Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Mkwe habari za jioni!
Salama kabisa.
Hio ndio njia palikuwa hamna namna zaidi ya kuhamisha majeshi kwanza mimi wallet ikiwa njema basi outing namuambia Manzi aje na lundo la wenzie, Na wakishakunywa mipombe apo ntatindua ilo rundo mdogo mdogo mpaka linaisha mwezi hauishi nimelimalizaKuna jamaa yangu mwaka.2004 alimuita mrembo wake pale Landmark Hotel Ubungo. Ilikuwa ndo first date hata tunda alikuwa hajala bado.. Mfukoni alikuwa na laki na 30. Mipango yake .
Pombe na misosi elfu thelathini. Lodge elfu 30 na.posho ya mrembo elfu 30.
Mrembo kaja na behewa. Kaja yeye, mdogo wake wa kike, rafiki zake wawili mmoja kaja na boyfriend.
Jamaa kasema usinitanie. Kamuita muhudumu kamwambia tuletee soda moja moja na mshikaki mmoja mmoja. Hakuwapa nafasi ya kuagiza wanacho taka..walivyo maliza kula wakaaga na kuondoka
Hata hivyo jamaa alihamishia mtaro KWA mmoja kati ya mademu walioenda na rafiki zake
Yeah that's I what is supposed to be. Never be a goody goody boyHio ndio njia palikuwa hamna namna zaidi ya kuhamisha majeshi kwanza mimi wallet ikiwa njema basi outing namuambia Manzi aje na lundo la wenzie, Na wakishakunywa mipombe apo ntatindua ilo rundo mdogo mdogo mpaka linaisha mwezi hauishi nimelimaliza
Kwa kifupi alicheza kamari ambayo mpaka leo najiulizaga ni wanawake asilimia ngapi wanaiweza.. Ila automatically na bila kujua alijikuta ametengeneza msingi wa mapenzi ambao sidhani kama atatokea wa kuuvunja..
Tatizo wanaume mnabeba LIGI siyo zenu, mwisho wa siku unaishia kujitutumua na maumivu kibao, jeuri ya kuongea huna maana unamuogopa ni m'mke wa mjini na unampenda sana mpk analijua hilo. Huo ni UBWEGE FIRST CLASS