Ilaaniwe siku niliyozaliwa

Matanga

JF-Expert Member
Nov 13, 2019
2,281
3,973
*1-----------5*

ILAANIWE SIKU NILIYOZALIWA - SEHEMU YA KWANZA

Helena alilia na kuomba aachiwe lakini hakuna aliyemsikiliza.Waliendelea kumwingia kwa zamu,bila kumpa nafasi ya kupumzika.Binti wa miaka 11 katika siku yake ya kwanza alikuwa anaingiliwa kwa nguvu na wanaume nane kwa mpigo.Walikuwa wanapokezana,akitoka huyu anaingia huyu.

Kuzuia kelele alizokuwa anapiga walichana sketi yake ya shule na kumfunga nayo mdomoni.Alijaribu kujitikisa lakini ilikuwa bure.Huku machozi yakimtoka alimwangalia mpenz wake joel kwa huruma sana. Alizani labda anaweza kumwonea huruma ,lakini haikuwa ivyo.Joel alifurahia kitendo kile.Kwake ulikuwa ni kama mchezo hivi.

Walikuwa wanashindana nani anatumia muda mrefu kuliko mwenzake.

" aaah wewe kumbe dhaifu hivi?,yaani sasa hivi na sasa hivi tu umefika mshindo, hebu nipishe mimi uone" joel alimwambia john,kisha akamvuta pembeni na kumwingia Helena.Damu nyingi zilimwagika.Hakuna aliyejali na hakuna aliyetaka kutumia kinga.

"Yaani wewe ndani ya dakika mbili tu unamaliza mchezo.Niangalie mimi mwanaume simalizi saizi hapa,mpaka asubuhi" aliongea joel huku akimwingia kwa nguvu helena.

Helena alitamani kuongea lakini alishindwa.

" unataka kusema nini?, unasikia raha siyo.Ngoja nikufungue uniambie unachotaka kusema" aliongea joel huku akimfungua ile nguo mdomoni.

" aya nimekufungua niambie unataka kusema nini? " aliongea joel huku akiendelea kumwingia kwa nguvu .

"Ka...ma...ni..me kukose..a. ..nisamehe,nisamehe " aliongea kwashida helena.

" aaah,mimi nilijua umeanza kusikia raha,kumbe unaomba samahani.Mpumbavu sana wewe" aliongea joel na kumfunga tena kamba mdomoni .

Hali ya helena ilikuwa mbaya.Machozi yalikuwa yanamtiririka.Alitamani kujitikisa hakuweza,alitamani kupiga kelele hakuweza,alitamani kubana miguu lakini alishindwa,machozi yaliyochanganyika na damu yalitiririka taratibu kwenye mashavu yake.

Wakati joel anamwingia kwa nguvu.Hans na john walikuwa wanampiga helena usoni kwakutumia nyeti zao,pia walikuwa wanamlazimisha azilambe.

Taratibu helena akaanza kuona giza mbele,na akapoteza fahamu.Kitendo cha kupoteza fahamu kilimshtua joel akamwacha na kusimama pembeni.

"Acha uwoga joel.Yaani unamwacha kwakuwa amejifanya kazimia.Gonja mimi nimuonyeshe kazi.Aliongea Hans na pale pale alimsogelea Helena ambae alikuwa amepoteza fahamu na kumtanua miguu kisha akamwingia kwa nguvu.Aliendelea kumwingia kwa muda bila helena kupata fahamu.

" aaah!,wewe tatizo lako unakibamia,huyu inabidi kumwonyesha kazi kweli kweli.Yeye si anajifanya amezimia.Toka ,nipishe mimi nimuonyeshe kazi " aliongea fred kisha akamvuta Hans na kisha akamuingia yeye kwa nguvu.

Alimwingia kwa nguvu zote bila huruma.Helena akushtuka ,Fahamu zake zilikuwa hazipo pale.Damu iliendelea kuchuruzika kama maji,Mashavu yake yalijaa machozi ya damu.Uke wake uliharibika vibaya sana.

Akiwa hana fahamu waliendelea kumwingia kwa zamu kwa imani kuwa maumivu yakiwa makali basi atazinduka.Lakini Helena hakuzinduka.Mwishowe wote walichoka,hamu ya kushiriki tendo iliwaishia.Viungo vyao vilikuwa vimechoka kupita maelezo.

Wakiwa wamechoka huku wakihema kwa nguvu.Mlango ulifunguliwa akaingia mzee komba akiwa amevaa suti nyeusi na mkononi alikuwa ameshika mkongoji

" kazi yangu mmemaliza?," aliwauliza

" Ndio tumemaliza"

" kama mmemaliza sawa,itabidi mpotee mji huu.Kuhusu malipo yenu kila mmoja atachukua bahasha hapo mezani inamalipo yake" aliongea mzee komba,kisha kwakutumia fimbo alimsukuma helena ambae alikuwa amelala chini.

" aaah!,nyie vijana wahuni.Mmesema mmemaliza kazi wakati bado.Mbona mumemuingia mbele tu.Tupu yake ya nyuma mbona ipo vile vile.Hebu mshughulikieni haraka" aliongea yule mzee kisha akatoka mle chumbani.

Vijana wale waliangaliana kwa dakika kadhaa kisha joel alimsogelea helena aliyekuwa amelala chini.

" kumwingia kwenye tupu ya nyuma Bila mafuta itakuwa ngumu sana,cheki hapo barazani kama kuna mafuta ili tuweze kumalizia hii kazi" aliongea Hans .

Ndimi
Mjamaa samwely kisinga
Msendembali songea

ILAANIWE SIKU NILIYOZALIWA - SEHEMU YA PILI

Tulipoishia - " Bila mafuta kazi itakuwa ngumu sana,cheki hapo barazani kama kuna mafuta ili tuweze kumalizia hii kazi" aliongea Hans .

Endelea nayo.

" wewe mbona unataka kutupotezea muda.Mwingine tu hivyo hivyo.Mafuta tutapata wapi hapa saizi" aliongea hans.

" kama huwezi nipishe mimi" aliongea john kisha akamshika joel na kumvuta pembeni.

Bila huruma alimwingia kwenye tupu ya nyuma.Kama ilivyokuwa mwanzo walipokezana.Alipochoka huyu alikuja huyu.Sehemu zake za siri ziliharibika kabisa.Hazikuwa zinatamanika.

" oyaaa mwite huyo mzee, mwambie tayari " joel alimwambia hans.Hans alichukua simu yake na kumbipu mzee komba.Ndani ya muda mfupi mzee komba akafika.

Kila mmoja akampa bahasha yake na kuwaambia waondoke na wahame kabisa ule mji.Bila kukawiha wale vijana nane wakiongozwa na joel wakatoka mle ndani na kutokomea kusikojulikana.

Mzee komba alimsogelea helena ,kisha akaingiza mfukoni na kutoa simu ya smartphone.Alimpiga picha kazaa na kuzituma kwa namba isiyofahamika.Baada ya kuzituma ,alitoka nje na kumwacha helena peke yake mle ndani.

Ndani ya dakika mbili alirudi akiwa na dumu la maji mkononi.Akammwagia Helena maji mwili mzima kisha akatoka nje.

Akiwa barabarani anatembea kwa makusudi kabisa akaiangusha ile simu yake ya smartphone,ambayo ilikuwa ya gharama sana.kisha akatokomea.Haukupita muda dereva boda boda aitwae pasco alipita na kuokota ile simu.

" daaah!,ni bonge la simu!," aliongea pasco wakati anaokota ile simu.Aliangalia kushoto na kulia hakuona mtu.

...............

Akiwa nyumbani kwake amepumzika baada ya kutoka kwenye kazi maalumu.Noel ambaye ndiye baba yake helena,Kwenye simu yake upande wa whatsup ziliingia message tatu kutoka namba ngeni.Bila kusita alizifungua zile message ili kuangalia ujumbe aliotumiwa.

Alichokiona hakukiamini.Alitaka kuongea alishindwa ,mdomo wake ukawa wazi,asielewe afanye nini.Huku akiwa hajielewi alijikuta akiitupa simu chini na kushika kichwa.

Akiwa katika hali ile mke wake alitoka ndani na kuja pale alipo.

" baba helena mbona hivyo?,tatizo nini?" aliuliza mama helena.

Baba helena akumjibu kitu.Aliingia ndani kisha akatoka nje.Akakaa kwenye kiti kisha akasimama na kuelekea ndani tena.Jasho lilimtoka na kichwa chake kilikuwa kimevurugwa asijue chakufanya.Mtoto wake kipenzi na wa kipekee alikuwa amefanyiwa unyama mkubwa sana.Picha alizotumiwa zilionyesha unyama aliofanyiwa mwanae.

Mama helena baada ya kuona mumewe haeleweki anaingia ndani na kutoka nje bila kusema lolote.Aliamua kumfata ,kisha akamnyanganya simu na kuangalia kilichopo.Baada ya kuona zile picha,nguvu zilimwishia. presha ikampanda na Pale pale akaanguka chini kama mzoga.

Kwakushirikiana na mfanyakazi wake wa ndani walimbeba na kumuingiza ndani.Baba helena alichukua maji akammwagia .Fahamu zikamrejea .

Neno la kwanza alilotamka ni Helena.

" Helena mwanangu!,helenaaaa"

" Mwanangu yuko wapi ,namtaka mwanangu," mama helena aliongea huku akilia na kumpiga mumewe mgongoni.

Baba helena alimtuliza mkewe.Akachukua simu ili aangalie vizuri zile picha.Alivyoangalia mara ya pili aliona ujumbe unaomwelekeza mahali ambapo mwanae yupo.Alimwacha mkewe ndani na kumwambia asitoke.

" niwaambie polisi.Hapana!,nikiwaambia polisi mwanangu atazalilika zaidi,maana kila mmoja atajua alichofanyiwa.Hapa ni kuomba awe mzima,akiwa mzima nitamtibu kwa siri kisha nitamuhamisha mji" aliwaza baba helena huku akikimbia kuelekea alipoelekezwa kuwa atamkuta mwanae.

" Lakini ni nani huyu ambae kamfanyia mwanangu hivi?,kama nimemkosea mimi kwanini kisasi alipe kwa mwanangu ? Au watakuwa ni wauza madawa ya kulevya ambao nimewahi kuwakamata." aliwaza baba helena bila majibu.

Haikuchukua muda akawa amefika sehemu aliyoelekezwa.Aliingia ndani kwa tahadhari sana.Aliingia chumba cha kwanza kilikuwa tupu.Akaingia chumba cha pili akamkuta Mwanae helena akiwa katika hali isiyoelezeka.Aliishiwa nguvu akajikuta kapiga magoti huku machozi yakimtiririka.

" oooooh!,mwanangu helena," ,alilia kama mtoto.Mwishoe alitafuta nguo na kumfunika mwanae.Akampigia simu dereva wake wa text anayemuamini sana na kumuelekeza amletee mahitaji flan.Dereva text alikuja na vitu alivyoagizwa zikiwemo nguo.Dereva alipotaka na yeye kuingia ndani,baba helena alimzuia na kumwambia amsubiri nje.

Huku machozi yakimtiririka alimsafisha mwanae na kumvesha nguo kisha akambeba begani na kutoka nae nje hadi kwenye lile texi,na moja kwa moja alimpeleka nyumbani kwake.Akiwa nyumbani kwake alimpigia daktari wake maalum na kumwomba aje kumtibu mwanae nyumbani kwake.Daktari alifika na kuanza kumtibu.

Alimwita daktari nyumbani kwake kwakuwa hakutaka habari zile zisambae.

Wakati daktari anamtibu mwanae.Baba helena ambae ni askari wa usalama wa taifa,alichukua vifaa vyake vya kazi na kuanza kuitrack ile simu iliyomtumia zile picha.Ndani ya muda mfupi alijua ile simu ilipo.Haraka sana,alichukua bastola yake na kutoka nje.

"Sitawahusisha polisi katika kesi hii,nitawatafuta mwenyewe na kuwafanya kama walichomfanya mwanangu.Haiwezekani mwanangu wamfanyie unguruwe vile .Nitaua wote" alijisemeha moyoni baba helena.

Ndimi
Mjamaa samwely kisinga
Msendembali songea.
ILAANIWE SIKU NILIYOZALIWA - 3

Tulipoishia - "Sitawahusisha polisi katika kesi hii,nitawatafuta mwenyewe na kuwafanya kama walichomfanya mwanangu.Haiwezekani mwanangu wamfanyie unguruwe vile .Nitaua wote" alijisemeha moyoni baba helena.

Endelea nayo.

Baba helena alitoka hadi nje.Mkononi alikuwa na kifaa maalum kilichokuwa kina uwezo wa kumuonyesha ilipokuwa simu iliyomtumia zile picha.

Kwakutumia muongozo wa kile kifaa alienda mpaka kwenye kijiwe cha boda boda .Kifaa kilionyesha simu ipo pale,alipoangalia direction ya simu ilipo,kifaa kilimuonesha Pasco ndie aliyekuwa na simu.Akiwa amechukia alimfata Pasco mpaka alipo na kumshika roba kisha akawa anamvuta pembeni.Madereva yebo walipoona mwenzao anafanywe vile haraka sana wakashuka kwenye boda boda zao na kwenda kumsaidia.

Baba helena alimpiga pasco mtama kisha akamkanyaga na kiatu usoni.

" nipe simu yako " alimwambia

Pasco alikuwa kwenye mshituko mkubwa.Alikuwa hajui afanye nini.Wakati akiwa anawaza kama ampe simu au lah,Mwenzake mmoja alifika na kumpiga baba helena teke mgongoni.Baba helena akutikisika wala nini,ilikuwa ni kama amepigwa na bua.Aligeuka na kumuangalia aliyempiga teke.

Ndita za sura yake zilikuwa zimejikunja na alikuwa anatetemeka kwa hasira.

" mwache mwenzetu.Haiwezekani mbele yetu ukamnyanyasa ,Ukimdhuru huyo na wewe tunakudhuru,hatuwezi kukuacha salama." aliongea hamisi dereva boda boda.

Baba helena hakuwajibu kitu alimsachi pasco mfukoni akakuta simu kubwa ya smartphone,akamsukuma chini kisha akaichukua ile simu na kuanza kuiangalia .Aliifungua ndani akaona zile picha za mwanae.Aligeuza macho, akamuangalia pasco kwa jicho kali sana.

" hiii simu ni yako?"

" ndio" pasco alijibu.

"Tangu jana ulikuwa nayo wewe?"

" Ndio nilikuwa nayo mimi." pasco alijibu kwakujiamini.

Baba helena alimwangalia pasco kwa uchungu mkubwa sana.Alitamani pale pale ampige shaba ya kichwa lakini nafsi yake ilisita.Moyo wake ulikuwa unavuja damu.Akamnyanyua pale chini na kumuuliza.

