CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,922
Samweri 6 akiwa spika alijenga offisi ya uspika kule Urambo Tabora iliyo ghalimu milioni 400 na zaidi za watanzania. Je kwa sasa inatumika kwa shughuli gani?
Nisaidieni mlio huko Urambo.
Nisaidieni mlio huko Urambo.