Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Jina lako linasadifu post yako ya kijinga na kilofaKamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.
Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,
Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!
ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi
Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,
Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!
Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
****Xenophobia****
Hongera kamanda ACACIA wamekulipa vizuri, KUJITUMA HUKU SIYO KAWAIDA ila ni LAZIMA UJUE Hakuna LENYE MWANZO LISILO NA MWISHOHizi tume zote kisheria hazina nguvu kwa sababu MDAs zote ambazo makampuni yalisaini na serikali zinatamka wazi kuwa kama kutakuwa na kutokukubaliana juu ya ukokotoaji wa mahesabu kuhusiana na kodi atatafutwa mtu wa kati aliyekubaliwa na pande zote mbili, na huyo uamuzi wake hautapingwa na upande wowote. Na hilo limewahi kufanyika kwa mgodi wa Geita.
Lakini pia MDAs kama ile ya Buzwagi inatamka wazi kuwa kama kutakuwa na jambo lolote ambalo upande wowote unahisi upande mwingine umekiuka, pande zote zitalazimika kukutana na kujadiliana ili kupata suluhu. Wakishindwa kufikia makubaliano, shauri litaamuliwa according to the Law of the Land (na kisheria hapo itamaanisha kwa sheria za Uingereza, mahali ambapo mkataba ulisainiwa).
Taasisi huru ya kimataifa ifanye uchunguzi kwenye kampuni ya kimataifa..how stupid can someone be?.Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.
Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,
Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!
ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi
Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,
Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!
Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Mkuu hapo pia na mimi natumia uhuru wangu katika jukwaa huru kama unavyodai. Ila la msingi ni kujua huo haukuwa uchaguzi useme kwamba unahitaki usimamiz wa nje, ni rasimali za nchi zinakombolewa kutoka kwa matapeli kupitia serikali, sasa sijui wewe ungetaka taasisi gani ishirikishwe ili mawazo yako yatimie na point behind ya kuwashirikisha unaotaka wawepo. Una dalili zote za kutetea wizi kama kwwli wewe ni Mtanzania. Its we against the investors, sasa huyo third part unaemzungumzia simuelewi maana haexist.Nafikiri,hii comment yako ndiyo inafaa kufutwa kwa sababu ni ya kijinga, kipumbavu na ubinafsi wa hali ya juu......
Hili ni jukwaa huru kwa kila mtu kutoa maoni yake ili mradi havunji Sheria yoyote....
Wewe kama unataka jukwaa ambalo ni "one sided opinions ", la kusifiwa na kutaka kusikia masikio yenu yatakayo kusikia, fungua FB yenu huko huko....!!
Hoja hii haina mashiko kwani kwa nini hukuitoa ilipoundwa kamati umesubiri hadi Leo kifupi maoni haya ulitaka ripoti iseme vinginevyoKamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.
Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,
Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!
ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi
Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,
Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!
Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Unalolisema wewe ni jukumu la hayo makampuni ya madini kama hayaridhiki na uamuzi wa kamati uleta wataalam wa kimataifa ambao watashirikiana na wataalam wetu kuthibitisha maamuzi ya kamati.Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.
Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,
Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!
ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi
Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,
Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!
Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Tangu mumchukue Lowasa akili zenu wote zimekuwa za kilowasa Lowasa.Mkuu watu wanashangaza sana. Yule mwenye Phd alinunua kivuko na kudai ni kipya kabisa tena kiko katika daraja la juu kabisa nchi ikalipa bilioni 8 matokeo yake wote tunayajua. Miezi michache iliyopita kawabambikia jeshi na kudai ni kosa kubwa kwa Watanzania kujadili mali yoyote ya jeshi.
Inatia Hasira sanaKatika hili LAZIMA NISEME,Hakuna kampuni ya Madini hata moja inayopata hasara kuchimba madini Tanzania wanapata faida ya kufa mtu Ndugu zangu pitieni Taarifa za kampuni moja tu ya SHANTA GOLD katika Mgodi wa LUIKA halafu sikilizeni Taarifa zao wanakotoa pesa ndio hasira ziwapande zaidi,halafu tujiulize Tanzania ina migodi mingapi?hawa jamaa wameweza kuzalisha Ounce 500,000 kwa mwaka 2016 na kwa bei ya sasa ni $1259.57 kwa Ounce ambapo ni sawa na $Mil 629,785,000 kwa TZS 1.385,527,000,000 ikumbukwe 1 Ounce = 28.3495231 Grams ambapo ni Gram 14,175,000 au Kilo 14,175 ambazo ni Tani 14.18 hivi
Tangu mumchukue Lowasa akili zenu wote zimekuwa za kilowasa Lowasa.
Kesi haijaamuliwa mkuu!!! Baada ya hapa ndo tutathimini kuona twende kwa tribunal ama kwa ordinary courtKama Rais alisema tunaibiwa,na mgodi unasema hatuibi,unadhani ni nani wa kuiamua hiyo kesi?
Muajiriwa wa rais? Ndio maana nikasema Taasisi huru isiyo chini ya mgodi wala serikali ambayo haitwakuwa biased au hata kuonekana au kuhisiwa kwamba iko biased
Haaa haaa.Upo sahihi.Wewe ni Gileadi Mushaija au Umejipachika tu ID?Sidhani kama ni hiyo. Bali hii ni ile wengne wanaiita "economic freedom fighting." Hawavai combat za kijani bali za rangi ya za damu ya mzee.
Principally uko sahihi sana huwezi kumvictize mtu then umchunguze mwenyewe though wajinga watakubishia.Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.
Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,
Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!
ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi
Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,
Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!
Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Neno HURU ni neno la uwiano tu, how independent can an independent body be wakati TOR au terms of reference wanapewa na serikali inayocommission tume yenyewe!?Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.
Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,
Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!
ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi
Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,
Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!
Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Kiufupi jambo ili halikuitaji hata tume.maana lipo wazi.wanaiba.Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.
Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,
Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!
ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi
Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,
Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!
Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Tukifunga mtambo wa smelter hapa Tz alafu tukianza echejuaji ukweli hii report tutaujua tu kama walitafita kick au walikuwa wazalendo kweliKamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.
Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,
Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!
ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi
Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,
Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!
Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!