" nakuuliza kwa mara ya mwisho,hiii simu ni ya kwako?"

" ndio ya kwangu kwani vipi?,hii simu yakwangu,nimenunua mwenyewe kwa hela yangu"

Maneno ya pasco yalikuwa ni uthibitisho tosha kuwa, kweli yeye ndie aliyehusika na kitendo kile.Kwa hasira alimpiga kichwa na kumsukuma chini.Pasco alianguka kama mzoga,akiwa chini baba helena alimshika mguu mmoja na kuanza kumburuza.

Kitendo kile kiliwafanya watu wajae kushangaa nini kinaendelea.Madereva boda boda wakawa wanapiga honi za piki pikipiki kuitana.

Baba helena alimburuza pasco kwakitambo kidogo kisha akamuuliza.

" ulishirikiana na nani? "

Pasco bila kuelewa vizuri, swali linamaanisha nini akamjibu.

" aaah! Kushirikiana na nani kivipi?,mambo yote mimi nashirikiana na madereva wenzangu"

Baba helena aligeuka kuwaangalia wale madereva .Akiwa anawatazama walimvamia wote kwa mara moja.kama umeme Aliruka juu kwa kasi ya ajabu,alimpiga teke aliyekuwa mbele yake,kisha akageuka na mateke mawili kwa wale waliokuwa wanakuja nyuma.Wote walitua chini kama mzigo.Alitoa bastora kiunoni na kumuwekea mdomoni pasco.

" mwanangu helena kakukosea nini?" alimuuliza

Kabla pasco hajajibu chochote. Simu ya baba helena ililia.Aliitoa haraka,kuiangalia alikuwa ni mkewe.Aliipokea na kuiweka sikioni.

" Njoo haraka nyumbani,njooo" alisikika mama helena kwenye simu.

Baba helena alisimama akamwangalia pasco na wenzake kisha akawaambia, "Nitawaua wote " ,kisha akaanza kukimbia kuelekea nyumbani kwake.

Pasco na wenzake walishikwa na butwaa wasielewe nini kimetokea.

" oyaa pasco umemfanya nini yule jamaaa? " aliuliza juma.

" daaah!,aisee mwenyewe sielewi"

Wakati ayo yote yanatokea mzee komba alikuwa pembeni akiyaangalia huku akirekodi kwa simu yake nyingine.

" nitamfundisha adabu huyu askari.Nitamfanya ajute kuzaliwa.Haiwezekani anitie hasara kubwa vile.Nitakachomfanya hatakuja kusahau kamwe." aliwaza moyoni mzee komba huku akimwangalia baba helena ambae alikuwa anakimbia kuelekea nyumbani kwake.

" Yeye si anajifanya mzalendo,basi ngoja nimuoneshe kuwa mimi nina akili kumshinda yeye" alijisemeha moyoni mzee komba kisha akaelekea kwenye gari alilolipaki jirani na pale.

Alifungua mlango wa gari nakuingia ndani.Ndani ya gari kulikuwa kuna vijana wawili walioshiba.Aliwaangalia wale vijana kisha akawaambia.

" kazi ndo kwanza imeanza!,huyu jamaa kachanganyikiwa.Ameanza kufanya vitu bila akili " aliongea mzee komba.

" mkuuu kazi imeanza kivipi? inamaana bado hujaridhika tu kwa kile tulichomfanyia mwanae? " aliuliza omary ,ambae ni kijana wake

" Siwezi kuridhika,bado sana.Nataka nimkomeshe kabisa.Pale nje ameleta vurugu,pia kawatishia wale madereva yebo kuwa atawaua.Sasa nataka tutumie iyo kama fursa ya kumuangamiza kabisa.Nazani mnajua chakufanya"

" ndio mkuu,tunafahamu.Tena hatutachelewa" walimjibu.Waliwasha gari na kuliondoa kwa kasi ya ajabu

.............

Baba helena moja kwa moja alienda hadi nyumbani kwake.Bila kubisha hodi alifungua mlango na kuingia ndani.

Akiwa kwenye korido la kwenda chumbani kwa mwanae alimuona msichana wa kazi akiwa katika hali ambayo akutegemea kama angekuwa nayo.

Akabaki ametoa macho kwa mshangao.

Ndimi
Mjamaa samwely kisinga
SongeaILAANIWE SIKU NILIYOZALIWA - 4

Endelea nayo

Baba helena alimsogele rebeca ambaye ni mfanyakazi wake wa ndani.

" wewe unafurahi nini?,kitu gani kinakufanya ufurahi hivyo wakati wenzio tupo kwenye huzuni kubwa?" alimuuliza

" Dada helena amepona,Fahamu zake zimerejea kama zamani" alijibu yule binti,huku akionyesha tabasamu kubwa usoni.Baba helena haraka sana akaelekea kwenye chumba cha mwanae.Alifungua mlango na kuingia ndani.Macho yake yakakutana na macho ya mwanae.

" ooooh helena mwanangu" aliongea baba helena kisha akamsogelea mwanae na kumkumbatia.Machozi yalimtiririka na kumwangukia helena mgongoni.Walikumbatiana kwa nguvu sana .

" mmmmh!,utamuumiza mwanangu.Hebu mwache mwanangu ,kumkumbatia gani huko." aliongea mama helena kisha akamshika mumewe shati na kumvuta.

" acha wivu bana,niache nimkumbatie mwanangu" aliongea baba helena huku machozi yakiendelea kumtoka.

" aaah kama hautoki basi na mimi nakuja kumkumbati hivyo hivyo" aliongea mama helena kisha akasogea, akawakumbatia.Wote watatu walikuwa wanabubujika machozi kama mvua.Uchungu waliokuwa nao ulikuwa hauelezeki.Daktari aliamua kuwapisha ,akaelekea barazani.

" baba nisamehe,nimekosa.Nisamehe baba" aliongea Helena huku akilia.

" Hapana mwanangu,usiseme ivyo.Wewe hauna kosa lolote.Tatizo ninalo mimi.Mimi ndiye mwenye tatizo,nimeshindwa kutimiza majukumu yangu kama baba,na pia nimeshindwa kutimiza majukumu yangu kama afisa usalama wa taifa.Kama ningepambana usiku na mchana kuwakabili hawa wanaharamu bila shaka haya yasingekupata" aliongea baba Helena huku machozi yakimtiririka.

" Achaneni na hayo kwanza,kubwa na lamsingi mwanangu apone kwanza" aliongea mama helena.

Waliachiana kule kukumbatiana.Wakati baba helena anamwachia mwanae macho yake yakagongana na macho ya mwanae.Haraka sana helena akakwepesha macho yake.Aliona aibu sana,hakuwa na uwezo wakuwaangalia wazazi wake machoni.

Kwakushirikiana na mke wake,walimpa moyo mtoto wao na kumtia nguvu.Walikaaa mle chumbani kwa muda mrefu sana.Ilipofika saa tatu usiku,Daktari aliwafata mle ndani na kuwaaga kuwa anaondoka.

" aisee baba helena,mimi niwaache naona mda umeenda sana"

" sawa dokta nashukuru sana kwa msaada wako.Mungu akubariki sana."

" usijali ndugu yangu.Mimi na wewe tumesaidiana mengi sana."

" sawa dokta.Lakini pia nilikuwa naomba hili swala liwe siri kabisa.Sitaki mtu yeyote afahamu kilichompata mwanangu"

" Kuhusu hilo usijali baba helena.Taaluma yangu naifahamu vizuri sana.Kamwe siwezi kutoa siri za wateja wangu kwa mtu yeyoye.Kufanya hivyo ni kinyume na maadili,na adhabu kali uwa zinatolewa kwa wote wanaoenda kinyume na maadili ya kazi.Na kama taarifa zitatoka nje, basi wahusika mtakuwa nyie wenyewe au binti yenu wa kazi" aliongea daktari kisha akaaga na kuondoka.

Maneno ya daktari yalimpa wazo baba helena.Haraka sana alimwita rebeca binti yake wa kazi na kumwambia.

" Taarifa kuhusu lililotokea humu ndani ni siri.Sitaki uzipeleke kokote.Nikimsikia mtu yeyote anaongelea hili swala nitajua ni wewe"

" aaah hapana!,mimi sitamwambia mtu yeyote yule" alijibu yule binti.

............

Omary kijana wa mzee komba,majira ya saa tano usiku alienda kijiweni anakopaki pasco na kumkodi.Kabla hajamwambia anakoelekea wapi aliingiza mkono mfukoni na kutoa elfu kumi.

" shika hii kijana,nataka unipeleke pale mbele.Chenchi kaa nayo tu aliongea omary.

Moyo wa pasco ulilia paaah.Hakuamini macho yako.

" daaah!,aisee kweli MUNGU hamtupi mja wake.Hesabu ya boss nimeshaipata.Leo nina zari sana,muda ule nimeokota simu .Saizi naachiwa chenchi hivi ". aliwaza moyoni pasco.

Alimbeba omary na kuelekea alipoelekezwa.Walienda walipofika kwenye kichaka.Omary alitoa kisu kiunoni na kumchoma nacho kwa nguvu zote pasco,kisha akaruka kwenye ile pikipiki.Pasco kutokana na maumivu pamoja na mshtuko alikosa balansi ,akaanguka chini.

Omary alimsogelea akachomoa kile kisu alichomchoma nacho.Damu ikaruka juu kama bomba.Huku akiugulia maumivu,pasco alishika alipochomwa kisu,akanyosha mkono ili amshike omary.Omary aliitupa pembeni kisha akamkamata vizuri ,akamuwekea kisu shingoni.

" utanisamehe!,sio kosa langu" aliongea omary kisha akamchinja bila huruma.Aliangalia kushoto na kulia hakuona mtu.Alichukua simu akapiga ,kisha akaanza kukimbia kuelekea mbele zaidi.Gari jeusi kikatokea kwa spidi ya ajabu ,akapanda na kuondoka.

..............

Saa kumi na moja kasoro asubuhi,Husna akiwa anaenda shuleni aliona mwili wa mtu ukiwa umelalala pembeni ya barabara.Moyoni alizani labda ni mlevi tu kalala.Alisogea mpaka pale kumwangalia.Baada ya kuona kilichokuwepo alipiga kelele na kukimbia.

Ndani ya dakika kumi watu wakawa wamejaa.Kila mmoja akawa anaongea lake.Haraka sana wakapiga simu polisi.Polisi wakaja wakapima kisha wakaondoka na mwili wa pasco.

" mmmmh!,hivi nani kamfanyia hivi pasco " aliuliza july

" hata sifahamu,atakuwa ni mtu mwenye ugomvi nae.Maana kama wangekuwa wezi wangechukua piki piki.Lakini wamemuua tu na kumuacha hapo hapo" alimjibu mwenzake.

Mtaani kila mmoja aliongea lake.Japo Wengi walisema alikuwa anatembea na mke wa mtu hivyo mwenye mke kaamua kumkomoa.Mtaa mzima mazungumzo yakawa ni kuhusu mauaji ya pasco.

Wakati ayo yanaendelea mzee omary alimwita omary kumpongeza kwa kazi nzuri.Baada ya pongezi akampa bahasha iliojaa noti.

" umefanya kazi vizuri sana,sasa kilichobakia ni kumalizia kipande kidogo .unaikumbuka ile video ambayo nilimrekodi baba helena wakati anamtishia pasco na wale vijana?"

" ndio naikumbuka,basi nakutumia kwenye simu yako.Naomba uisambaze kwenye mitandao watu waione" aliongea mzee omary kisha akanyanyua glass ya pombe na kuanza kucheka kwa nguvu.

Ndimi
Mjamaa samwely kisinga
Msendembali songea

ILAANIWE SIKU NILIYOZALIWA - 5

Tulipoishia -
" ndio naikumbuka,basi nakutumia kwenye simu yako.Naomba uisambaze kwenye mitandao watu waione" aliongea mzee omary kisha akanyanyua glass ya pombe na kuanza kucheka kwa nguvu.

Endelea nayo.

Ndani ya dakika tatu omary akawa ameshatumiwa ile video.Na yeye bila kupoteza muda akaisambaza kwenye mitandao kama hana akili nzuri.

" mmmmh!,nikisambaza kwenye mitandao bila kuwatumia watu wa mtaa huu inaweza kuchelewa kuwafikia.Dawa hapa ni kusambaza kwenye magroup yao ya watsup na kuwatumia wale watu ambao ni wambea wambea." aliwaza omary ,kisha akatuma kwenye magroup ya watsup .

Baada ya kutuma,aliangalia ile bahasha iliyojaa hela.Akaichukua na kuiweka mfukoni. " leo bata wapi?,niende club gani leo?" aliwaza moyoni huku akiziangalia zile hela.

Kule mtaani ile video ilisambaa kama moto wa nyikani.

" aaah umeona hii video" halima alimwonesha shoga yake.

"Huyu si baba helena huyu?

" Ndio ni yeye?,sijui nani alimrekodi wakati anamtishia pasco kumuua."

" mmmmh!,kwahiyo shoga ,ndo unataka kusema yeye ndiye aliyemuua pasco kikatili vile?

"Sijui,ila inawezekana.Maana watu wanasema yeye alimtishia mchana,na usiku pasco akauwawa .kivyovyote vile atakuwa yeye,kwasababu pasco hana maadui na yeye ndiye aliyesema atamuua"

" mmmh,aisee hii kali.Lakini mbona watu wanasema alikuwa anatembea na mke wa mtu"

" inawezekana labda alikuwa anatembea na mama helena,ndio mana baba helena akamuua"

"Mapenzi kitu cha ajabu sana, yaani unamuua mwenzako kikatili vile kisa tu mapenzi.Kwanza atakama mtu anatembea na mke wako ,wewe unapungukiwa nini?, dhambi si zakwao wao wenyewe"

" Shoga usiseme hivyo,ujue hakuna kitu hatari kama kutembea na mke wa mtu.Watu wanauana na kuchinjana kila siku kisa kuchepuka.Ukitaka kuwa na amani katika hii dunia ,ni vyema usije kutembea na mke wa mtu wala mume wa mtu."

" mmmh!,acha unafiki halima.Unaongea ivyo wakati wewe mwenyewe unatembea na baba dula.Na unajua fika kabisa kuwa yule ni mume wa mtu"

Mtaaani mazungumzo yalikuwa ni ayo tu.Kila mtu aliongea lake.Ndugu wa pasco baada ya kuiona ile video walienda polisi na kuwaambia muuaji ni baba helena.Polisi walishikwa na butwaaa ,baba helena wanaomjua wao ni mtu ambae hawezi fanya tukio kama lile.Walichukua maelezo ya ndugu wa pasco kisha wakawaambia waondoke wao watafatilia.

