wakupigie kwa namba hiyo si ndy? 0653663344.....MBINU nzr...
 
Kweli kabisa wengi wao huwa wanatulia kabisa natabia kama ngozi haina nafasi hapo kabisa, wengi hutulia kabisa namifano ipo japo sio wote wanaotulia
.. nakazia..
kwa wajanjanja ...wanaojua nini wanataka...

tabia ni ngozi ndio ila wapo waliokuwa wakosefu na walibadilika na hata wema kugeuka wakawa waovu..labda tabia ya kuzaliwa nayo!

sidhani kama umalaya ni tabia ya kuzaliwa.hii huwa tunaikuta huku duniani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani huu uzi umenikumbusha mengi zana yani mademu wengi tuliokua now full vicheche now mmoja kaolewa Arusha mwingine Moshi yanj nawasikitiaga waoaji kwan waolewa walitumia mbinu ya kuhama mkoa kabisa.

Mbaya zaidi miez kadhaa iliyopita kuna demu kaja kitaa inye lake hata bongo movie hamna yani full WOWOWO toto la kinyaturu kiuno Dondola sasa ikatokea anahitaji msaada kwangu but wa kibiashara baada ya kujua nadeal na nini tukaexchange namba Alhamdulillah siku moja nimepanda bajaji tukamuona dereva wa bajaji kasema huyu kahaba kahamia huku basi atawaua wengi kaungua na ndio chanzo cha kuhama Manzese kuja huku!
Duh yani ilikuwa bado siku tatu week end ifike na sijajua ingekuwaje mana alikuwa anakuja race mi nikajua kapenda baba mwenye gari kama ilivyo kwa watoto wa mjini kumbe ana roho mbaya hivyo muuaji mkubwa sijui nitume picha mumuone mumkwepe.
 
Mjidanganye kuwa na mwonekano wa upole ulio feki ukutane na mwanaume anayejitambua ndo utaelewa!!!

Mnataka vitu vizuri wakati hauendani navyo!!

Na naomba niunganishe na hili kama we mwanamke unataka mwenye pesa, fungua duka au kibanda hata cha kuuza nyanya, siyo muda wote dressing table unajiremba halafu una ndoto za kuolewa na mtu mwenye kazi nzuri, gari na Nyumba!!

Oyyy washtue wana yushajanjaruka mwanamke ka hujielewi we tutakutumia tu kisha tutakupa hela ya kununulia sabuni kuogea ila siyo kuniongezea mzigo mwingine!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom