lost files
JF-Expert Member
- Apr 17, 2025
- 655
- 1,792
Haha bahati mbaya sikuangalia mwaka ila nilikua nazungumzia ambayo ipo road kwa mtu kama huku number D ,nimeanza kuogopa..kwa bei kitonga inaweza patikana kiasi ganiDaah mkuu hakuna Ford ya kuanzia 2017 kuja mbele utaikuta Nairobi kwa bei hiyo na wao wana kodi kubwa kuliko Tanzania.