.................

Majira ya saa saba mchana,rebecca mfanyakazi wa baba helena alikuwa anaenda sokoni kununua mahitaji ya pale nyumbani.Akiwa njiani gari la kifahari lilipaki karibu na yeye.Omary ambae ndie aliyekuwa anaendesha lile gari alifungua mlango na kumwita rebecca.

" mambo dada " omary alimsalimia rebecca.

" Poa, " rebecca alijibu huku akionyesha wasiwasi.

" umependeza sana"

" asante!," alijibu rebecca huku akiangalia chini kwa aibu.

" sasa sikiliza rabecca"

" aaah jina langu kakuambia nani?"

" swala la aliyeniambia jina lako sio muhimu.Cha muhimu ni kile ninachotaka kukuambia"

"Sema basi haraka,mimi nachelewa sokoni"

" Ni hivi ,ujue mimi kwa mda mrefu sana nimekuwa nikikufatilia.Nimegundua kuwa unafaa kabisa kuwa mke wangu."

" mmmh! Kwani wewe hauna mke" aliuliza rebecca.

"Aaaah!,kama ningekuwa na mke nisingekuwa hapa.Najua unashangaa tumeonana leo ,na leo hii nakutaka.Nafanya hivi kwasababu mimi ni mtu serious na nipo bize na mambo mengi.Nimetokea kukupenda sana ndio mana nimeona nikuambie,kama utakuwa tayari niambie nipeleke barua kwa wazazi wako na taratibu nyingine za ndoa zianze."

" mmmh!,mbona haraka ivyo?"

" Haraka kwasababu nakupenda,au wewe unataka tuchezeane kwanza ndipo tufunge ndoa.Ujue wanaume kama mimi tupo wachache sana.Sasa nisikupotezee muda wako,shika hii laki moja itakusaidia kwenye matumizi yako madogo madogo,halafu naomba hii bahasha kaniifadhie nyumbani kwako ,kesho tutakapo onana utanipa.Naomba usiifungue kwani Ukiifungua nitajua,huu ndio mtihani wako ,kama utaifungua na ndoa yenyewe itaishia hapa hapa.Naomba kaiweke kwenye chumba chochote cha nje"

" sawa," rebacca alijibu kisha akaondoka.Hakuamini kile kilichotokea,alihisi ni ndoto.

" mmmh!,yaani mtu ndo kwanza tunaonana ananipa laki,au ameletwa na upepo wa kisuli suli ,halafu hataki ngono mapema,anataka tufunge ndoa.Ukisikia zari ndo ili,ona ana gari zuri vile, " aliwaza moyoni rebecca.Moyo wake ulijaa furaha,alitamani sana kuwa na nyumba yake na mume wake.Aliona ndoto yake imetimia.

Kwenye lile gari omary alikuwa anazungumza na mzee komba aliyekaa kiti cha nyuma.

"Unauhakika yule binti atafanya vile tunavyotaka?" mzee komba aliyekaa kiti cha nyumba alimuuliza omary.

" ndio mzee usijali?"

" halafu kisu ulichokiweka ndo kile ulichomuulia pasco,maana usije ukawa umechanganya visu,?"

"Ndio mzee ni kisu kile kile,yule binti hawezi kufungua ile bahasha ,nina uhakika kwasababu nimemsoma saikolojia yake,anataka sana kuolewa"

Usikose sehemu ya pili ya uhondo huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ILAANIWE SIKU NILIYOZALIWA - 6

Tulipoishia - "Ndio mzee ni kisu kile kile,yule binti hawezi kufungua ile bahasha ,nina uhakika kwasababu nimemsoma saikolojia yake,anataka sana kuolewa "

Endelea nayo.

" ok kama ivyo basi mchezo umeisha.Akiweka tu ile bahasha kazi yetu inakuwa imeisha." aliongea mzee komba.

Omary alikanyaga mafuta ya gari wakapotea eneo lile.Rebecca alienda sokoni lakini akili yake yote ilikuwa kwa omary.

" mmmh!,hivi kaka mzuri kama yule anaweza kunipenda mimi kweli?,yaaani aache kuwapenda wenye mali zao aje anipende mimi mfanyakazi wa ndani?,inawezekana kweli?" aliwaza rebecca.

Akiwa kwenye mawazo mazito alishituriwa na sauti ya mussa.

" Rebecca mrembo,mambo vipi?" mussa alimsalimia rebecca.

" mambo poa za kwako?"

" Safi aisee,poleni na matatizo."

" matatizo gani?"

" mmmmh!,acha kujifanya hujui wewe!,kila mtu mtaani anaelewa boss wako anabonge la msala.Hivi hapa hana siku nyingi atakamatwa akanyee debe"

"Mmmmh ,mussa unaongea ukweli?"

" Ndio!,sasa mimi nikudanganye ili iweje?

Maneno ya mussa yalimshtua sana rebecca.Aliwaza hatma yake ikiwa kweli boss wake akakamatwa kwa huo msala alioambiwa na mussa.

"Hivi kama kweli Boss akakamatwa itakuaje?, mama helena hana kazi,kwahiyo kama atakamatwa yeye maana yake pale nyumbani maisha yatakuwa magumu sana.mmmh! Aisee hapana.Siwezi kukubali kuishi maisha magumu tena,Hapa dawa ni kumkubalia yule jamaa mapema sana ili anioe niondokane na balaa linalokuja" aliwaza Rebecca.

Haraka sana akaenda sokoni kununua mahitaji na kurudi nyumbani.Kufika nyumbani kabla hajaingia ndani ile bahasha aliichukua na kwenda kuiweka kwenye chumba cha nje ambacho alikuwa hakai mtu.Baada ya kuiweka akaingia chumbani kwake na kuhifadhi zile hela alizopewa.

" Rebecca!,rebeccaaaa" aliita mama helena, lakini cha ajabu rebecca hakumjibu licha ya kuwa alikuwa akimsikia.

" hivi huyu binti hajarudi au?,Lakini mbona nimesikia kama mtu anaingia ndani?,ngoja nikamuangalie chumbani kwake" aliongea mama helena huku akiwa anaelekea chumbani kwa rebecca.

Akiwa mlangoni aliita tena " rebecaaaa,rebecaa" .Hakuna aliyejibu hali liyopelekea mama helena aamue kufungua mlango.Alifungua mlango na kumkuta rebecca akiwa amekaa kitandani.

" aaah!,yaaani wewe mimi nakuita muda wote unakaa kimya!,ulikuwa haunisikiii au?"

" me nimechoka nataka kupumzika" alijibu rebecca huku akimuangalia mama helena kwa dharau.

" unapumzikaje saizi wakati hata chakula bado hujapika.Na kwanini unaniangalia ivyo?"

" mmmh!,kwani mimi nimekuangaliaje?"

" ivyo unavyoniangalia wewe unaona unaniangalia vizuri?"

" aaah!,mimi naona nakuangalia vizuri tu " alijibu rebecca.Mama helena alimwangalia rebecca kisha akaamua kutoka nje.Akiwa anaelekea kwenye chumba alichokuwa helena ,akawa anajiuliza.

" huyu binti ananini?,kwanini ananiangalia vile.Mbona ananiangalia kwa dharau vile" aliwaza mama helena.

Akiwa kwenye mawazo ayo alikumbuka maneno ya kungwi wake ,aliyemfunda wakati anataka kuolewa na baba helena.Maneno aliyoyakumbuka ya kungwi wake ni haya " ukiona mfanyakazi wako wa ndani anakujibu kwa dharau na jeuri basi jua kuwa mumeo anatembea naye,na ndio mana anakuletea dharau"

Moyo wake ulilia paaah,akajua ndoa yake ndo basi tena.Akajiangalia yeye alivyo kisha akajifananisha na rebecca akakata tamaa.Alijiona yeye tayari ashaanza kuzeeka.

" nilikuwa mzuri enzi za ujana wangu saizi sina kitu kwakweli,na kwajinsi baba helena alivyokuwa anazisifia chuchu zangu kipindi kile nipo kijana,saiz lazima atakuwa anatembea na huyu binti,maana na yeye anachuchu kama nilizokuwa nazo mimi kipindi kile cha usichana wangu" aliwaza mama helena.

Kule ndani rebecca alikuwa anapanga mipango ya kutafuta mbinu za kuondoka pale." hapa dawa ni kuleta vitimbwi mpaka wanifukuze,wakinifukuza tu naenda kumtafuta mpenzi wangu.Maana nikiendelea kushangaa hapa nitazeekea hapa hapa" aliwaza rebecca,akili yake muda wote ilikuwa inamuwaza omary tu.Aliamini asilimia mia moja kuwa muda wake umefika,hivyo hapaswi kuendeshwa kama mfanyakazi wa ndani.

Wakati rebecca anawaza ayo,kwa upande wa Hellena akili yake bado ilikuwa haijakaa vizuri.Muda wote alikuwa analia tu.Kila akikumbuka tukio lile alikuwa anatokwa na machozi.Kitendo chake cha kulia muda wote,kilimfanya baba yake asitoke chumbani kwake.Alikuwa na kazi ya kumbembeleza na kumfuta machozi mwanae.

Kuna muda na yeye alishindwa kuvumilia,ivyo wote wakajikuta wanalia.
Moyoni helena alimlaani sana mpenzi wake joel,kwani yeye ndie aliyempeleka kwenye lile jengo.

"Joel kumbe ulikuwa hunipendi,kwanini umenifanyia hivi? Kwanini lakini?,nimekukosea nini? Kosa langu ni lipi? ,afadhali hata ungenibaka peke yako ,kuniletea kundi la watu....Lakini pia na mimi nina makosa mama alinionya nisizoeane na joel sikusikia,,aliniambia mimi bado mdogo niache maswala ya wachumba lakini sikusikia"aliwaza helena huku machozi yakimtiririka mashavuni.Kitu ambacho Helena alikuwa hajui ni kuwa joel hakuwa anampenda hata kidogo,joel alikuwa ametumwa na mzee komba na wala alikuwa hana hisia zozote na yeye.

Mama helena aliingia chumbani kwa helena ambako mumewe alikuwa akimbembeleza helena.

" Baba helena nakuomba nje mara moja" aliongea mama helena kisha akatoka kuelekea chumbani kwake.Baba helena alisimama na kumfata.Wakiwa chumbani mama helena alimwangalia mumewe kwa chuki kali kisha akamuuliza.

" Hivi baba helena!,kuna kitu unachokosa kwangu?"

" Hapana !,kwani vipi?" alijibu baba helena huku akiwa anafuta machozi,kwani alipokuwa chumbani kwa helena alikuwa analia.

" usiniulize kwani vipi?,ninachotaka kujua ni icho?,Je kuna kitu unakosa kwangu?"

" Hapana mke wangu!,nakosa nini kwako?,Mbona hakuna ninachokosa kwako?"

"Kama hamna unachokosa kwanini unanisaliti?,kwanini unatoka nje ya ndoa? Au vichuchu vile vinakuchanganya"

" aaah!,mke wangu?,ayo yametoka wapi tena?,Nani amekuambia upuuzi huo.Tangu lini mimi nikatoka nje ya ndoa?" aliuliza maswali mfululizo baba helena.

"Lazima tu utakuwa unatoka naye,sio bure? Hawezi kuleta dharau hivi kama hutoki naye?"

" Natoka na nani tena mke wangu?,Mbona sikuelewi?"

" unajifanya haumjui sio?,sawa tutaona"

Wakati wanaendelea kubishana,Geti la nje liligongwa.Akiwa chumbani mama helena alimwambia kwa sauti Rebecca akaangalie getini nani anabisha hodi.

" Rebeccaaaa,hebu nenda getini kaangalie nani anabisha hodi?" aliongea mama helena.

"Aaaah!,mimi nimechoka,leo nenda mwenyewe" alijibu rebecca na kujilaza kitandani.Akili yake yote ilikuwa kwa omary.

" mmmmh!," aliguna baba helena kule ndani na kisha akamuuliza mkewe.

" hivi mama helena.Hii tabia ya huyu binti kukujibu hivi imeanza lini?,"

" aaah!,unauliza tena?,unayoyafanya mshahara wake ndo huo .Mimi kudharaulika.Maana sasa anaona tupo sawa". Aliongea mama helena kisha akasimama kuelekea nje kwenda kuwaangalia wageni.

Kufika nje alishtuka kuwaona ni polisi wakiwa na mbwa.

" Habari shem,aisee tumepata taarifa kuwa kunaushahidi wa mauaji ya pasco dereva boda boda.Sasa tumekuja kuangalia,maana kama tusingefika wananchi wangesema tunamlinda jamaa kwakuwa ni askari kama sisi.Kuwakata mdomo tumeamua tuje kusachi nyumba nzima na kuwathibitishia kuwa hakuna huo ushahidi "

" Search warrant hii hapa,tutasachi nyumba yote kwa umakini sana.Kama hatutakuta kitu tutaondoka,ila kama tutakuta kitu itakuwa hatari sana,maana baba helena yeye ni afisa usalama,ivyo inabidi awe mfano kwa jamiii,kwahiyo kama tutathibitisha ni kweli,itakuwa balaa,maisha ya mumeo yote yataishia gerezani"

Ndimi
Mjamaa samwely kisinga
Msendembali- songea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ILAANIWE SIKU NILIYOZALIWA - 7

Tulipoishia - " Search warrant hii hapa,tutasachi nyumba yote kwa umakini sana.Kama hatutakuta kitu tutaondoka,ila kama tutakuta kitu itakuwa hatari sana,maana baba helena yeye ni afisa usalama,ivyo inabidi awe mfano kwa jamiii,kwahiyo kama tutathibitisha ni kweli,itakuwa balaa,maisha ya mumeo yote yataishia gerezani"

Endelea nayo

Mama helena alipigwa na butwaa asijue afanye nini.Wakiwa wanendelea kuongea baba helena naye akawa ametoka nje.

"Vipi ?,mbona mmefika na mbwa wa kutafuta vitu?,kuna nini hapa?" aliuliza baba helena.

" nimeshampa maelezo mkeo.Ni hivi,shutuma zimekuwa kubwa sana mtaani kuwa wewe ndie uliyemuua pasco.Na tumepewa kithibitisho kimoja na kingine tumeambiwa na wasiri wetu kuwa kipo hapa"

" mmmmh!,kwahiyo ndo mmekuja kukitafuta iko kithibitisho kingine?"

" Ndio"

" kama ni ivyo sawa.Mimi sina chakuwaficha,anzeni kusachi " aliongea baba helena kwakujiamini.Moyoni mwake alijua hana hatia,na alijua atawakisachi vipi hawawezi kupata huo uthibitisho wanaoutaka.

