Ila maisha hayana adabu, dunia duara

Ila maisha hayana adabu, dunia duara

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
5,871
Reaction score
11,144
Maisha haya shikamoo.

Sikuwahi kufikiri kuna siku nayo katibu mwenezi wa chama mstaafu kuna siku naye familia yake itaomboleza kama Watanzania wengine ila maisha ni kitu cha hatari kweli.
20251009_200826.jpg

Sasha kiburi kinakuponza kila siku nakukumbusha kuwa unamjua Jiang Qing hili Mama lilikuwa katili kushinda wewe ila ni usiku mmoja tu ulipindua Meza na wale aliokuwa akiwatesa yeye na kundi lake la wazee wa nne wa kazi lilishughulikiwa kisawasawa.

Wale wale wakina Deng Xiaoping aliowatesa ndio waliokuja kumgeuzia kibano yeye na kundi lake.

Ubaya sasha ni mjinga sana siasa za namna hii haziwezi kukusaidia siku usipokuwepo madarakani na ubaya wa udikteta wa kichama kama uliopo ni makundi ndani ya chama kuwindana hasa pale chama kinapokuwa corrupt kama chama chako.

Jambo pekee ninalo uhakika nalo hawa hawa unaowatuma watakuja kuku shughulikia wewe mwenyewe.
 
Mwenyezi Mungu anijalie afya na uzima ili nishuhudie mwisho wa haya maovu yote yanayo endelea nchini kwa sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom