Mawazo mazuri tu,tatizo tz hatuna vision ya miaka mia mbele KILA ajae Kama kiongozi huja na vision zake, hushauri wako hauwezi kuja tekelezwa mkuuNatoa ushauri huu kwa serikali, sitarudia tena maana Mimi nina kazi yangu na nina biashara zangu.
Umaskini na ufukara bado ungalipo hapa nchini.
Serikali sasa haina budi kujenga chuo Cha fundi kila kata au Kijiji na kupeleka walimu na vitendea kazi.
Vijana wasome bure, yaani kila kijana aliye tayari serikali igharamie masomo yake mpaka ngazi ya cheti cha awali, na watakaofaulu vizuri wasomeshwe mpaka ngazi ya stashahada (Diploma).
Kwa watakaotaka kuendelea na ujuzi ila hawana pass za juu wachangie asilimia kidogo na serikali iweke kilichobaki.
Hapo tutaona Mapinduzi ya viwanda kwa vitendo.
Vijana watafanya mambo ya ajabu na makubwa.
Gharama ya ndege 5 za abiria inaweza kufanya hili jambo kwa ushindi mkubwa.
Wananchi wataiheshimu serikali, wapinzani tutaiheshimu serikali.
Umaskini na ufukara vitaondoka kirahisi kabisa.
Msitujazie ma flyover huku vijana wengi hawana ujuzi wapo tu mitaani.
Hawa wamachinga hawakuzi uchumi wa Tanzania kwa asilimia kubwa bali wanakuza uchumi wa Uchina ambako bidhaa zinatoka
Hizi kozi zingine kama Human resources, Accounts, Social works and alike sasa zianze kupunguzwa na NACTE na TCU wakati wa udahili na usajili wa vyuo vipya.
Pia serikali iwe inaweka ligi ya kiufundi miongoni mwa vijana na washindi 100 au kumi kupewa zawadi kila mwaka. Zawadi hizo ziwe mitaji/fedha au vitendea kazi.
Sana mkuuWahitimu wa vyuo vya veta nk wanatusua sana mitaani kuliko hao wahitimu wa vyuo vingine
Ova
Ushaleta siasaHilo lilikua ni lengo la Magufuli kujenga VETA kila kata kingine Waziri mkuu kila mwaka anatoa nafasi za bure kwa vijana wenye fani ambao hawana vyeti na kufundishwa kwa muda wa miezi 6
Siasa ndio zinatengeneza nchiUshaleta siasa
KWA KATIBA ILIYOPO hata Nchi iwe na MIAKA 120 ya UHURU UMASIKINI na UFUKARA hautaondoka NCHI ina LAANANatoa ushauri huu kwa serikali, sitarudia tena maana Mimi nina kazi yangu na nina biashara zangu.
Umaskini na ufukara bado ungalipo hapa nchini.
Serikali sasa haina budi kujenga chuo Cha fundi kila kata au Kijiji na kupeleka walimu na vitendea kazi.
Vijana wasome bure, yaani kila kijana aliye tayari serikali igharamie masomo yake mpaka ngazi ya cheti cha awali, na watakaofaulu vizuri wasomeshwe mpaka ngazi ya stashahada (Diploma).
Kwa watakaotaka kuendelea na ujuzi ila hawana pass za juu wachangie asilimia kidogo na serikali iweke kilichobaki.
Hapo tutaona Mapinduzi ya viwanda kwa vitendo.
Vijana watafanya mambo ya ajabu na makubwa.
Gharama ya ndege 5 za abiria inaweza kufanya hili jambo kwa ushindi mkubwa.
Wananchi wataiheshimu serikali, wapinzani tutaiheshimu serikali.
Umaskini na ufukara vitaondoka kirahisi kabisa.
Msitujazie ma flyover huku vijana wengi hawana ujuzi wapo tu mitaani.
Hawa wamachinga hawakuzi uchumi wa Tanzania kwa asilimia kubwa bali wanakuza uchumi wa Uchina ambako bidhaa zinatoka
Hizi kozi zingine kama Human resources, Accounts, Social works and alike sasa zianze kupunguzwa na NACTE na TCU wakati wa udahili na usajili wa vyuo vipya.
Pia serikali iwe inaweka ligi ya kiufundi miongoni mwa vijana na washindi 100 au kumi kupewa zawadi kila mwaka. Zawadi hizo ziwe mitaji/fedha au vitendea kazi.