Mama helena akili yake haikuwa sawa.Alimsogelea mumewe na kumuuliza." mbona hivi mume wangu?,Helena kabakwa!,mfanyakazi ananiletea dharau,halafu na saiz polisi nao wanakuja kusachi nyumbani kwangu!,nini kinaendelea mume wangu?" aliuliza mama helena huku akimkazia macho mumewe.

" ukiniuliza mimi unakosea!,Kwasababu mimi mwenyewe sijui kitu nashangaa kama wewe.ila hawa wanaosema nimemua pasco sio kweli.Yaani sio kweli kabisa"

" sasa mume wangu kwanini wakuhusishe wewe na sio mtu mwingine?,na mbona kwenye ile video unaonekana unamtishia maisha?"

"Mke wangu katika watu ambao hawatakiwi kuwa na wasiwasi na mimi,wewe ni mmoja wapo.Kila mtu saiz ananishutumu kwa kuongea lake.Katika mazingira haya wewe ulipaswa kunipa moyo mimi,na sio na wewe kuanza kunishutumu."

" aaah!,sasa mume wangu nitakupaje moyo wakati mambo yenyewe siyajui vizuri?,watu wanasema umeua mtu,na video ya kuonesha unamtishia ipo,wewe unazani bila maelezo mazuri mimi nitakuelewa tu kwasababu ni mume wangu"

Baba helena alimwangalia mkewe bila kujibu kitu.Aliamua kukaa kimya,alijua kama wataendelea kubishana basi watakesha mpaka asubuhi.

Mazungumzo yao helena aliyasikia kule ndani.Moyoni mwake alijisikia uchungi sana.Alizani pengine baba yake ameua mtu kutokana na kile yeye alichofanyiwa.Alianza kujilaumu sana.

" ona sasa,kwa uzembe wangu na upumbavu wangu baba kapata hasira kaua mtu,nimeitia aibu familia yangu,na pia nimeyaharibu maisha ya baba yangu" aliwaza helena huku machozi yakimtiririka mashavuni.

Polisi walianza kusachi nyumba kubwa wakamaliza.Baada ya hapo wakaenda kwenye vyumba vya nje.Katika pekua pekua wakaikuta ile bahasha ikiwa na kisu ndani.

" mmmh!,aisee kisu tulichoambiwa nazani ni hiki" polisi aliyekiona alimwambia mkubwa wake.

" mmmh!,hujue mpaka sasa siamini haya mambo,yaani afande noel( baba helena) ,amuue dereva yebo kweli?"

"Ubongo wako unaweza ukawa hauamini,ila mazingira na uthibitisho utakufanya uamini.Hebu jaribu kufikiria,kwenye ile video ameonekana yeye akimtisha pasco,na pia kisu cha mauaji tumekikuta nyumbani kwake.Kivyovyote vile muuaji ni yeye"

" Hapana afande,usiseme ivyo.Kwanza hiki kisu bado hatujathibitisha kama ni kweli ndicho kilichohusika na mauaji.Kwanza itabidi tukaangalie damu iliyokuwa kwenye kisu kama ni ya pasco au la,na pili,unajua kukikuta tu kisu hapa haina maana kuwa yeye ndiye muuaji"

" mmmmh!,mkuu unataka kusema nini?,kwa uthibitisho huu,yeye ni mshukiwa namba moja ivyo ni lazima tuondoke naye."

" Hapana kijana hatupaswi kufanya ivyo,huyu jamaa ni askari mwenzetu,japo yeye yupo usalama wa taifa lakini ni mwenzetu.Sio vizuri kumuhukumu haraka haraka ivyo."

" kwahiyo unashauri tufanyeje?"

" Hapa chakufanya,ni sisi kuondoka kwenda kuangalia hiki kisu kama ni kweli ndicho kilichomuua pasco au la?,kama ni chenyewe tutakuwa hatuna jinsi,itabidi tuje kumkamata tu"

" sawa mkuu"

Walimuita baba helena ambaye alikuwa ndani wakati wao wanajadiliana nje.Haraka sana akatoka nje.

" aisee tumepata tulichokuwa tunakitafuta "

" mmmh!,acheni masihara mmepata nini?" aliuliza baba helena

" Tumepata kisu ambacho tunazani ndicho kilichotumika kufanyia mauaji?"

"Hapana ,hapana,haiwezekani?,mmekipata wapi?,mbona sielewi?" aliuliza baba helena.

Askari walikitoa kisu wakamuonesha,na wakampeleka sehemu walipokiona.Baba helena aliishiwa nguvu,mpaka sasa alishajua kinachoendelea.Akili yake ilimwambia kuna mtu anapanga kumuangamiza kabisa.

" Nisipokuwa makini,maisha yangu yanaenda kupotea.Kuna mtu ananichezea mchezo" aliwaza baba helena.

Mkuu wa wale polisi alimwangalia baba helena kisha akamwambia.

" ilibidi tuondoke na wewe,ila kwa heshima yako tutakuacha kwanza,Tunaenda kuchunguza kwanza hiki kisu,kama kitakuwa kweli ndicho kilichotumika wakati wa mauaji tutakuwa hatuna budi zaidi ya kuja kukukamata"

Baada ya maelezo hayo askari waliondoka na kumuacha baba helena akiwa kwenye mawazo mengi sana.Mwili wake uliishiwa nguvu kabisa akajikuta amekaa chini bila kupenda.

Wananchi na madereva boda boda waliokuwa wanachungulia wakati polisi wanakagua nyumba hawakurizishwa na kitendo cha kutokukamatwa baba helena.

" daaaah!,aiseee kweli sheria duniani haki mbinguni.Yaani mtu amekutwa na vithibitisho vyote lakini ameachwa bila kukamatwa" aliongea godfrey.

" mimi nilijua,hawawezi kumkamata,pale jamaa watakuwa wamepewa kitu kidogo." aliongea kijana mwingine.

" kitu kidogo nini?,si useme tu wamepewa rushwa"

Kitendo cha kutokamatwa baba helena kilizua taharuki.Madereva boda boda walikereka sana.Waliona hawatendewi haki,kifo cha pasco kiliwakumbusha matukio mengi ya nyuma ambayo wenzao walikuwa wanachinjwa na kunyanganywa pikipiki.

Kila kijiwe cha boda boda mazungumzo yalikuwa kuhusu pasco na baba helena.Wengi walimshutumu baba helena kwa kifo cha pasco.Story zilisambaa kuwa baba helena amemuua pasco kikatili kwasababu alikuwa anatembea na mke wake.

Mzee komba na kijana wake omary walikuwa wanafatilia kila kinachoendelea.Baada ya kuona baba helena hajakamatwa ,mzee komba akaja na mpango mwingine kabambe.

"Hili swala linataka kunimalizia muda mwingi.Ni vyema tukalimaliza haraka ili tuendelee na shughuli nyingine" aliongea mzee komba

" tunalimalizaje boss?" aliuliza omary.

" ni rahisi sana,si unaona madereva boda boda wanavyolalamika na walivyochukia,"

" ndio nimeona"

" sawa,sasa kazi yako wewe ni kwenda kupalia moto zaidi.Nazani umenielewa?"

" Ndio boss,nimekuelewa" alijibu omary na pale pale alishuka kwenye gari na kuelekea kwenye kijiwe cha boda boda.Kufika pale alikaa na kusikiliza mazungumzo yao kwa dakika kadhaa kisha akaongea.

" unajua nyie mnalalamika tu.Mtu aliyemuua rafiki yenu mnamjua alafu baada ya kuchukua hatua mnakaa hapa kalalamika " aliongea omary

" sasa tuchukue hatua gani broo?"

"Hatua zipo nyingi mbona.Unajua hata mimi wakati nakaa lizaboni kulikuwa na matukio kama aya ya madereva boda boda kuuwawa.Walikuwa wanauwawa halafu polisi hawafanyi kitu,tukavumilia tukachoka,na sisi tukaanza kuwavamia na kuwachoma moto wauaji,tuliwachoma wawili.Tangu hapo hakujawahi kutokea tukio la dereva boda boda kuuwawa tena."

" unajua nyie kazi yenu ngumu sana alafu mnaonewa na kuzingiziwa sana,kama pasco kauwawa kwakuzingiziwa tu.hii haikubaliki tuchukue hatua.Twendeni tukawachome moto." aliongea omary.

" alafu kweli broo umeongea la maana,hapa dawa ni sisi kulipa kisasi" aliongea dereva boda boda mwingine .

Ndimi
Mjamaa samwely kisinga
Msendembali songea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzo wake tu ndo inasisimua ivo, huko inapoendelea naona ni simanzi zaidi masikini!
acha tu inaweza kukutoa mchozi,muhimu weka kambi INA utamu wake mi niliiacha jamaa alivyuanza kusema

"tuma 1000 nikutumie yote inbox"
 
ILAANIWE SIKU NILIYOZALIWA - 8

Tulipoishia -
" alafu kweli broo umeongea la maana,hapa dawa ni sisis kulipa kisasi" aliongea dereva boda boda mwingine .

Endelea nayo.

Omary aliwachochoe sana.Alipoona wamemuelewa aliondoka,akawaacha wanapanga jinsi ya kutekeleza kisasi chao.Wapo waliokuwa wanataka kwenda kuichoma moto nyumba ya baba helena muda ule ule.Na wapo waliokuwa wanakataa na kutaka watafute mbinu nyingine.

"Mbona tunapotezeana muda.Hapa ni kwenda tu kukichafua pale pale" aliongea fred.

" Hapana kaka ,tusifanye mambo kwa hasira bila akili.Yule jamaaa kamuua pasco bila huruma,ni haki yake kufa.Lakini tukifanya mambo kwakukurupuka itakula kwetu nawaambia" aliongea mwingine.

" itakula kwetu kivipi wewe?,acha uwoga.Kama mbwai na iwe mbwai ,haiwezekena mtu amfanyie ukatili mwenzetu hivi halafu sisi tumuangalie tu"

" sijasema tumuangalie tu,nimesema inabidi tupange mipango vizuri bila haraka.Kwa sababu tukifanya haraka haraka bila kujipanga vizuri,sisi sote tutaishia jela"

" aaah!,aaaah!,wewe jamaa vipi?,hivi unazani sisi tunaogopa jela.Labda nyie muogope ila mimi siogopi.Jela kwenyewe kama nyumbani tu,washikaji wangu kibao wako kule.Tena kule maisha poa sana,chakula ni bure "

Wakati muda wanabishana mussa alikuwa anawaangalia tu na kuwasikiliza.Alipoona mazungumzo ayafiki mwisho akaamua na yeye kutoa mawazo yake.

"Nisikilizeni na mimi jamani,kwanza hapa tunachokifanya ni utoto mkubwa.Haiwezekani tukajadili mikakati ya kuondoa uhai wa mtu hadharani hivi.Kwasasa hili swala naomba tuliache,tuchague watu watatu ambao wataenda kupanga jinsi ya kulipa kisasi "

Mawazo ya mussa yaliungwa mkono na wote.Wakachagua watu watatu ambao wangeenda kuandaa mpango wa kulipa kisasi.

Baada ya muda kwenda na watu waliochaguliwa wakiongozwa na mussa kukaa ,walikubaliana walipe kisasi kwa kuichoma moto nyumba ya baba helena huku wao wakiwa ndani.Na walipanga watekeleze ilo saa saba usiku wakati familia nzima ikiwa imelala.Hili kutekeleza ilo baadhi ya madereva waliambiwa waandae mafuta ya petrol.

................

Nyumbani kwa kina helena hali haikuwa nzuri.Mama helena alikuwa amechukia kupita maelezo.Alikuwa anamlaumu mumewe kwa yote yaliyotokea.Baba helena kila alipojaribu kujitetea ilikuwa sifuri.Maneno yake yaliingia sikio moja na kutoka sikio lingine.

Mama helena hakumpa nafasi kabisa mumewe kupumua,alimshushia maneno kama hana akili nzuri.

" wewe ndo chanzo cha matatizo aya yote.Ona sasa umemuua na kijana wa watu ?"

" hivi mke wangu?,unasemaje ivyo!,unasemaje mimi nimemua yule kijana wakati unajua fikra usiku wote nilikuwa hapa na wewe?"

" sasa kama hujamuua kwanini kisu wamekikuta hapa?,na kwanini kwenye ile video umeonekana ukimtishia maisha kijana wa watu?"

" sikiliza mke wangu.Unajua katika hii hali mtu pekee ambaye alitakiwa asiwe na shaka na mimi ni wewe.Sasa unavyoniletea haya unayoyasema nashindwa kabisa kukuelewa"

Mama helena alikuwa mgumu kumuelewa mumewe.Aliendelea kumshtumu mumewe.Usoni mwake alionesha chuki za wazi kabisa,bila shaka hii ilitokana na dharau ambazo mfanyakazi wa ndani alikuwa anazileta.Kumbu kumbu za mafunzo aliyoyapata kabla ya ndoa kuwa ukiona mfanyakazi wa ndani analeta dharau ujue anatembea na mumeo zilimuaminisha kuwa mumewe anatembea na mfanyakazi wao.Na hii ilipelekea amchukie mumewe na amuhisi vibaya hata kwenye kifo cha pasco.

Baada ya kuona mkewe hamuelewi na anaendelea kumshushia maneno makali baba helena aliamua kulala kitandani na kujifunika shuka kabisa.

" mmmh!,hapana!,huyu mwanamke mbona anaongea sana au ndo gubu lenyewe" aliwaza.Akiwa anawaza aliukumbuka wimbo wa baba levo unaoitwa vuvuzela.

" aisee yule msanii aliimba kweli,wanawake wengine ni mavuvuzela kabisa" aliwaza baba helena huku Akiwa amejifunika shuka.

mama helena alimfunua shuka na kumwambia. " namchukua mwanangu naenda kwetu,nakuacha uwe huru na umalaya wako"

Maneno ya mama helena yalimfikia helena chumbani kwake.Moyoni helena alijiona kama yeye ndiye mkosaji.Aliona yeye ndio chanzo cha yote kutokea.

" Hapana ,siwezi kukubali baba na mama waachane kwaajili yangu,nimewaumiza na kuwadhalilisha sana kwa hili lililonitokea,halafu kwanini naendelea kuishi wakati kila kitu kishaharibika,kwa hali yangu hakuna atakayekubali kunioa tena,hivi nani atakubali kumuoa msichana aliyebakwa na wanaume zaidi ya nane.Najua saizi wengi hawajui ila itafika muda kila mmoja atajua tu.Hapa dawa ni kujiua tu,lakini sipaswi kujiua kihasara,nitajiua ila nitaacha ujumbe wakuwataka baba na mama wasiachane." aliwaza helena.Akili yake ilishahamia kwenye kujiua,hakujiona kama anathamani tena.

