Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,446
- 10,844
Isanga familyIli ulipie kodi nafuu kwenye Ford chukua ya kuanzia 2017 au 2018 kuja mbele inaanzia 17m mpaka 24.7m ila hizo raptor na hiyo HR box ni 28m mpaka 33m Tsh ukichukua Ford ya 2014 sijui 2015 na 2016 utalipia zaidi ya 24m kwa hiyo nikihitaji Ford naumia kwenye kununua ila napata unafuu kwenye kulipia kodi hii kanuni ipo tofauti na Toyota GD.6...
Nchi yetu ni ngumu sana kuielewa. Juzi Kati jamaa yangu, kanunua FR wild trak UK ya 2022, kapigwa ushuru 42M. Mind you, SIYO Raptor. Wakati anaagiza, kwenye calculator ya TRA, ilionyesha 33M.