Ila uongo nao kazi kweli kweli

Ila uongo nao kazi kweli kweli

Kanyoka hana uongo uongo...


Cc: Mahondaw
Namna hio jambo zuri
2046.jpg
 
Kitu kibaya zaidi kuhusu uongo, unalazimika kuwa na sharp memory ili kukumbuka uongo wako, vinginevyo unaweza ukajitega mwenyewe.
 
Kitu kibaya zaidi kuhusu uongo, unalazimika kuwa na sharp memory ili kukumbuka uongo wako, vinginevyo unaweza ukajitega mwenyewe.
Ishanikuta unaanza kufatilia chats za miezi miwili nyuma ili ujue ulisema nini
 
Kuna Lies na kuna Deception mtu anaweza kukutega kwa uongo ufanye kitu kwaajili yake, imagine unamtega mtoto mzuri akupe uichape maana daktari kasema usipoichapa utaugua ugonjwa wa mashine.
Noma kweli yaani!
 
Back
Top Bottom