Wakati helena anawaza hayo,mfanyakazi wa ndani rebecca na yeye alikuwa akiwaza yake.Alikuwa anawaza jinsi atakavyokuwa akiishi na mumewe omary.Akili yake yote ilikuwa kwa omary.Aliwaza siku atakayompeleka kijijini kwao kujitambulisha.

" mmmmh!,hivi pale kijijini kwetu kuna mtu amewahi kuolewa na bwana mwenye gari?, mmmh! Hayupo,mimi nitakuwa wakwanza" aliwaza rebecca moyoni.

............

Saa sita usiki helena alikuwa macho alichukua karatasi akaandika ujumbe flani na kuuweka kwenye droo.Alichukua kanga mbili na kutoka nje.Wakati anafungua mlango mama yake hakusikia kwakuwa bado alikuwa anamshambulia mumewe kwa maneno.

Helena alifanikiwa kutoka hadi nje na moja kwa moja akaelekea baharini kwa lengo la kujiua.Alipanga kwenda kujitosa tu baharini.Sehemu waliyokuwa wanaishi ilikuwa karibu na bahari ya hindi.

..........

Saa saba usiku kundi la vijana wakiwa na maguduria ya mafuta mkononi waliruka ukuta wa nyumba ya kina helena na kuanza kuimwagia nyumba mafuta.Baada ya kumaliza walitoka nje na kuwasha moto kwenye kipande cha mbao kisha wakakirushia nyumbani kwa kina helena.

Moto mkubwa ulilipuka,mafuta ya petrol waliyomwanga yalikuwa sio mchezo,nyumba iliungua kwa spidi ya ajabu.Walipoona moto umeshika wakakimbia wote.

Inaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ILAANIWE SIKU NILIYOZALIWA - 9

Tulupoishia - Moto mkubwa ulilipuka,mafuta ya petrol waliyomwanga yalikuwa sio mchezo,nyumba iliungua kwa spidi ya ajabu.Walipoona moto umeshika wakakimbia wote.

Endelea nayo.

Moto ulikuwa mkubwa sana.Kwa jinsi ulivyo ilikuwa ni ngumu mtu kutoka ndani ya ule moto akiwa mzima.

wakati nyumba inateketea juma mtoto wa mwisho wa mzee moyo alikuwa chumbani kwake akijisomea.Alipoangalia dirishani alishtuka kuona nyumba ya kina baba helena ikiteketea kwa moto.Alipiga kelele zilizomshtua baba yake.Ambae aliamka na kwenda kumuangalia mwanae.

Kufika pale na yeye alipigwa na butwaa kuona nyumba yakina helena ikiteketea kwa moto.Walipiga kelele sana," jamani moto,motooo,majirani motooo"

Haikuchukua muda watu wakawa wengi.Walijaribu kuuzima moto lakini ilishindikana.

" jamani hebu wapigieni simu watu wa zimamoto " aliongea mzee moyo.

Daudi kijana wa nyumba ya jirani na pale alichukua simu na kutaka kuwapigia .

" jamani nitajieni namba ya zimamoto niwapigie" aliwauliza wenzake.

"Jamani mbona hamnitajii iyo namba"

Kila mmoja alimwangalia mwenzake.Hakuna aliyekuwa na namba ya zimamoto.Wakiwa wanashangaana hawajui chakufanya,alitokea omary ambae muda wote alikuwa amejificha tangu mwanzo wale vijana walipoiwasha moto nyumba.Alipoona nyumba yote imeteketea ndipo akajitokeza.

" aaah nini tena jamani? Aliuliza omary

" mmmh!,unauliza nini wakati unaona nyumba imeteketea moto" alimjibu mzee moyo.

" sasa si muwapigie watu wa zimamoto waje kuuzima?"

" Hatuna namba yao"

" mmmh,basi ngoja mimi niwapigie maana namba yao ninayo humu." aliongea omary kisha akabonya simu yake na kuwapigia zima moto_Omary alipiga simu kama geresha tu,alijua hata wakija zimamoto kwa hali ilivyo hawawezi kufanya lolote.

Baada ya kupiga simu haikuchukua muda gari la zimamoti likawa limefika.Lakini cha ajabu lilifika likiwa halina maji.

" sasa nyie mmefika kufanya nini?,kama maji hamna si mngesema?" aliongea kwa ukali mzee moyo.

Zimamoto walipiga simu kwa wenzao wa polisi wakaja na gari la maji ya kuwashawasha.Wakazima moto mchache uliobakia baada ya kuungua vitu karibu vyote.Katika hali ilivyokuwa ilikuwa ni ngumu kupatikana mtu akiwa mzima.

Waliingia na kuanza kupekua pekua vitu.

........

Helena akiwa haelewi kinachoendelea alitembea hadi kwenye ukingo wa bahari,alikuwa amedhamiria kujiua.Bila kusita aliingia baharini ,akawa anaenda mbele kwenye maji mengi.

Pembeni ya pale alipoingia baharini kulikuwa na kundi la vijana kumi ambao walikuwa wanasubiri boti usiku ule ili waende somalia kujiunga na kikundi cha al sha baab.Walipanga usiku ule boti iwachukue iwapeleke mombasa na mombasa wafanye mipango ya kupelekwa somalia.

Mtu ambae alikuwa anawakusanya vijana hawa na kwenda kuwauza kwa al sha baab alikuwa ni mzee komba.Katika kile kikundi kilichokuwa pale kilikuwa kinasimamiwa na shabaan,ambae ni mfanyakazi wa mzee komba.

Wakiwa wamekaa wanasubiri boti walimuona helena akiingia baharini na kutembea kwenda mbele.

" oyo muoneni yule binti.Mbona kama anataka kujiua " shabani aliwauliza wenzake.

" mmmmh!,hapana aisee " ,alisema shabani huku akisimama na kuelekea kule baharini.Alikimbia hadi baharini na kwenda kumshika helena mkono.

"Niache ,niaaaache,wewe nani hadi unaingilia mipango ya watu,niache nimesema" aliongea helena huku akilia.

Shaban alimshika kwa nguvu na kumvuta nje ya bahari.Wenzake wakaja kumuangalia." aaah !,wewe mwanamke vipi ?,unatakaje kujiua kirahisi hivi?" shaban alimuuliza.

" mmmh!,shaban halafu ujue saizi ni usiku!,unaweza dhani ni mtu wa kawaida kumbe ni jini" aliongea kijana mwingine.

" acha uwoga wewe,jini wapi si unamuona huyu ni mtu kabisa" alijibu shabani.

"Binti unataka kujiua wakati unamengi ya kufanya.Kama kweli unataka kujiua naomba kuanzia sasa jichukulie kama umekufa.Mwili wako kuanzia sasa sio wakwako,naenda kukuuza somalia kwa ali sha baab" aliongea shaban.

" mmmh! Kwani al sha baab wananua hadi wanawake?" aliuliza kijana mwingine.

" ndio wananunua tena wananunua kwa hela nyingi kushinda hata wanaume"

" mmmh!,sasa wanawanunua wanawake kwa kazi gani?" aliuliza

" wanawanunua kwa ajili ya ngono.wakitoka mazoezini na kwenye mapambano wanawatumia kingono.Yaani wanakuwa watumwa wa ngono .Hivyo na huyu nampeleka kumuuza kwao,maana yeye maisha yake si hayataki" aliongea shaban.

Itaendelea


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ILAANIWE SIKU NILIYOZALIWA - 10

Tulipoishia -
" wanawanunua kwa ajili ya ngono.wakitoka mazoezini na kwenye mapambano wanawatumia kingono.Yaani wanakuwa watumwa wa ngono .Hivyo na huyu nampeleka kumuuza kwao,maana yeye maisha yake si hayataki" aliongea shaban.

Endelea nayo.

Helena aliwasikiliza lakini hakujali kitu.Akili yake ilikuwa mbali,aliwaza mengi sana.Shaban alimshika helena kwa nguvu na kumfunga kamba ili asije kuwatoroka.

Alimnyanyua na kumweka began hadi pale walipokaa wao kusubiri boti.

" daaah!,broo kwahiyo huyu binti ndo unampeleka akatumiwe na al sha baab bila hata ya sisi kumgusa kidogo" aliuliza Juma ,ambae ni miongoni mwa vijana waliokuwa wanapelekwa kwenda kujiunga na al shabaab.

"Acha tamaa juma.Kabla ya siku ya hii safari boss alikuwa anawanunulia makahaba kila siku.Mumewatumia mpaka basi,yaani na leo tena unakatamani haka katoto.Kwanza huyu si binti ,ni mtoto mdogo sana," aliongea shaban.

"Mmmmh!,mtoto mdogo wapi mbona anaonekana kama tayari huyu?,wewe huoni vichuchu ivyo?" alijibu juma

"Atakayemgusa huyu binti namtoa roho.Naomba mwacheni kama alivyo,hatma ya maisha yake itafahamika mbele ya safari ,ila kwa sasa naomba mwacheni kama alivyo asiguswe na mtu yeyote" alitoa onyo shaban.

Muda ulienda majira ya saa nane usiku,boti ilifika na kupaki kwenye bandari bubu iliyokuwepo pale.Shabani aliwapakiza vijana wote kwenye boti kisha akamchukua helena na kumpakiza pia.

" aaah !,wewe jamaa vipi?,mbona kwenye makubaliano hakukuwa na mwanamke.Huyu mwanamke ametoka wapi?" aliuliza nahodha wa ile boti.

"Kaka kwani shida yako ni nini?,shida yako wewe ni hela,na kuhusu ilo usijali mimi nitakulipa hela yako" aliongea shabani.

Walikubaliana pale wakaweka vitu sawa na safari ya kuelekea mombasa ikaanza.
...........

Kwa upande wa nyumbani kwao,nyumba yote iliungua moto.Vitu vyote viliteketea.Polisi kwa kushirikiana na zimamoto wakawa wanapekua kutafuta miili ya wenye nyumba.

Walifanikiwa kuipata miili ya watu watatu.Ambao kutokana na kuungua sana ilikuwa ni ngumu kuwafahamu.Polisi waliendelea kuutafuta mwili wa mtu wa nne bila mafanikio.

" hii nyumba watu waliokuwa wanaishi humu ni wanne,lakini miili mmepata mitatu" mwenyekiti wa mtaa alimwambia kiongozi wa ile shughuli.

"Tuendelee kutafuta mpaka tupate mwili wa nne" aliongea yule askari.

Waliendelea kutafuta.Kila kitu kilichokuwa chini kiliungua .Katika pekua pekua walizikuta panel za dari zikiwa hazijaungua kabisa.

" mmmh!,hivi hizi panel ni aina gani!,yaani hazijashika moto kabisa tangu zilivyowekwa" aliongea askari mmoja.

" hizi ni panel za sakigi,hazishiki moto kabisa.Nazani alikuwa na mpango wa kutoa dari aliyoweka na kuweka dari ya hizi panel,na kama angekuwa ameshaziweka hizi basi nyumba isingeteketekea hivi,na bila shaka wasingekufa" alijibu askari mwingine.

"Daah!,aisee kwahiyo hizi panel za dari za sakigi ni muhimu sana?"

"Ndio ni muhimu sana,kwanza hizi ni kinga zidi ya moto.wewe si umeona nyumba nzima imeungua lakini zenyewe bado zipo vilevile,lakini pili zinapendezesha sana nyumba"

" ok sawa ,kwahiyo kama jamaa angekuwa ameshaziweka juu asingekufa aisee.Hivi zinapatikana wapi?"

"Hizi bidhaa bana zinazalishwa na kiwanda cha sakigi,ambacho kipo chini ya mwanaharakati wa mazingira samwely kisinga,ukitaka bidhaa zao kwa jumla au reja reja unawapigia tu kwa namba 0744408606"

"Ok sawa ", waliendelea kupekua lakini hawakupata kitu.Miili iliyopatikana ni ile ile mitatu.Usiku ule ule miili iliondolewa eneo la tukio na kupelekwa hospital.Eneo lile lilizingushiwa utepe kuonyesha kuwa lipo kwenye uchunguzi ivyo watu wasisogee pale.

...

Kwa upande wa helana alikuwa kwenye boti katikati ya bahari,na safari ya kuelekea mombasa na baadae somalia ilikuwa ikiendelea.Wakiwa katikati ya bahari helena aliomba afunguliwe kamba,kwani zinamuumiza.

" mfungue bana,hapa baharini saizi ataenda wapi?" aliongea juma.

" shabani alimsogelea na kumfungua "

Baada ya kumfungua helena alikaa kimya chini huku akiiangalia bahari.Moyoni alijiambia " muda ndo huu,sina haja ya kusubiri muujiza wowote wa kuyabadilisha maisha yangu.Alimwangalia shaban alipomuona amegeuza macho kulia alisimama na kujitosa baharini,kama umeme chubwiiiiiiI

Itaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ILAANIWE SIKU NILIYOZALIWA - 11

Tulipoishia - Baada ya kumfungua helena alikaa kimya chini huku akiiangalia bahari.Moyoni alijiambia " muda ndo huu,sina haja ya kusubiri muujiza wowote wa kuyabadilisha maisha yangu.Alimwangalia shaban alipomuona amegeuza macho kulia alisimama na kujitosa baharini,kama umeme chubwiiiiii..

Endelea nayo.

Mlio wa maji ulimfanya shaban ageuke. "Aaah!,wewe mtoto mbona ivyo" aliongea shaban.

" daaah!,washikaji hela hii yaaani tunaiacha hivi hivi ?" aliwaambia wenzake.

"Mmm!h!,hapana aliongea shaban na pale pale akajitosa majini na yeye .
Kwakuwa wakati yeye anajitosa majini boti ilikuwa imeshaenda mbele kidogo,akaanza safari ya kurudi pale alipodumbukia helena.Alipiga mbizi mpaka pale ,ila hakuona kitu akaamua kuzama ndani ya maji kumuangalia.

Wakati anazama aligongana naye kichwa,haraka sana akamshika mkono na kuanza kumvuta.Aliwaita wenzake wakaisogeza boti mpaka walipo.Wakafanikiwa kuwachukua wote wawili.Helena alikuwa amezimia kutokana na kunywa maji mengi.Wakampa huduma ya kumtoa maji akawa sawa fahamu zake zikarejea.

...........

Ndugu wa baba helena waliitwa kuja kuitambua miili ya ndugu yao.Kutokana na mshtuko na uoga wengi walikuwa hawataki kwenda kuikagua.Aron kaka yake na baba helena ndie aliyeenda kuiangalia.Baada ya kuiangalia alimtambua mdogo wake ambae ni baba helena,pia alimtambua shemeji yake ambae ni mama helena.