Elimu ya veta ndio ukombozi pekee wa masikini na kumaliza tatizo la ajira nchini.Hilo lilikua ni lengo la Magufuli kujenga VETA kila kata kingine Waziri mkuu kila mwaka anatoa nafasi za bure kwa vijana wenye fani ambao hawana vyeti na kufundishwa kwa muda wa miezi 6
Ahsante Ndugu, andiko linafikirisha kweli kweli aisee.Natoa ushauri huu kwa serikali, sitarudia tena maana Mimi nina kazi yangu na nina biashara zangu.
Umaskini na ufukara bado ungalipo hapa nchini.
Serikali sasa haina budi kujenga chuo Cha fundi kila kata au Kijiji na kupeleka walimu na vitendea kazi.
Vijana wasome bure, yaani kila kijana aliye tayari serikali igharamie masomo yake mpaka ngazi ya cheti cha awali, na watakaofaulu vizuri wasomeshwe mpaka ngazi ya stashahada (Diploma).
Kwa watakaotaka kuendelea na ujuzi ila hawana pass za juu wachangie asilimia kidogo na serikali iweke kilichobaki.
Hapo tutaona Mapinduzi ya viwanda kwa vitendo.
Vijana watafanya mambo ya ajabu na makubwa.
Gharama ya ndege 5 za abiria inaweza kufanya hili jambo kwa ushindi mkubwa.
Wananchi wataiheshimu serikali, wapinzani tutaiheshimu serikali.
Umaskini na ufukara vitaondoka kirahisi kabisa.
Msitujazie ma flyover huku vijana wengi hawana ujuzi wapo tu mitaani.
Hawa wamachinga hawakuzi uchumi wa Tanzania kwa asilimia kubwa bali wanakuza uchumi wa Uchina ambako bidhaa zinatoka
Hizi kozi zingine kama Human resources, Accounts, Social works and alike sasa zianze kupunguzwa na NACTE na TCU wakati wa udahili na usajili wa vyuo vipya.
Pia serikali iwe inaweka ligi ya kiufundi miongoni mwa vijana na washindi 100 au kumi kupewa zawadi kila mwaka. Zawadi hizo ziwe mitaji/fedha au vitendea kazi.
Afu kila mtu akiwa fundi ndio maendeleo yatakuja? 😆😆😆 .Natoa ushauri huu kwa serikali, sitarudia tena maana Mimi nina kazi yangu na nina biashara zangu.
Umaskini na ufukara bado ungalipo hapa nchini.
Serikali sasa haina budi kujenga chuo Cha fundi kila kata au Kijiji na kupeleka walimu na vitendea kazi.
Vijana wasome bure, yaani kila kijana aliye tayari serikali igharamie masomo yake mpaka ngazi ya cheti cha awali, na watakaofaulu vizuri wasomeshwe mpaka ngazi ya stashahada (Diploma).
Kwa watakaotaka kuendelea na ujuzi ila hawana pass za juu wachangie asilimia kidogo na serikali iweke kilichobaki.
Hapo tutaona Mapinduzi ya viwanda kwa vitendo.
Vijana watafanya mambo ya ajabu na makubwa.
Gharama ya ndege 5 za abiria inaweza kufanya hili jambo kwa ushindi mkubwa.
Wananchi wataiheshimu serikali, wapinzani tutaiheshimu serikali.
Umaskini na ufukara vitaondoka kirahisi kabisa.
Msitujazie ma flyover huku vijana wengi hawana ujuzi wapo tu mitaani.
Hawa wamachinga hawakuzi uchumi wa Tanzania kwa asilimia kubwa bali wanakuza uchumi wa Uchina ambako bidhaa zinatoka
Hizi kozi zingine kama Human resources, Accounts, Social works and alike sasa zianze kupunguzwa na NACTE na TCU wakati wa udahili na usajili wa vyuo vipya.
Pia serikali iwe inaweka ligi ya kiufundi miongoni mwa vijana na washindi 100 au kumi kupewa zawadi kila mwaka. Zawadi hizo ziwe mitaji/fedha au vitendea kazi.
Hiyo sasa kaliKWA KATIBA ILIYOPO hata Nchi iwe na MIAKA 120 ya UHURU UMASIKINI na UFUKARA hautaondoka NCHI ina LAANA
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app