Ilani ya CCM Uchaguzi 2010....

Rev. Kishoka

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
4,526
1,529
Angalia kwenye Ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2010 yafuatayo ni mafanikio ya miaka mitano ya kwanza ya Ari, Kasi Nguvu Mpya.

1. Mtanzania wa kwanza kufanya kazi Ikulu ya Obama
2. Mtanzania wa Kwanza kucheza NBA
3. Mtanzania Nusu wa Kwanza kwenda nje ya Sayari
4. Bendera ya Tanzania imefika Mwezini na kujulishwa kwa wawekezaji kutoka Mars
5. Rais wa Kwanza kutoka Tanzania kugonga nyundo ya soko la mitaji NASDAQ
6. Rais wa kwanza kumleta Rais wa Marekani kutembelea nchi
7. Rais wa Kwanza kuongea na Watanzania kutumia Tovuti, Luninga na Simu kwa wakati mmoja


Endeleza listi....
 
Rais wa kwanza kuwaadhibu wafanyakazi wa BOT watovu wa nidhamu kwa pesa ya Serikali.
Rais wa kwanza wa Tanzania kutembelea nchi nyingi Duniani(Marekani ndio kama Nyumbani)
 
Angalia kwenye Ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2010 yafuatayo ni mafanikio ya miaka mitano ya kwanza ya Ari, Kasi Nguvu Mpya.

1. Mtanzania wa kwanza kufanya kazi Ikulu ya Obama
2. Mtanzania wa Kwanza kucheza NBA
3. Mtanzania Nusu wa Kwanza kwenda nje ya Sayari
4. Bendera ya Tanzania imefika Mwezini na kujulishwa kwa wawekezaji kutoka Mars
5. Rais wa Kwanza kutoka Tanzania kugonga nyundo ya soko la mitaji NASDAQ
6. Rais wa kwanza kumleta Rais wa Marekani kutembelea nchi
7. Rais wa Kwanza kuongea na Watanzania kutumia Tovuti, Luninga na Simu kwa wakati mmoja


Endeleza listi....

..kuoa wake wawili zaidi....na vimada kibao.....

si mumeona juzi ...last week yote alikuw likizo ngorongoro ..na mama ziara ya kitaifa morogoro..[offcourse akipokewa na mkuu wa mkoa na viongozi wote na kukaa naye wiki nzima .....nadhani Pinda ambaye piya alikuwa morogoro alikosa uzito..tuseme kikatiba nafasi ya mke wa rais ipo juu ya waziri mkuu..auuu]....na mama ni mkarimu sana amewaacha wenzake wawili wafurahiye likizo na mzee ngorongoro hana hiyana ...naomba kinamama wengine muige mfano wake....ila pia muda umefika sasa kwa muhashimiwa kuwatambulisha rasmi wake zake wapya...atakuwa hajavunja sheria yeyote ..dini inaruhusu na atakuwa anaonesha mfano mwema wa kuwa muwazi......kuliko kufanya kama anajifisha wakati ni wake zake...
 
Angalia kwenye Ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2010 yafuatayo ni mafanikio ya miaka mitano ya kwanza ya Ari, Kasi Nguvu Mpya.

1. Mtanzania wa kwanza kufanya kazi Ikulu ya Obama
2. Mtanzania wa Kwanza kucheza NBA
3. Mtanzania Nusu wa Kwanza kwenda nje ya Sayari
4. Bendera ya Tanzania imefika Mwezini na kujulishwa kwa wawekezaji kutoka Mars
5. Rais wa Kwanza kutoka Tanzania kugonga nyundo ya soko la mitaji NASDAQ
6. Rais wa kwanza kumleta Rais wa Marekani kutembelea nchi
7. Rais wa Kwanza kuongea na Watanzania kutumia Tovuti, Luninga na Simu kwa wakati mmoja


Endeleza listi....
Hi kali sio mchezo
 
..kuoa wake wawili zaidi....na vimada kibao.....

si mumeona juzi ...last week yote alikuw likizo ngorongoro ..na mama ziara ya kitaifa morogoro..[offcourse akipokewa na mkuu wa mkoa na viongozi wote na kukaa naye wiki nzima .....nadhani Pinda ambaye piya alikuwa morogoro alikosa uzito..tuseme kikatiba nafasi ya mke wa rais ipo juu ya waziri mkuu..auuu]....na mama ni mkarimu sana amewaacha wenzake wawili wafurahiye likizo na mzee ngorongoro hana hiyana ...naomba kinamama wengine muige mfano wake....ila pia muda umefika sasa kwa muhashimiwa kuwatambulisha rasmi wake zake wapya...atakuwa hajavunja sheria yeyote ..dini inaruhusu na atakuwa anaonesha mfano mwema wa kuwa muwazi......kuliko kufanya kama anajifisha wakati ni wake zake...
hehehehehe we philemon naona unafaa kuwa mwandishi wa masuala binafsi ya muungwana hehehe (uteuzi utafanyika hivi karibuni) hehehe u made my day.
Angalia kwenye Ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2010 yafuatayo ni mafanikio ya miaka mitano ya kwanza ya Ari, Kasi Nguvu Mpya.