Kazi kubwa ilikuwa ni kuutambua mwili mwingine ambao ulikuwa haueleweki kama niwa helena au wa mfanyakazi rebecca.

" jamani kuna mwili mmoja nimeshindwa kuuelewa wanani?,sifahamu kama ni wa helena au wa yule binti wa kazi rebecca" aron aliwaambia ndugu zake.

" mmmh!,kwani hakuna mwingine zaidi ya huo?"

"Ndio haupo.Wamepata mwili mmoja tu,sasa nashindwa kuelewa kama wa helena au wa yule binti wa kazi maana miili yao ilikuwa inafanana"

" mmmh!,mbona huu ni mtihani.Kwani hakuna ambae aliondoka,inamaana wote walikuwa siku ya ajali ya moto?"

" Hakuna anyejua,labda tukawaulize majirani kwanza au tuwatafute ndugu wa yule binti kujua kama alienda kwao?"

Walitoka hospital mpaka kwa majirani kuuliza,lakini hakuna aliyekuwa na majibu ya kueleweka.Waliwapigia wazazi wa rebecca lakini wakawa hawapatikani.Katika uliza uliza walikutana na mama mage.Mama anayesifika kwa umbea pale mtaani.Walipomuuliza yeye aliwaambia kivyovyote vile mwili uliobaki utakuwa wa helena,kwakuwa yule binti wa kazi rebecca alikuwa na tabia ya kulala nje kwa wachumba zake.

Walipokea ushauri wake na Baada ya kushauriana sana wakahitimisha kuwa ulikuwa ni mwili wa helena.

Baada ya taratibu za kipolisi kukamilika,ndugu waliruhusiwa kuichukua ile miili na kwenda kuizika.Mazishi yalifanyika ya watu watatu ambao ni Baba helena,mama helena na helena..

Wakiwa kwenye mazishi.Rafiki yake na mfanyakazi mwenzake Baba helena aitwae Martini alikuwa kwenye mawazo mazito sana.Aliwaza mengi sana,hakuamini rafiki yake ndiyo amekwenda.

" jamaa yangu hajafa kifo cha kawaida.Lazima kuna kitu hapa sio bure.Haiwezekani kabisa,haiwezekani" alijisemeha moyoni martini.

" lakini nani atakuwa amefanya huu unyama?,nani huyu?,Siwezi muacha salama.Lazima nilipe kisasi,lazima nimuonyeshe.Haiwezekani?" aliwaza martini.

Akiwa kwenye mawazo mazito.kuna mtu alimshika bega.Alipogeuka macho yake yalikutana na macho ya mzee komba.

" pole sana kwa msiba" mzee komba alimwambia.

" Nashukuru,ila nishapoa.Sikutegemea wewe kuwa hapa, vipi unamfahamu marehemu?" martini alimuuliza mzee komba.

" Hapana simjui,ila nilikuwa na shida na wewe.Nimeenda nyumbani kwako nikaambiwa upo huku.Nikaona nikufate"

" ok sawa,shida gani hiyo?,maaana saizi kichwa changu kimevurugika sana"

" pole sana,ila ndo msiba ulivyo .Lazima kichwa kivurugike"

" mmh!,hapana kinachonivuruga kichwa sio msiba,kinachonivuruga kichwa ni jinsi jamaa yangu alivyouwawa kikatili"

"Aaaah! Kwani ameuwawa.Mimi nilijua ni ajali ya moto " aliuliza mzee komba na kujifanya haelewi kilichotokea.

" Hapana sio ajali,ni mchezo kuna mtu amemfanyia mchezo.Na hakika nakuambia mzee wangu huyo aliyemfanyia jamaa yangu huu ukatili siwezi kumuacha kabisa.Lazima nilipe kisasi"

" aisee kama kweli ameuwawa inabidi ulipe kisasi.Usimuache mtu aliyefanya huu unyama"

" kuhusu ilo tu usijali mzee.Nitahakikisha napambana hadi mwisho ili kumpata mshenzi aliyefanya huu unyama,ila daaah kuna tatizo sehemu linanizuia kufikia malengo"

" mmmh tatizo gani kijana?" aliuliza mzee komba.

" hii kesi pale ofisini amepewa mtu mwingine kuifatilia.nimeomba sana wanipe mimi ila wamekataa.Sasa japo wamefanya ivyo ila na mimi sina budi nitaifatilia mpaka mwisho,ila shida niliyokuwa nayo ni vitendea kazi,hasa fedha za kuendesha uchunguzi na mtu wakunisaidia hii kazi ya uchunguzi"

" aaah kama ni kuhusu ilo usijali.Nitakufadhili fedha na nitakupa kijana wangu anaitwa omary akusaidie" aliongea mzee komba.

" daah nitashukuru sana mzee.Halafu umeniambia umefika hapa unashida ila hujaniambia ni shida gani?" martini alimuuliza mzee komba
Itaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ILAANIWE SIKU NILIYOZALIWA - 12

Tulipoishia - " daah nitashukuru sana mzee.Halafu umeniambia umefika hapa unashida ila hujaniambia ni shida gani?" martini alimuuliza mzee komba.

Endelea nayo.

" aaah!,kilichonileta hapa naomba tuongee siku nyingine maana naona upo kwenye majozi ya kumpoteza rafiki yako."

" ndio nina majozi lakini si vizuri mtu umenifata hadi huku halafu tusiongee kilichokuleta,isitoshe umeamua kunisaidia kwenye tatizo langu.itakuwa sio vizuri kama mimi sitakusikiliza"

" Hapana martini,kwanza naomba uelewe jambo lililonileta hapa sio tatizo ,ni jambo jema tu."

" sasa jambo jema si ndio uniambie jambo gani?,mimi nishakuwa kijana wako,umeamua kunifadhili kwenye upelelezi wangu,na pia umenipa kijana wakunisaidia kazi.Sasa mimi ni nani hadi nisikusikilize mzee wangu"

"Kijana kwanza nimeshakuambia mimi sina tatizo.Kilichonileta hapa ni jambo jema tu."

" sasa mzee ilo jambo jema ni jambo gani?, si uniambie tu mzee wangu" aliongea martini lakini mzee komba alikataa kumwambia.Baada ya kuona mzee komba hayupo tayari kumwambia swala lililomleta,Martini aliona aachane nae.

" sawa mzee,naona haupo tayari kuniambia.Utaniambia siku nyingine." aliongea martini.

" sawa.Sasa naomba nikukabidhi kijana ambae atakusaidia katika upelelezi wako." aliongea mzee komba kisha akachukua simu na kupiga.Baada ya kupiga simu,omary aliyekuwa amekaa kwenye gari alishuka na kwenda waliposimama mzee komba na martini.

" aisee martini,kijana ambae nakupa akusaidie kwenye kazi zako ni huyu.Anaitwa omary,ni mchapa kazi sana.Hivyo mtumie kadri uwezavyo" aliongea mzee komba

Martini alimpa mkono omary .

" Nashukuru sana kukufahamu omary,nina imani utakuwa msaada mkubwa sana kwangu."aliongea martini.

" usijali,nitafanya lolote kukusaidia" alijibu martini.

Waliongea mawili matatu,kisha mzee komba akaondoka pamoja na omary.Wakiwa kwenye gari,omary alimuuliza mzee komba.

"Boss sijaelewa unalengo gani?,kwanini umenikabizi kwa yule jamaa?,si unajua yule jamaa ni usalama wa taifa na pia ni mnoko kama mwenzake tuliyemuua"

" sikiliza omary,mimi sio mtoto.Kila kitu ninachokifanya nakifanya kwa akili nyingi sana.Huwa sikurupuki.Lengo langu la kuja hapa ilikuwa ni kutengeneza mazingira ya kazi na martini,maana tunafahamiana toka mda mrefu,ila baada ya kuongea naye nimegundua na yeye hafai kama alivyokuwa hafai baba helena.Huyu nae hapaswi kuendelea kuwa hai,inabidi tumuondoe mapema sana."

" mmmh!,tukimuondoa haraka huoni kama itakuwa tatizo?"

"Aaah! Kauli zake zimenikera.Tukimuacha ataendelea kutusumbua.Sasa fanya hivi ,saiz shuka kwenye gari yangu anza kuifatilia familia yake" mzee komba alimpa maelezo omary na pale pale akashuka kwenye gari ya mzee komba akakodi tax.

" mmmh hii familia ya martin itabidi niipeleleza kwa umakini sana,makosa kidogo tu itakuwa imekula kwangu." aliwaza omary.

...........

Kwa upande wa safari ya helena,walifanikiwa kufika mombasa salama.Walishuka kwenye bandari moja bubu,wakakuta gari linawasubiria wakapanda na safari ya kuelekea somalia kwa njia za panya ikaanza.

Walifanikiwa kupita vizuizi vyote .Wakavuka mpaka wa kenya na kuingia somalia.Gari lililowabeba liliishia mpakani,wakaachwa watembee kwa miguu.Walitembea kwa miguu na kuvuka vijiji kadhaa.

" daaah!, aisee tupumzike!,mimi nimechoka sana.Siwezi kutembea?" aliongea juma.

" acha upumbavu,anakushinda hata huyu msichana.Yaani dume nzima unalalamika kuchoka" alifoka shaban

" hivi brooo kwani kuongea ukweli ni dhambi?,mimi nimeeleza ukweli wa moyo wangu kuwa nimechoka.Hawa wenzangu najua wamechoka ila wanaogopa kusema"

" juma wewe ni msumbufu sana.Sasa kwa taarifa yako.Hapa hatusimami mpaka tufike.Hakuna kupumzika.Muda ambao tulipanga kukutana na hawa jamaa umeshafika.Tikichelewa tunaweza tusiwakute"

" aaah!,tusiwakute kivipi? Kwani si tunaenda kwenye kambi yao?"

" aaaah! Yaani uende kwenye kambi zao kienyeji ivyo.Hapana hatuendi huko.Tunakutana nao kwanza sehemu halafu wao ndio watajua kama wawapeleke kwenye kambi zao au la"

" mmmmh! Huu mtihani? Unasema wao watajua? Inamaana wanaenda kutupima kwanza au?

" acha maswali ,simama haraka twende" alifoka shaban.

" kama mnataka kuniacha nyie niacheni,lakini mimi ni lazima nipumzike kwanza.Nimechoka sana ujue.Miguu yangu yote inauma.Halafu hela zenyewe mlizotupa zimeshaisha"

" Juma ujue unajitafutia matatizo.Hii ardhi tuliyokuwepo sio ya tanzania.Hii ni ardhi ya somalia,na hili eneo tulilokuwepo na eneo la al sha baab"

" mmmh! Kama ni eneo lao basi tumeshafika kaka.Wasiliana nao waje kutuchukua basi?"

" Niwasiliane nao kivipi?,yaaani wewe unazani hawa jamaa unawasliana nao kienyeji tu kama unavyowasiliana na demu wako.Sasa ni hivi juma!,Simama twende.Kama hutaki nakutoa uhai sasa hivi". Aliongea shaban huku akiwa amekasirika na kuchomoa kisu kiunoni.

" basi brooo,basi brooo,daaaah yaaani kaka hutaniwi hata kidogo" aliongea juma huku akisimama na safari ikaanza.

Waliendelee kutembea kwa umbali mrefu.Walifika sehemu kuna mti mkubwa sana.Shaban akaangalia kushoto na kulia kama mtu aliyehisi kitu flan,kisha akawageukia wenzake na kuwaambia.

" Naombeni mnisubiri hapa hapa.Nakuja sasa hivi!,asiondoke mtu?" aliongea shaban kisha akaondoka eneo lile asieleweke ameenda wapi.

Baaada ya shaban kuondoka Juma alimsogelea Helena.Tamaa ya ngono ilimshika,alimkamata helena na kumsukuma chini.

" haiwezekani nikatembea na mtoto mzuri kama wewe toka Tanzania mpaka hapa halafu nikakuacha hivi hivi" aliongea juma huku akihangaika kumvua nguo za ndani helena.

Helena alijaribu kujitoa kwa juma lakini alishindwa.Juma alifanikiwa kuzichana nguo za ndani za helena.Wenzake wakajaribu kumsihi asifanye ivyo lakini akuelewa.Alimshika miguu helena na kutaka kumuingia.

Wakati yupo kwenye harakati hizo mlio wa risasi ulilia " paaaaaah!,".Matone ya damu yakaruka juu

Itaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ILAANIWE SIKU NILIYOZALIWA - 13

Tulipoishia - Wakati yupo kwenye harakati hizo mlio wa risasi ulilia " paaaaaah!," ,

Endelea nayo.

Juma alimwangukia helena kama mzigo huku damu ikimtoka kichwani.Wote walishtuka na kutaka kukimbia.Wakiwa bado wapo kwenye taharuki.Kundi la askari waliofunika sura zao liliwazunguka.

Walikuwa ni al shabaab wakiwa pamoja na shabaan.Shaban alimsogelea helena na kuutoa mwili wa juma ambao ulikuwa umemlalia.

" Lakini kwanini umempiga risasi ya kichwa.Huoni kama umenitia hasara?" Shaban alimwambia kiongozi wa kile kikundi kilichowazunguka.

" aisee huyu mmemuua wenyewe,malipo yangu yapo vile vile.Itabidi mumlipie na yeye"

" ondoa shaka kuhusu ilo" alijibu yule askari aliyempiga risasi juma.Alitoa ishara kwa wenzake wakawafata wale vijana walioletwa na shaban kisha wakawafunga kitambaaa machoni ili wasijue wanakopelekwa.Helena nae kama wenzake nae alifungwa kitambaa usoni.

Baada ya kufungwa kitambaa haikuchukua muda wakaanza safari ya kuelekea sehemu ambayo hawakuifaham.

...............

Kwa upande wa omary alifanikiwa kuipeleleza familia ya martini vizuri.Alirudi na kumpa ripoti mzee komba.

" mzee kazi uliyoniambia nimeifanya.Yule bwana anamtoto wa kike anaitwa Husna,anasoma darasa la sita pale ST joseph." aliongea omary.

" kama anamtoto wakike basi kazi imeisha.Kazi yetu itakuwa rahisi sana safari hii.Hivi zile picha tulizochukua wakati helena anabakwa baadhi si bado zipo?"

" Ndio mzee!,bado zipo"

" Kama ivyo sawa.Umefatilia pale shuleni uwa anatoka saa ngapi na nani anaendaga kumchukua?"

