Yeah ni kweli mkuu.. Pole Sana aisee, ukiona yameZidi Sana waweza share ili upate reliefUnakumbuka kuna kipindi uliomba watu wakuombee? Kumbe kuna wakati mambo yanakuzidia mpaka unawaza mawazo mabaya
Mkuu Tumshukuru Mungu kwa Yote,Lakini mkuu,kumbuka,japo shida hazina umetokea wapi,nadhani mtoa mada ameongelea wale hasa mipango haiko sawa,ila walikuwa na lamani au wengine ndo hivyo wametelekezwa.
Hao unaowaongelea binafsi siwachukulii hivyo,japo haiondoi kuwa na wao ni viumbe hai. Mtu kazamia tu,kisa aishi mjini. Haendi kwa ndugu,haendi kufanya kazi yoyote,haenda kwa ajiri ya mchongo, ni yeye tu hataki kuishi kijijini(au wanaoishi maisha ya kuiga).
Jiulize kwa nini watu wazima wakifikia umri flani,mjini wamejenga,ila wanahamia vijijini!
Bahati nzuri ni kwamba hata Marekani inayojisifu kwa kuendelea na hawa watu,inao. Ila,shughuli ndogo ndogo tunazodhalau nankuchukulia poa,zinawainua wengi.
Sasa mjini una shida na milioni,kodi tu. Wa kijijini ana shida na laki moja ya ku hukulia mzigo wa biashara. Hawa watu wawili si tofauti?
Davido ajitafakari sanaHabari zenu wakuu,
Nimekaa hapa natafakari nikagundua kuna situations kama hazijakukuta huwezi ukaelewa ukisikia mtu analalama[emoji28][emoji28]
zamani nilikua nikisikia mtu analalamika hana hata mia naona kama anazingua haiwezekani but now i know na naelewa kumbe ni kawaida tu [emoji1316][emoji1316]
Nimeamka tangu asubuhi sina hata mia[emoji28] na siku inaisha hivyo aisee.
View attachment 2874679
Boyfriend wako/mumeo hakupi financial support Ms eyesSio wewe pekee mkuu🥴
Au angekula mapupu ya jeroNa kweli hilo bundle si angekula mihogo
Bro hayo mapupu SI mpaka dar🙄, maana mkoani hali tete 🤣😃Au angekula mapupu ya jero
Ugali nakula kilo 1 ili nifurahie🤣😃Utakuwa unakula sana vitumbua wewe ukiwa unavipika...#mr deli
Kila Kitu dar?Bro hayo mapupu SI mpaka dar🙄, maana mkoani hali tete 🤣😃
Mapupu mkoani Hakuna😃🤣, sema Ange kuwa serious.Kila Kitu dar?
Eleeeeee,Na kweli hilo bundle si angekula mihogo
Achilia mbali marafiki. Jichanganye kwa badhi ya ndugu au wazazi. Utu ulishaishaHuenda yupo kama mimi😅
Sio kila rafiki ana moyo wa kusaidia Joannah. Na sio kila mtu anaweza kumwambia mtu shida zake wengine watakudhihaki.
🙌🙌🙌🙌Usikute mleta mada ni joannah ktk nomino nyngnMapupu mkoani Hakuna😃🤣, sema Ange kuwa serious.
👉 Ninge mwambia sister Joannah ampe kilo ya sembe + dagaa mchele fungu 1, na nyanya za kachumbari nyingi 😃🤗
Kwamba niogope kusema Nina njaa,hapana...kwanza nikisema nitapata michango ya kutosha hapa hapa jukwaani..najua huwezi ninyima buku 10,Mr Deli Intelligent businessman hawezi ninyima buku5 Hapo Half american atanipa 20 yaani silali na njaa.🙌🙌🙌🙌Usikute mleta mada ni joannah ktk nomino nyngn
Ukiwa real mbona unasaidika vizuri kama ww tunamuachia jukumu Half american maana kapokea hela ya mchezo juzi😂 walikua wanatoa laki kwa wiki walianza mwezi wa sitaKwamba niogope kusema Nina njaa,hapana...kwanza nikisema nitapata michango ya kutosha hapa hapa jukwaani..najua huwezi ninyima buku 10,Mr Deli Intelligent businessman hawezi ninyima buku5 Hapo Half american atanipa 20 yaani silali na njaa.
Half american ni kitindamimba wa mama yangu....hawezi nitupaUkiwa real mbona unasaidika vizuri kama ww tunamuachia jukumu Half american maana kapokea hela ya mchezo juzi😂 walikua wanatoa laki kwa wiki walianza mwezi wa sita
😂 usiogope dada mkubwa huyo Intelligent businessman atatoa lakiKwamba niogope kusema Nina njaa,hapana...kwanza nikisema nitapata michango ya kutosha hapa hapa jukwaani..najua huwezi ninyima buku 10,Mr Deli Intelligent businessman hawezi ninyima buku5 Hapo Half american atanipa 20 yaani silali na njaa.
Mchezo upi tena mkuu na jana tumekandwa na morocco😂Ukiwa real mbona unasaidika vizuri kama ww tunamuachia jukumu Half american maana kapokea hela ya mchezo juzi😂 walikua wanatoa laki kwa wiki walianza mwezi wa sita
Ukiona maisha yanakuzingua una achana nayo unafanya mishe zingineee...Habari zenu wakuu,
Nimekaa hapa natafakari nikagundua kuna situations kama hazijakukuta huwezi ukaelewa ukisikia mtu analalama[emoji28][emoji28]
zamani nilikua nikisikia mtu analalamika hana hata mia naona kama anazingua haiwezekani but now i know na naelewa kumbe ni kawaida tu [emoji1316][emoji1316]
Nimeamka tangu asubuhi sina hata mia[emoji28] na siku inaisha hivyo aisee.
View attachment 2874679