Isuzu D-Max,wakenya huwaambii kitu khs hizo.Zinabeba miraa😀😀 kuna Isuzu Fulani hivi nazo kama ford ranger na pia kuna voxy wagen fulani nazo kama ford
Isuzu D-Max,wakenya huwaambii kitu khs hizo.Zinabeba miraa😀😀 kuna Isuzu Fulani hivi nazo kama ford ranger na pia kuna voxy wagen fulani nazo kama ford
Halafu sijui kwa nini wanafagilia sana isuzu unakuta hata canter zao ni isuzuIsuzu D-Max,wakenya huwaambii kitu khs hizo.Zinabeba miraa
Hii ndiyo gari. Kuna moja imenyanyuka zaidi halafu tairi zimekaa kama ina matege ya nje. Ni kali sana. TZS ngapi hii kwa wastani?
Wildtrack nitainunua siku moja ndoto zisipobadilika huko mbeleni.Hizi chuma zimeanza kujaa jaa mjini, hafu sio poa zinafaa kwa kila matumizi aisee.
View attachment 3332835
Muonekano wake umekaa vema. Sio nje sio ndani.View attachment 3332836
Ford Ranger, Ford Ranger Raptor, Ford Ranger Wildtrak ni dream truck.
Tundra nimeiona juzi n bei gan?Toyota Hilux na wao waliona Bora waige kwenye ford ranger raptor..
Toyota Wana TRACOMA na TUNDRA hizi pick up wamekopi kilakitu View attachment 3333258
Ila hii chuma imekaa vizuri.Toyota Hilux na wao waliona Bora waige kwenye ford ranger raptor..
Toyota Wana TRACOMA na TUNDRA hizi pick up wamekopi kilakitu View attachment 3333258
Nahisi inafika Hadi milioni 150Tundra nimeiona juzi n bei gan?
Toyota ni wabishi sanaIla hii chuma imekaa vizuri.
Jipana kweli kweliNahisi inafika Hadi milioni 150
Mwanaume anazawadiwa gari bila hata ukakasi unaandika hvoKuna bwana mdogo mmja alikuwa nayo raptor alizawadiwa na rafiki zake raia wa Canada asee ni truck matata sana hizo nilibahatika kuendesha mara kadhaa.
Isuzu ni D max ni ngumu sana mkuu..Halafu sijui kwa nini wanafagilia sana isuzu unakuta hata canter zao ni isuzu
Daah mkuu hakuna Ford ya kuanzia 2017 kuja mbele utaikuta Nairobi kwa bei hiyo na wao wana kodi kubwa kuliko Tanzania.Gari hizi nzuri lakini bei yake hapana, 120M huko sio poa....ila Kenya kidogo bei zimepoa, kukuta mtu anauza ambayo imenyooka million 70 au 60 ya kitanzania kawaida...nitaendesha hii gari inshallah
Inaitwa Isuzu D max nimeielewa sana😀😀 kuna Isuzu Fulani hivi nazo kama ford ranger na pia kuna voxy wagen fulani nazo kama ford
Hata bei yake hapa Johannesburg zinakimbizana na Ford na Toyota muda mwingine yenyewe inakua juu.Inaitwa Isuzu D max nimeielewa sana