" Ndio nimefatilia.Pale shule uwa wanatoka saa tisa na nusu,na mtu anayeendaga kumchukua ni mfanyakazi wao wa ndani anaitwa Nasra"

" ok sawa.Basi fanya hivi.Kesho nataka huyo Husna awe kwenye mikono yetu"

" sawa boss.Tukishamkamata tumfanye nini?,"

" unauliza tumfanye nini?,au huyo mtoto sio mzuri.Hebu kwanza picha yake niione"

" hii hapa." omary alitoa picha kwenye begi na kumkabidhi mzee omary.Mzee omary aliiangalia ile picha kisha akacheka.

" nataka hawa askari wote wawe na adabu na wakome kabisa kuingilia biashara zangu.Martini kama atakuwa na kiburi na yeye kitakachompata hatokuja kukisahau kamwe" aliongea mzee omary.

..............

Baada ya maziko ya familia ya kina helena.Aron ambae ni kaka wa baba helena,aliweka kikao na ndugu kwa ajili ya kuanza kufatilia mirathi.Ndugu walimpitisha yeye kuwa ndie msimamizi wa mirathi.Wakiwa kwenye kikao,ndugu wa rebecca ambae alikuwa binti wa kazi nyumbani kwa kina helena walifika kumuulizia binti yao.

" mmmh! Mnasema mtoto wenu hajaonekana mpaka leo?"

" Ndio,mpaka leo hatujui mwanetu yupo wapi?,mlisema alienda kwa wachumba zake,lakini tumejaribu kuulizia pale mtaani hakuna anayemjua mchumba yeyote wa Rebecca ,na wanasema hakuwa na mchumba" aliongea mjomba wa rebecca.

" daaah!, mbona haya mazito.Lakini kwakuwa mtoto wenu alikuwa anatabia ya kulala nje,bila shaka atakuwa mzima sehemu flani,ivyo tumtafute tu,tutampata." aliongea Aron

" mmmmh! Sio kweli kuwa mtoto wetu alikuwa anatabia ya kulala nje.Aliyewaambia ivyo aliwadanganya.Rebecca hakuwa na tabia ya kulala nje kabisa." aliongea shangazi yake rebecca.

" kwahiyo yule mwanamke ni muongo aliyetuambia anatabia ya kulala nje?"

" ndio yule mwanamke muongo sana.Tena tumefatilia tumegundua ni mchonganishi sana.Pale mtaani hakuna anayemuamini mama mage,kwakuwa ni muongo sana."

" Kwahiyo kwa maelezo yenu.Mnataka kusema mtu tuliyemzika inawezekana akawa rebecca na si helena?"

" Ndio imawezekana ikawa ivyo"

Maneno yale yalimtibua Aron.Moyoni mwake alikuwa tayari ameshapanga naamna ya kutumia mirathi na mali nyingine za mdogo wake.Kauli hizi za kuomyesha helena yupo hai zilimkera.Alijua kama helena atakuwa mzima,Basi yeye hataambulia kitu,kwakuwa mrithi atakuwa helena.Kuwaziba mdomo alisimama haraka na kusema.

" aliyezikwa pale ni helena,mimi mwenyewe nimethibitisha ilo.Kwahiyo swala la kusema aliyezikwa pale ni rebecca naomba mliondoe.Tuliyemzika pale ni helena.Mtoto wenu rebecca atakuwa kwa wanaume zake huko" aliongea kwa ukali Aron.

..............

Majira ya saa nane mchana.Omary akiwa amevalia suti nyeusi alienda shuleni anakosoma Husna ambae ni mtoto wa martini.Alipita getini mpaka ofisini,akaelekea ofisin kwa mkuu wa shule na kujitambulisha kama ni baba mdogo wa husna.Akaulizia maendeleo ya husna shuleni akapewa.Akaulizia kama husna anadaiwa mchango wowote.

" husna bado anadaiwa Ada,file lake linaonesha anadaiwa laki mbili" aliongea mkuu wa shule.

" ok sawa,naomba niilipe basi." aliongea omary

" Hapana mzazi,malipo yote yanafanyika benki tu."

" nafahamu ilo ila kiukweli ratiba yangu imebana sana,naomba nilipie hapa ,nyinyi ndio mkaiweke benki nitatoa na hela ya usafiri wa kwenda kuilipia benki" aliongea omary

" kama ni ivyo sawa " alijibu mkuu wa shule.

Omary aliingiza mkono mfukoni na kutoa tsh laki mbili na ishirini.

" hii laki mbili ndiyo ada anayodaiwa.Halafu hii elfu 20 ni nauli" aliongea omary.

" sawa nashukuru "

" Halafu kuna dharula kidogo nyumbani.Mtu ambaye ilibidi aje kumchukua leo hataweza kuja kumchukua.Nilikuwa naomba niondoke naye kabisa" aliongea omary.

" sawa haina shida." alijibu mkuu wa shule,kisha akachukua simu na kumpigia mwalimu wa darasa.Ndani ya muda mfupi mwalimu wa darasa akawa amefika pale ofisini.

" aisee mwalimu huyu ni baba yake mdogo husna,amekuja kumlipia ada na kumchukua mtoto,kwasababu yule binti anayemchukuaga leo hatafika"

" mmmh! Lakini mkuu taratibu haziruhusu mtu tusiyemfahamu kumchukua mtoto,ni mzazi tu au mtu aliyeletwa na mzazi ndie anayeruhusiwa"

" aaah aaaah wewe mwalimu unataka kunipanda kichwani sio.Nimekuambia huyu ni baba yake mdogo.Maaana yake ni mzazi wake,angekuwa sio ndugu yake unazani angelipa ada.Hebua haraka kamchukue mtoto umkabizi aondoke" alifoka mkuu wa shule.

Itaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ILAANIWE SIKU NILIYOZALIWA - 14

Tulipoishia -" aaah aaaah wewe mwalimu unataka kunipanda kichwani sio.Nimekuambia huyu ni baba yake mdogo.Maaana yake ni mzazi wake,angekuwa sio ndugu yake unazani angelipa ada.Hebua haraka kamchukue mtoto umkabizi aondoke" alifoka mkuu wa shule.

Endelea nayo.

Zubeda mwalimu wa darasa baada ya kuona mkuu wake kachukia haraka sana alitoka ofisini na kwenda darasani kumchukua Husna .

" kujifanya kujua sheria huku kunaweza kuniponza" aliwaza zubeda huku akiingia darasani .Alimkuta mwalimu wa hesabu anafundisha.

" mwalimu samahani.Namuomba Husna martini,naomba aje na mkoba wake kabisa"

"Husna martini,njoo na mkoba wako" aliita mwalimu aliyekuwa anafundisha mle darasani.

Mwalimu zubeda alimshika husna mkono na kwenda naye ofisini kwa mkuu wa shule .Lakini kabla hajafika alikutana na omary akiwa anatoka ofisin kwa mkuu wa shule.Omary alipomuona husna alianza kujichekesha,akaingiza mfukoni na kutoa mia tano akampa .

" husna huyoooooo,aya shika mia tano hii utanunua juisi.Twende nyumbani baba anakusubiri" aliongea omary huku akimshika mkono husna.

Husna alikuwa kwenye mshangao,ila tabasamu la omary lilimuondolea duku duku lake.Akazani pengine ni ndugu yake ambaye hamfahamu.Aliongozana na omary mpaka nje ya geti la shule.Wakaingia kwenye gari na kuondoka.Wakiwa njiani omary alimpa husna juisi.

Husna akaifakamia haraka haraka kutokana na njaa.Haikuchukua hata dakika mbili usingizi mzito ukamshika akalala.Juisi ilikuwa imewekwa dawa ya usingizi.

.............

Saa tisa na nusu Nasra mfanyakazi wa nyumbani kwa martini alienda shuleni kumchukua Husna.Alikaa getini kumsubiri Husna lakini hakutokea.Wanafunzi wote walitoka nje lakini husna hakuonekana.

" mmmh! Huyu anafanya nini humu ndani? Mbona hatoki hadi saizi " aliwaza nasra na akaamua kuingia ndani ya geti la shule kumuangalia.Akiwa ndani ya geti alikutana na mwalimu zubeda ambae anafahamiana naye kutokana na mara nyingi kuja kumchukua husna.

" Nasra vipi? Mbona upo hapa?" aliuliza mwalimu zubeda.

" Nimemfata Husna,nashangaa nimemsubiri pale nje hajatoka humu ndani,labda sijui atakuwa anacheza darasani?"

"Acheze darasani wapi?,labda mtakuwa mmepishana.Alifika baba yake mdogo hapa kumlipia ada kisha akamchukua na kumrudisha nyumbani."

" mmmmh!,baba ake mdogo nani?,mbona nyumbani hayupo na huyo baba yake mdogo mbona hayupo pale nyumbani.Husna baba zake wadogo wapo kwao mkoani iringa."

"Wewe mbona unataka kunitisha.Mtakuwa mmepishana kwakweli ,hebu nenda kwanza nyumbani kamuangalie.Kama hautamkuta nipigie simu" aliongea mwalimu zubeda ambae ni mwalimu wa darasa la kina husna.

Nasra aliondoka pale shule akiwa hajielewi helewi.Alikimbia haraka mpaka nyumbani kwao,lakini alikuta nyumba kama alivyoiacha hakuwepo mtu yeyote.

"Mmmh huyu aliyemchukua mtoto ni nani,nimuambie boss au nisubiri kwanza.Ngoja nimpigie yule mwalimu kwanza?" aliwaza nasra,kisha akachukua kisimu chake kidogo na kumpigia mwalimu zubeda.

..............

Kwa upande wa omary alimchukua husna na kumpeleka kwenye nyumba moja iliyo nje kidogo ya mji.Baada ya kufika Alichukua simu na kupiga

"Boss kazi tayari" aliongea omary

"Mwache hapo na hao vijana kisha wewe nenda kwa martini ,ili atakapopewa taarifa ya binti yake kupotea na wewe uwe hapo hapo ili tuweze kumsoma mipango yake" aliongea mzee komba.

" sawa boss" alijibu omary kisha akakata simu.Akamchukua husna na kwenda kumfungia kwenye chumba cha peke yake.Alitoka nje na kuwapa maagizo vijana waliokuwa pale kisha akapanda gari na kuondoka eneo lile.

Akiwa njiani alichukua simu yake na kumpigia martini.

" kaka martini habari" aliongea omary

" safi omary za saizi"

" Safi kabisa.Nilikuwa naulizia ile kazi ya upelelezi kama umeianza ili nikusaidie maana kwasasa nipo tu sina kazi yeyote" aliongea omary

" daaaah!,kichwa changu kinamambo mengi sana.ila kunavitu viwili vitatu nimeshavifanyia kazi,japo kuna maeneo inabidi unisaidie wewe."

" sawa mimi nakusikiliza wewe tu.Chochote utakachoniambia mimi nipo tayari"

" Kama ivyo basi njoo tukutane kwenye hii bar karibu na maktaba nikuelekeze chakufanya"

" sawa nakuja" alijibu omary na kukata simu,kisha akaongeza mwendo wa gari kuelekea maktaba.Akiwa njiani alijisemea moyoni " Huyu nyoko bado hajapata taarifa za mwanae kuchukuliwa " .Alicheka kisha akakata kona na kuelekea maktaba.

Alishuka kwenye gari na kwenda kwenye bar waliyoelewana wakutane.Alikaa kwenye kiti kisha akamuita muhudumu na kumuagiza amletee safari moja.

Akiwa amekaa pale anamsubiri martini aje.Simu yake ya mkononi ililia.Alipoiangalia alikuwa ni martini.Aliipokea na kuiweka sikioni.

" kaka sitafika hapo.Kuna tatizo limetokea" aliongea martini kwenye simu.

" aaah! Tatizo gani?" omary aliuliza huku akijifanya kushangaa kama hajui kitu.

" mwanangu amechukuliwa na mtu asiyefahamika aisee" aliongea martini kwa mawenge mengi.

" mmmmh! Kwahiyo nafanyaje kukusaidia" aliuliza omary.

" Nitakuambia baadae ngoja kwanza niende shuleni kwake nikapate maelezo vizuri" aliongea martini na kukata simu.Omary alitabasamu akachukua bia yake iliyokuwa mezani na kuifakamia.

..................

Nchini somalia .Helena na wale vijana baada ya kufungwa vitambaa walichukuliwa na kupelekwa sehemu wasiyokuwa wanaielewa huku wakiwa chini ya ulinzi.Walitembea kwa muda wa masaa matatu wakafika .

" wafungue ivyo vitambaa" aliongea kiongozi wa pale kwa lugha ya kiarabu.

Walifunguliwa na kuwekwa chini.Helena wakati anaangaza macho kushoto na kulia macho yake yaligongana na macho ya joel,kijana aliyeandaa mpango wa yeye kubakwa.Moyo wake ulilia paaah.Damu mwilini mwake ikawa inachemka kama chai.Alisimama huku akitetemeka kwa hasira.

Itaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ILAANIWE SIKU NILIYOZALIWA - 15

Tulipoishia - Walifunguliwa na kuwekwa chini.Helena wakati anaangaza macho kushoto na kulia macho yake yaligongana na macho ya joel,kijana aliyeandaa mpango wa yeye kubakwa.Moyo wake ulilia paaah.Damu mwilini mwake ikawa inachemka kama chai.Alisimama huku akitetemeka kwa hasira.

Endelea nayo.

Mapigo ya moyo yakawa yanamuenda kasi sana helena.Alisimama huku akiwa anamuamgalia joel kwa jicho baya sana.

" aaaah! Huyu dada vipi? Mbona ananiangalia vibaya sana" joel alimwambia mwenzake.Alishindwa kumjua kwakuwa alikuwa amejifunika kichwa kizima ,alikuwa anaonekana macho tu.Hivyo ilikuwa ngumu kwa joel kumjua helena.

Helena huku akitetemeka alianza kutembea kumsogelea joel.Askari waliokuwepo pale walimuamrisha akae chini lakini hakusikia.

" chini,chiniii,kaaa chini" aliamrishwa akae chini.Shaban alipoona helena haelewi alimsogelea na kumshika mkono.

" unataka kufanya nini?,hebu kaa chini.Ukileta upumbavu utakufa sasa hivi." aliongea shaban.Lakini helena hakumuelewa alimsukuma chini kisha akamrukia joel.Kitendo cha kumrukia joel kilimfanya joel aanguke chini kama mzigo.

Wakati anamshambulia joel pale chini.Askari aliyekuwa pembeni yake alimpiga na kitako cha bunduki kichwani na pale pale akapoteza fahamu.

" aisee shaban.Watu unaotuletea hakikisha wapo timamu kichwani.Tabia ya kukusanya vichaa halafu unatuletea huku mimi sitaki.Hii leo ya mwisho.Mwambie mzee komba.Kama hatabadilika biashara na yeye nitaifunga" aliongea ahmed,kiongozi wa pale.Kwa jinsi alivyokuwa anaongea kiswahili vizuri ,kivyovyote vile ni lazima alikuwa ni mtanzania .Japo mwonekano wake ulikuwa wakisomali somali.