1. Mtanzania wa kwanza kufanya kazi Ikulu ya Obama
2. Mtanzania wa Kwanza kucheza NBA
3. Mtanzania Nusu wa Kwanza kwenda nje ya Sayari
4. Bendera ya Tanzania imefika Mwezini na kujulishwa kwa wawekezaji kutoka Mars
5. Rais wa Kwanza kutoka Tanzania kugonga nyundo ya soko la mitaji NASDAQ
6. Rais wa kwanza kumleta Rais wa Marekani kutembelea nchi
7. Rais wa Kwanza kuongea na Watanzania kutumia Tovuti, Luninga na Simu kwa wakati mmoja


Endeleza listi....
nimeipenda hiyo bold

listi inaendelea.....

8. Rais wa kwanza kutoka Tanzania kuingia fainali ya marais wenye mvuto duniani
 
Angalia kwenye Ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2010 yafuatayo ni mafanikio ya miaka mitano ya kwanza ya Ari, Kasi Nguvu Mpya.

1. Mtanzania wa kwanza kufanya kazi Ikulu ya Obama
2. Mtanzania wa Kwanza kucheza NBA
3. Mtanzania Nusu wa Kwanza kwenda nje ya Sayari
4. Bendera ya Tanzania imefika Mwezini na kujulishwa kwa wawekezaji kutoka Mars
5. Rais wa Kwanza kutoka Tanzania kugonga nyundo ya soko la mitaji NASDAQ
6. Rais wa kwanza kumleta Rais wa Marekani kutembelea nchi
7. Rais wa Kwanza kuongea na Watanzania kutumia Tovuti, Luninga na Simu kwa wakati mmoja


Endeleza listi....
Mchungaji siku hizi haeleweki ... ???!!!!
 
1. Rais wa kwanza Afrika kuonyesha tabasamu muda wote hata pale pasipostahili! 2. Rais wa kwanza Afrika kukataa ushauri wa Madaktari wake!
 
1.Rais wa kwanza kuwapeleka vigogo mahakamani,(Yona,Mgonja, Mramba etc),
2. Rais wa Kwanza kujenga chuo kikuu cha serikali cn=henye uwezo wa kuchukua wananfunzi 40,000 p.a
3. Rais wa kwanza kumtosa waziri mkuu wake??
 
1. Raisi ya kwanza kuingilia kazi za mihimili mingine ya dola - hadi kusamehe waizi wa mali za umma na kula na mafisadi.

2.Raisi wa kwanza kuambiwa kwamba amewekwa mfukoni yy na serikali yake lakini anachekelea tu.
 
Ila mkuu kishoka umekuwa ABSTRACT sana siku chache hizi, vipi umeshachukua uamuzi wa kujipima ubavu na mhishimiwa?
 
1.Rais wa kwanza kuwapeleka vigogo mahakamani,(Yona,Mgonja, Mramba etc),
2. Rais wa Kwanza kujenga chuo kikuu cha serikali cn=henye uwezo wa kuchukua wananfunzi 40,000 p.a
3. Rais wa kwanza kumtosa waziri mkuu wake??

chuo hicho hakiwezi hata kuimili wanafunzi 7,000 wewe unaongelea elfu kumi
nyerere na mwinyi wamewatosa mawaziri wakuu kibao

rais wa kwanza kuingia madarakani kutumia pesa za wizi kutoka benki kuu
 
Ila mkuu kishoka umekuwa ABSTRACT sana siku chache hizi, vipi umeshachukua uamuzi wa kujipima ubavu na mhishimiwa?

Msanii,

Siku moja nikiwa Dar, nilikuwa natoka msibani Kwembe narudi zangu Ubungo.

Tulipofika pale Mbezi Louis, tukaanza foleni ya kuja Dar tena kubwa na ilikuwa Jumamosi takriban Saa 12 na nusu Usiku.

Upande wa pili wa magari yanayotoka Dar kwenda mikoani, nako wakasimamishwa.

Sisi wa kwenda Dar tukaenda kinalenale taratibu, lakini utitiri wa msongamano unaongezeka pande zote mbili. Kufika pale Mbezi kwa Msuguri, hapakuwa na gari lolote kutoka Dar linalokwenda nje ya mji. Sisi nasi tukapigwa stop, hatuondoki.

Jamaa mmoja akadodosa, "Yawezekana mwenye nchi anarudi jijini"! Nikauliza anatokea wapi? wakasema anatokea kwenye mji wake Msoga ambao ni umbali fulani kutoka Chalinze.

Pindi si muda, msururu wa magari 22 ukapita fwap, mkukumkuku na vingora tele, roketi launcha na mbwembwe.

