Ila kuachwa

Jirani pole 😹😹
Oga rudi kwa soko muda bado utapata mwingine..!!

Ila uliechit naye kuna vitu kakosa usingejilaumu na kujiliza mahi 😹
Aliye cheat nae ni low classic kuliko main chibaba.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kumbe akiwa hajakizi vigezo alafu kikabuma inawaumaga sana?

Mkinga mwenzako nilimchangamsha vizuri ad akakolea alafu ghafla nimempotezea. Tukikutana road ananiwakia balaa
Wee mzungu pori ni muongoo!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Akiwa hewani ani tag uone kweriiiii au sio kweriiiii πŸ˜ƒ 🀣 kua yule demu anasumbua sana.

Huwa naogopa kuumiza moyo wa mwanamke dats Huwa nipo mbali mbaliii na hizo mambo..

Nimetundika daluga nipo njia kuuu mstaafuu mie.
 
Njoo DM ,mimi napenda sana walioachwa na kuacha ndio fundi wao mimi.
 
Nadhani ile imani ya Till Death do us Apart ndio kupotoka..; mtu ukijua kuna uwezekano wa kesho kuwa tofauti na leo, basi utaenjoy leo na kuwa na memories za jana..., kuhusu kesho who knows.....; Hata mkipigana kama leo mlikuwa vizuri atleast mtakuwa na memories...


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…