" hapana ahmed,nisamehe kwa leo.Huyu sio kichaaa,"

" sio kichaa vipi?,halafu kwanini umetuletea mwanamke?,kwenye oda yetu hakuna tuliposema tunahitaji mwanamke.Hebu ongea naye haraka na umweke sawa.Akileta mchezo atakufa sasa hivi' alifoka ahmed.

Shaban haraka sana alimsogelea helena.Alimtikisa alikuwa bado kazimia.Akaingia ndani akachukua maji na kummwagia.Helena fahamu zikamrejea.Alimshika mkono na kumvuta kwenda naye pembeni.

" hivi unataka kufa au?,upumbavu gani huu unaoufanya hapa?" alifoka shaban.Helena alikuwa anamwangalia tu bila kujibu kitu.Moyoni kwake kulikuwa kuna kama kitu kimemkaba.Alitamani sana kumtoa roho joel.Alikumbuka jinsi alivyofanyiwa machozi yakaanza kumtoka.

Shaban alimwangalia taratibu huruma ikaanza kumuingia.

" sikiliza binti!,sijui kilichokusibu ni nini? ila ninavyokuona inaonekana umetendewa unyama sana,na unataka kulipa kisasi,ila ili uweze kulipa kisasi ni lazima uwe na nguvu.Hapa nilipokuleta kuna mambo mawili,moja unaweza ukawa mtumwa wa ngono,na mbili kama utaamua kujitoa kweli kweli kwenye mazoezi utakuwa mwanamgambo wa al sha baab kama wenzako na hakuna atakayekunyanyasa.Sasa uamuzi ni wako,uwe mtumwa wa ngono au uwe askari" aliongea shaban.

Maneno ya shaban yalimwingia helena.Kwa kiasi fulan maneno yale yalimpa helena sababu ya kuishi." nitafanya mazoezi kwa nguvu zote,nitajifunza mbinu zote za kivita na nitajifunza kupambana kama sina akili nzuri.Nikishakuwa tayari nitawatafuta wote walionitendea unyama ule na kulipa kisasi,na joel kwakuwa yupo hapa,yeye sina haja ya kusubiri nitatafuta mbinu nimuue hapa hapa" aliwaza moyoni helena.

" nimekuelewa Shaban ,nataka kuwa mwanamgambo wa al shabaab" helena alimwambia shabaan.

" basi kama ni ivyo,acha upuizi wako sawa.Najua yule kijana mnafahamiana,maana na yeye nilimchukua pale mtaani kwenu na kumleta huku.Hapa ishi kama haumjui,na endelea kujitanda ivyo ivyo" aliongea shabaan.

Baada ya kuongea ,Shabaan na helena walirudi pale walipokuwa wenzao.Shabaan alimwita mkuu wa kile kikosi ahmed na kuzungumza naye.

" aisee yule binti niliyekuletea atakuja kuwa bonge la askari ,na hiyo ni Kwasababu anachuki kubwa moyoni.kutokana na chuki yake haogopi chochote,haogopi ata kufa.Kwahiyo mnaweza kuitumia chuki yake vizuri mnaweza kumjenga na baadae akaja kuwa askari hatari sana.Na mnaweza ata kumtumia kwenye matukio ya kujitoa muhanga kwasababu haogopi kufa." aliongea shaban.

" unachosema kweli,nimeona macho yake yanaonesha anahasira na chuki kubwa sana moyoni."

" kazi kwako"

" sawa usijali,nitafanya kama ulivyoshauri." alijibu ahmed.Wakaaongea mawili matatu na shabaan.Shabaaan akaaga na kuondoka kurudi Tanzania.

........

Upande wa martini baada ya kupewa taarifa ya mwanae kupotea.Aliongea na omary ili kuhairisha kikao chao kisha akaenda shuleni kwakina Husna.Alifika shule wakampokea,na kumpa taarifa jinsi ilivyokuwa.Akiwa anatetemeka kwa hasira alimshika roba mkuu wa shule na kumkandamiza ukutani.

" umeruhusu vipi mwanangu kuondoka na mtu usiyemjua?,kwanini usingenipigia simu?,kwanini mnafanya mambo kienyeji hivi?" alifoka martini mle ofisin.

Haukupita muda mkewe naye akawa amefika huku akiwa analia kama mtoto." mwanangu husna yuko wapi?,husna mwanangu?,husna mwanangu" alilia mke wa martini pale shuleni.

" sasa na wewe unalia nini?,umesikia amekufa au?" martini alimfokea mke wake.

Kichwa chake kilikuwa hakijakaa sawa.Aliwaza aende polisi lakini nafsi yake ilisita." nani amemchukua mwanangu?, anataka nini kwangu?," aliwaza martini huku akiingia kwenye gari lake akiwa na mkewe.

Aliwasha gari na moja kwa moja akaelekea nyumbani kwake.Kutokana na mawazo mengi njiani aliwakosa kosa watu kuwagonga.Alifika hadi nyumbani akapakia gari na kuingia ndani.

Akiwa ndani aliamua kumpigia simu omary,ili washirikiane katika kumtafuta mwanae.

" upo wapi omary?" aliuliza martini kwenye simu.

" aisee bado nipo kwenye hii bar ya hapa maktaba"

" Basi sawa,nakuja hapo hapo" aliongea martini akasimama na kutoka nje ,aliwasha gari na kuelekea alipo omary.

" aisee mwanangu ametekwa,na bado sijapata mwanga nifanye nini? Aliongea martini.

" daaah!,pole sana brooo.Vipi polisi umeenda?" aliuliza martini.

" bado sijaenda.Mpaka sasa sijaelewa aliyemteka mwanangu analengo gani?,sasa nataka unisaidie kitu kimoja.Ujue katika maisha yangu nina maadui wakubwa wawili ambao wametokana na kazi yangu.Adui wa kwanza simjui jina wala sura,ila ni mfanyabiashara mkubwa ambae anafanya biashara ya kusafirisha binadamu.Yaani anawanunua vijana hapa na kuwapeleka somalia.Huyu jamaa nimewahi kuharibu biashara yake mara nyingi sana,nahisi anaweza kuwa yeye.Nahisi ata rafiki yangu baba helena atakuwa kauliwa na yeye" aliongea martini huku akimtazama omary.

" ok sawa na adui wa pili ni nani?"

" adui wa pili ni jamaaa mmoja muuza madawa ya kulevya.Niliwahi kuharibu biashara yake na kumsababishia hasara kubwa sana.Na yeye aliwahi kuahidi kuwa ni lazima aje kulipa kisasi"

" daaah!,aisee hizi kazi zenu zinakuwa na maadui wengi sana.Sasa tunafanyaje ili kumuokoa mwanao?" aliuliza omary.

" kwanza mimi naenda kutoa taarifa polisi.Wewe naomba mfatilie adui wa kwanza ninayemuhisi ambae anafanya biashara ya kusafirisha watu kuwapeleka somalia,mimi nitamfatilia adui wa pili ninayemuhisi"

" sasa nitaanzaje kumfatilia wakati sijui kitu.?" aliuliza omary.

"Kuhusu ilo usijali,kuna kijana wangu amejichomeka kwake kumfatilia.yeye anajua ni mfanyakazi wake lakini kiukweli ni mtu wangu"

"Ok sawa kwahiyo utanitajia huyo mtu hili nishirikiane naye"

" ndio usijali,mtu mwenyewe anaitwa shabaan,nitakupa mawasiliano naye hili muweze kupanga mnanisaidia vipi?,ila kikubwa ni kumjua huyo boss ni nani? Maana shaban kila siku ananiambia ataniambia lakini haniambii ,ila nazani tukikutana safari hii ataniambia maana nazani ameshamjua"

Inaendelea chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ILAANIWE SIKU NILIYOZALIWA - 16

Tulipoishia -
" ndio usijali,mtu mwenyewe anaitwa shabaan,nitakupa mawasiliano naye hili muweze kupanga mnanisaidia vipi?,ili kikubwa ni kumjua huyo boss ni nani? Maana shaban kila siku ananiambia ataniambia lakini haniambii ,ila nazani tukikutana safari hii ataniambia maana nazani ameshamjua"

Endelea nayo

" basi sawa mimi nikuache.Utanipa mawasiliano ya shabaan ukitoka polisi ili niwasiliane nae" aliongea omary,kisha wakaagana na kuondoka.

Omary baada ya kuingia kwenye gari ,Alichukua simu na kumpigia mzee komba.

" mzee upo wapi nataka tuonane" aliongea omary

" nipo kanisani hapa kuna harambee ya ujenzi nimekuja kushiriki" alijibu mzee komba .

" hauwezi ondoka hapo tukaonana mara moja.Maana kuna japo muhimu sana"

" mmmh! Ngoja basi nichangie hapa kisha niondoke" alionge mzee komba kisha akamsogelea mwenyekiti wa kamati ya ujenzi pale kanisani na kumuambia anataka kuchangia kabisa ili aondoke.Mwenyekiti wa kamati ya ujenzi hakuwa na ubishi alimpa maiki ili aweze kuzungumza na kuchangia.

" bwana yesu asifiwe" aliongea mzee komba.

" amen,"

" Nimefurahi sana leo kuwa hapa na nyie.Pia nashukuru sana kwa nafasi hii mliyonipa ya mimi kuchangia kidogo nilichonacho ili tuweze kukamilisha ujenzi wa kanisa."

" mwenyekiti wa kamati ameniambia kiasi kilichokosekana ni milioni 24.Hili kuiwezesha kazi ya MUNGU iende mbele,nitachangia shilingi milioni 18 na nyie mtachangia milioni sita zilizobaki"

kanisa nzima lililipuka kwa shangwe.Walimshukuru sana mzee komba kwa mchango wake.Wakamuombea sana ka MUNGU hili ampe maisha marefu.Mzee komba aliwashukuru akawaaga na kuondoka.

Akiwa kwenye gari anaelekea Nyumbani kwake alichukua simu na kumpigia Omary .

" ulinitisha muda ule kuna nini?" aliuliza mzee komba

" aaah aisee shaban kumbe ni mpelelezi,Yupo kwaajili ya kutupeleleza"

" aaaah! Unasemaje wewe? shaban huyu huyu ninayemjua mimi,ambae amepeleka vijana somalia"

" ndio ndo huyo huyo,kitu cha kushukuru MUNGU ni kuwa bado hajakutaja kwa martini."

" mmmh!, andaa vijana mumshughulikie haraka.Nazani kwasasa atakuwa njiani akirudi kutoka somalia.Akifika hapa msimkawize nataka kichwa chake."

" sawa boss usijali.Halafu yule binti wa martini tunafanyaje maana tukiendelea kukaa naye tunazidisha hatari zaidi.Na martini amenituma nikupeleleze japo hajui kama mtu aliyenituma nimpeleleze ni wewe"

" mmmh! Hii habari ya binti wa martini itabidi iishe leo.Subiri maelekezo yangu.Leo hii hii nataka tuimalize hii kesi" aliongea mzee komba kisha akakata simu.Taarifa ya kuwa mfanyakazi wake shabaan ni mpelelezi ilimchanganya.

...........

Shabaan baada ya kutoka somalia aliingia kenya kwa magendo.Alisafiri kwa njia za panya akatokea dar es salaaam.Pale dar alikutana na kitengo cha usalama wa taifa kinachohusika na kuzuia biashara ya usafirishaji watu.Akapewa maelezo na yeye akawapa maelekezo kisha akaondoka kuelekea pwani nyumbani kwake.

Akiwa njiani alipigiwa simu na mzee komba.Mzee komba alimpongeza sana omary kwa kazi nzuri ya kuwasafirisha vijana wake salama mpaka somalia.Baada ya kumaliza kuwasiliana naye,Shaban akili yake haikuwa sawa.

" mmmmh! Hii tabia ya mzee kunipongeza kienyeji hivi imeanza lini?" alijiuliza shabaan.

" sio bure kutakuwa na kitu tu" alijisemeha moyoni kisha akaweka simu mfukoni.

Haizikupita dakika mbili simu yake ililia tena.Kuangalia namba alikuwa martini." ndio afande habari?" aliongea shabaan.

" safi upo wapi? Kuna kazi kubwa nataka unisaidie.Yule mzee uliyemfatilia nataka nimjue vizuri,nina matatizo makubwa sana" aliongea martini kwenye simu.Sauti yake ilikuwa ni kama ya mtu aliyechanganyikiwa.

" Nipo njiani nakuja,nikifika tutaongea vizuri" aliongea martini kisha akakata simu.

.........

Mzee komba alimtuma kijana wake achukue line za simu wanazoziokota mtaani na aiweke kwenye simu mpya ya smartphone aliyonunua .

" umeshaweka hiyo line kwenye simu?" aliuliza

" ndio nimeshaweka"alijibu kijana wake

" unauhakika line mliyoweka mmeokota mtaani?"

" ndio hii line tumeiokota mtaani na zipo nyingi tu tulizoziokota"

" ok ,kama ivyo sawa.Maana tunachofanya ni hatari ,tukitumia line zetu na simu zetu wenyewe tutakuwa tunajiweka kwenye matatizo.Kama mmeweka mliyookota safi sana.Sasa mchukue yule binti mvue nguo zote kisha mfunge kamba miguuni na mikononi." aliongea mzee komba

" sawa mkuu" alijibu yule kijana kisha akaenda kumchukua husna ambaye alikuwa akilia muda wote.Walimchukua na kumvua nguo zote kisha wakamweka juu ya meza na kumfunga kamba asilete fujo.

" sawa , na wewe vua nguo zako zote" aliongea mzee komba.

" aaah! Bosss unataka mimi nikaingie aka kabinti?" aliuliza yule kijana.

" Tangu lini wewe unauliza maswali ,mimi nikikuambia kitu unafanya.Acha kuuliza maswali" alifoka mzee komba.

Yule kijana alivua nguo zote kisha akaambiwa amsogelee husna ambae alikuwa uchi wa mnyama kwenye meza.Akiwa pale mzee komba alimrushia mzula ambao alivaa kufunika sura yake.

" shika miguu ya huyo binti, " mzee komba alimwambia yule kijana naye akafanya kamba alivyoambiwa.

Baada ya kumshika miguu husna,Mzee komba kwakutumia ile simu alimpigia martini video call ya watsup.Simu ya martini iliita na kupokelewa.Martini apotazama kwenye kioo cha simu yake baada ya kupokea,Alichokiona kilimfanya atetemeke kwa uwoga.Alimwona mwane akiwa uchi wa mnyama,na yule kijana akiwa kamshika miguu akitaka kumuingilia

Inaendelea chini
"

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom