Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 11,317
- 25,825
Kima Hawa. Na Kwa mziki huu wa ajira. Wakafie mbeleUnakosea sana! Nakusihi uache kufanya hivyo mara moja. Kwa nini umefikia kuwadharau mates wenzio namna hiyo?
Kima Hawa. Na Kwa mziki huu wa ajira. Wakafie mbeleUnakosea sana! Nakusihi uache kufanya hivyo mara moja. Kwa nini umefikia kuwadharau mates wenzio namna hiyo?
Sioni shida ili mradi wanachagua wanachopenda. Yakiwakuta ni shauri zao. Naamini hata wewe kuna aina fulan ya wanawake unakua nao, huwezi zoa tu.Vyuoni wasichana wengi wazuri kwenye mahusiano wanaangalia status na pesa za mwanaume. na mwisho wao huwa nikilio tu
HahahahhahhKwahiyo ulitaka awe na yeyote tu kisa wewe unamuona wa kawaida..hebu nenda ukasali bwana acha kusengenya wanawake

. Kuna vitu vingi ulimwenguni mpaka sasaivi bado walimwengu wanavishangaa kuhusu jinsia ya kike ukihusisha logic bila kuweka bias, ila bado watu wanamkandia. Mind you hivi vitu vinatokea kweli na madhara yake yamezidi kuongezeka ila watu watashupaza shingo

. Ni kama vile mwanaume akishauriwa kuwa don't go for those ladies si wakiwango chako na akashupaza shingo ila in 3 months atarudi kafilisika kila kitu kwakuhudumia asivyoviweza na akirudi atachekwa hasa

, sasa shida wadada wakitaka kuambiwa wanaona wanasimangwa na jamii inawaficha. Matokeo yake watoto wasio na baba kibao na wadada kulizwa kila siku huku wakichukia wanaume. Ila jamii bado inashindwa kuwaambia ukweli

. Mtu kashangaa tu ila watu kuja kumsimanga hao. Ila angekuwa mwanaume yangeshushwa makavu humu balaa. Tuwape dada zetu na watoto wetu wakike ukweli maana uhuru wa kuchagua umepewa ila usipochagua kwa akili, hakika hamna mtu atakayelia na wewe kamwe.mapaja ya mpumbavu yatavuta wapumbavu wenzie.Sioni shida ili mradi wanachagua wanachopenda. Yakiwakuta ni shauri zao. Naamini hata wewe kuna aina fulan ya wanawake unakua nao, huwezi zoa tu.
Sijui kama nimekuelewa. Ahsante.mapaja ya mpumbavu yatavuta wapumbavu wenzie.
na mapaja ya mwenye hekima.....
Mtoa mada kaandika kitu kimeelewa vizuri tu na sijaona mahala kasimangwa kama unavyodai. Naomba kujua je wewe huwa unatongoza yoyote tu alie mbele yako? Na je Kuna shida yoyote mtu akiwa na machaguo fulani?Sijaona baya ambalo mtoa mada kaongea, kwakuwa yeye hajawazuia wanawake kuwa selective. Nashangaa mpaka wengine wanashuka na logical structure ya kumcriticise. Kuna vitu vingi ulimwenguni mpaka sasaivi bado walimwengu wanavishangaa kuhusu jinsia ya kike ukihusisha logic bila kuweka bias, ila bado watu wanamkandia. Mind you hivi vitu vinatokea kweli na madhara yake yamezidi kuongezeka ila watu watashupaza shingo
. Ni kama vile mwanaume akishauriwa kuwa don't go for those ladies si wakiwango chako na akashupaza shingo ila in 3 months atarudi kafilisika kila kitu kwakuhudumia asivyoviweza na akirudi atachekwa hasa
, sasa shida wadada wakitaka kuambiwa wanaona wanasimangwa na jamii inawaficha. Matokeo yake watoto wasio na baba kibao na wadada kulizwa kila siku huku wakichukia wanaume. Ila jamii bado inashindwa kuwaambia ukweli
. Mtu kashangaa tu ila watu kuja kumsimanga hao. Ila angekuwa mwanaume yangeshushwa makavu humu balaa. Tuwape dada zetu na watoto wetu wakike ukweli maana uhuru wa kuchagua umepewa ila usipochagua kwa akili, hakika hamna mtu atakayelia na wewe kamwe.
Hahahaha sikio la kufa siyo?Vyuoni wasichana wengi wazuri kwenye mahusiano wanaangalia status na pesa za mwanaume. na mwisho wao huwa nikilio tu
Saini mojawapo ya masimango siunajua ni kutupiana lawama, kama hujaziona lawama basi sawa sista. Pili kuhusu machaguo, mbona statement imejielezea kuwa hamna mtu anayekatazwa kuchagua (uhuru wa kuchagua). Chakushangaza ni selection process mnayoifanya 😂😂, mmeweka selection bias pasipo kuangalia hali yako halisi. Hata baadhi ya wanaume mbona hufanya hivyo. Ila mwanaume kufanya, it doesn't make it right. Na kukosolewa ni kitu cha kawaida maana nimekwambia consequences utalia nazo mwenyewe. Peace be with you lakini✌✌. Life is never fair, yaani never!Mtoa mada kaandika kitu kimeelewa vizuri tu na sijaona mahala kasimangwa kama unavyodai. Naomba kujua je wewe huwa unatongoza yoyote tu alie mbele yako? Na je Kuna shida yoyote mtu akiwa na machaguo fulani
wanasafari ndefu sana bado ya kumjua MwanaumeHahahaha sikio la kufa siyo?
Saini mojawapo ya masimango siunajua ni kutupiana lawama, kama hujaziona lawama basi sawa sista. Pili kuhusu machaguo, mbona statement imejielezea kuwa hamna mtu anayekatazwa kuchagua (uhuru wa kuchagua). Chakushangaza ni selection process mnayoifanya, mmeweka selection bias pasipo kuangalia hali yako halisi. Hata baadhi ya wanaume mbona hufanya hivyo. Ila mwanaume kufanya, it doesn't make it right. Na kukosolewa ni kitu cha kawaida maana nimekwambia consequences utalia nazo mwenyewe. Peace be with you lakini
. Life is never fair, yaani never!
Kushangaa si tatizo, ila wanaume wengine tumezidi mansplaining.Sijaona baya ambalo mtoa mada kaongea, kwakuwa yeye hajawazuia wanawake kuwa selective. Nashangaa mpaka wengine wanashuka na logical structure ya kumcriticise. Kuna vitu vingi ulimwenguni mpaka sasaivi bado walimwengu wanavishangaa kuhusu jinsia ya kike ukihusisha logic bila kuweka bias, ila bado watu wanamkandia. Mind you hivi vitu vinatokea kweli na madhara yake yamezidi kuongezeka ila watu watashupaza shingo
. Ni kama vile mwanaume akishauriwa kuwa don't go for those ladies si wakiwango chako na akashupaza shingo ila in 3 months atarudi kafilisika kila kitu kwakuhudumia asivyoviweza na akirudi atachekwa hasa
, sasa shida wadada wakitaka kuambiwa wanaona wanasimangwa na jamii inawaficha. Matokeo yake watoto wasio na baba kibao na wadada kulizwa kila siku huku wakichukia wanaume. Ila jamii bado inashindwa kuwaambia ukweli
. Mtu kashangaa tu ila watu kuja kumsimanga hao. Ila angekuwa mwanaume yangeshushwa makavu humu balaa. Tuwape dada zetu na watoto wetu wakike ukweli maana uhuru wa kuchagua umepewa ila usipochagua kwa akili, hakika hamna mtu atakayelia na wewe kamwe.
Kama hujajua hali halisi yako ya maisha ndio nini basi tuishie hapo. The discussion is not worthy to be continued.Unaposema kufanya selection bila kuangalia hali zetu halisi unamaanisha nini?
Clarify it. What the word "smart" stand forWanawanamke wanao jielewa, wanapenda mwanaume smart minded na mwenye maono.