Nachojua Paul nonga & Khamis kiiza sio magaidi
Hope watalifanyia kaziKagere ni mchezaj ambae bado Ana uwezo mkubwa tu wa kupachika mabao,hasa has puresha inapokuwa kubwa mbele
Naomba Sana bench la ufund ilifanyie Kaz Hil ili tuinusuru Tim yetu na tulinde heshma tu
Napenda Sana avatar yako inanifurahishaAta manula kule mbele anapasua
Mswamehe kachanganyikiwa huyoPuresha ndio nini???
Mtaongea mengiKagere ni mchezaj ambae bado Ana uwezo mkubwa tu wa kupachika mabao,hasa has puresha inapokuwa kubwa mbele
Naomba Sana bench la ufund ilifanyie Kaz Hil ili tuinusuru Tim yetu na tulinde heshma tu
Gabadinho ni kama anatokea pembeni, nadhani Mose Phiri anafaa. Kama hela ipo. La sivyo atatua JangwaniKwa sasa Simba haina Mfungaji kabisa.
Ukweli ni kwamba
Kagere
Mugalu wote wamechoka sana...
Yusuph mhilu Ni damu changa ila wanaua kipaji chake kwa kumuweka benchi kila maraKwa sasa Simba haina Mfungaji kabisa.
Ukweli ni kwamba
Kagere
Mugalu wote wamechoka sana...