Mwinyi Fuadi akapita akitoka kwenye Kasri yake ya Msoga anaelekea Magogoni.

Sasa kumbe mwenzetu anapita ile zigizaga. Nilipokuwa nashangaa mbona hakuna magari kutoka Dar, kumbe wao walikuwa wanapisha njia, sawa na Yohana mbatizaji aliposema "yanyoosheni mapito"! na sisi kusimamisha ilikuwa ili huko mbele, msafara wake ucheze mayenu na kutamba ule upande wa kuingia Dar.

NIkauliza, kwa nini hatumii Helikopta kwenda Msoga?

Wakaniuliza wenzangu, "kwa nini atumie helikopta na ni gharama na rahisi kutunguliwa?"

Nikawauliza, je gharama ni ipi kati ya msafara wake kusimamisha mfumo wa Uchukuzi wa kuingia Dar kwa takriban masaa manne ambako hakuna kinachotoka wala kuingia Dar, magari yote yaliyosimama foleni na mafuta yanayoungua? Maana Msoga na Dar ni takriban masaa mawili!

Nikauliza tena la ziada la kuhusu usalama, nikasema "je usalama wake ukoje kama kwa mwendo huu wa mkukumkuku wa kilometa 100 kwa saa akatokea kiazi au duwanzi mmoja akachomoza akakatisha krosi kisha msafara wote upige breki za afanaleki, je si Taifa tutapigwa kofi la Kelb kama lile la Mzee Mwinyi?

Jamaa wakacheka, ksiha wakasema nilikuwa sahihi.

Sasa maana ya mimi kutoa hadithi hii ni hii, Raisi kila wikiendi huenda nyumbani Msoga, na zaidi barabara hufungwa na hakuna gari, basi au lori linapita. KUtoka Dar mpaka Msoga, kila kitu kinachotumia barabara kinatumia masaa ya ziada kumsubiri Mwinyi Fuadi apite.

Sasa kama yeye anaoina foleni kubwa hizo na jinsi msafara wake unavyoleta shida katika mfumo wa uchukuzi, je ni vipi tuseme kuwa Rais hajui kuwa barabara zetu ni ndogo, kuna foleni kubwa na zinachelewsha mambo mengi?

NIkajiuliza, ikiwa kuna msongamano mkubwa namna hiyo kisha labda kwa bahati mbaya kuna janga limetoea iwe ni Dar au Chalinze, je itatuchukua muda gani kufika kwenye janga au kama ni kupeleka Jeshi kulinda upande mmoja?

Hivyo bwana Msanii, katika ABSTRACT ya Mchungaji ni kuonyesha kuwa sisi kama Taifa tunakubali tuu mambo hata yale ya kipuuzi na yasiyo na msingi na kuyainua na kuyaweka kuwa ndio ya msingi!
 
Angalia kwenye Ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2010 yafuatayo ni mafanikio ya miaka mitano ya kwanza ya Ari, Kasi Nguvu Mpya.

1. Mtanzania wa kwanza kufanya kazi Ikulu ya Obama
2. Mtanzania wa Kwanza kucheza NBA
3. Mtanzania Nusu wa Kwanza kwenda nje ya Sayari
4. Bendera ya Tanzania imefika Mwezini na kujulishwa kwa wawekezaji kutoka Mars
5. Rais wa Kwanza kutoka Tanzania kugonga nyundo ya soko la mitaji NASDAQ
6. Rais wa kwanza kumleta Rais wa Marekani kutembelea nchi
7. Rais wa Kwanza kuongea na Watanzania kutumia Tovuti, Luninga na Simu kwa wakati mmoja


Endeleza listi....


Ni utamaduni wa chama chetu kumuachia Rais aliyeko madarakani amalize vipindi vyake vya awamu mbili hata kama uongozi wa nchi umemshinda. Hili ni katika kuweka mbele maslahi ya "chama chetu" na pia kutilia maanani kwamba Kikwete ni mwenzetu na wala "hana" makundi.
 
Rais wa kwanza hajauwa Tanzania.
Rais wa kwanza hajafunga jela wapinzani wake.
Rais wa kwanza mvumilivu kwa wakosowaji wake.
Rais wa kwanza kuruhusu uhuru mpana sana wa kutoa maoni.
Rais wa kwanza kuanza kusafisha wezi serikalini (japo kiuwongo uwongo)
 
1.Rais wa kwanza kuwapeleka vigogo mahakamani,(Yona,Mgonja, Mramba etc),
2. Rais wa Kwanza kujenga chuo kikuu cha serikali cn=henye uwezo wa kuchukua wananfunzi 40,000 p.a
3. Rais wa kwanza kumtosa waziri mkuu wake??
Hilo la chuo kikuu mnamvimbisha kichwa bure, mpango huo ulianza enzi za BWM
 
Rais wa kwanza BOYS II MEN wake kuchomolewa kwenye ulaji kwa kashfa, na yeye akakubali achomoke
 
Back
Top Bottom