instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 11,383
- 14,197
Hiv kwa nini MUHAS na ARU vilitolewa UDSM na kuwa vyuo vinavyojitegemea.?
Ukiangalia zamani UDSM kilikuwa chuo Bora Kwa sababu ya kutoa kozi bora lakini sasa kimeshuka na kufikia nafasi ya 36 Africa.
Chuo kikuu kinabidi kiwe na matawi yaliyoshiba.
Sasa UDSM ni coet Tu coist kwenye kozi za maana
UDSM hakuna kozi ya afya na wala hakuna kozi nzuri zinazotolewa ARDHI kama architecture,land survey na Mambo mengine kama lmv.
Hebu rudisheni vyuo hivyo vikuu ya nini kuwa na vyuo vingi visivyo Bora.si Bora kuwa na chuo kimoja chenye hadhi.
Tetesi.naskia hata duce na coist wanataka viwe vyuo vikuu sasa sijui UDSM itabaki kuwa nini tena
Ukiangalia zamani UDSM kilikuwa chuo Bora Kwa sababu ya kutoa kozi bora lakini sasa kimeshuka na kufikia nafasi ya 36 Africa.
Chuo kikuu kinabidi kiwe na matawi yaliyoshiba.
Sasa UDSM ni coet Tu coist kwenye kozi za maana
UDSM hakuna kozi ya afya na wala hakuna kozi nzuri zinazotolewa ARDHI kama architecture,land survey na Mambo mengine kama lmv.
Hebu rudisheni vyuo hivyo vikuu ya nini kuwa na vyuo vingi visivyo Bora.si Bora kuwa na chuo kimoja chenye hadhi.
Tetesi.naskia hata duce na coist wanataka viwe vyuo vikuu sasa sijui UDSM itabaki kuwa nini tena