Ila Ford Ranger zimekaa kibabe

Ila Ford Ranger zimekaa kibabe

Haha bahati mbaya sikuangalia mwaka ila nilikua nazungumzia ambayo ipo road kwa mtu kama huku number D ,nimeanza kuogopa..kwa bei kitonga inaweza patikana kiasi gani
Ford zipo za SA,USA,Ulaya,Japan na Singapore ndio zimejaa huko East ukiangalia body zipo sawa ila ugumu wa machine zimetofautiana sana kutokana na matunzo ya nchi zinakotoka ndio maana unaona mwingine atasema inamsumbua hiki na mwingine hata asumbuliwi kabisa.
 
Hali ya hewa ya ZA , inasadifu nchi nyingi za afrika ndio maana magari ya south yanahimili hata bongo na uzuri mengi ni miaka ya mbele , 2015 kupanda juu, check fortuner hizo , check ineos grenedear, Pana brands kibao za kibabe ambazo hata Barbarani unajua unaendesha
 
Mkumbuke muonekano wa RAM na GMC pickups za kibabe Sana na bei imesimama kwelikweli
Nadhani kwenye pick-ups pesa yako tu. RAM, Silverado, nk za USA zina udambwi moja hatari.
2022_Chevrolet_Silverado_2500HD_High_Country,_Front_Left,_11-21-2021.jpg
2019_Ram_1500_Laramie,_front_2.28.20.jpg
 
Nina 2.2, 4 cylinder diesel ya 2017 HR mafuta ni kama unatumia passo na ipo 3.2 wildtruck ya 2018 hii ni 5 cylinder diesel pia mafuta kawaida ila sio kama hiyo yenye engine ya Puma nawashukuru sana Ford ranger nawavutia pumzi nivute hiyo Everest ingawaje ina kodi kuanzia 43m Tsh ntalileta nalo Arusha yawe pamoja...
Ford nilikua siwajui kabisa nilinunua Bantam mwaka 2012 nikashangaa mbona ni Kigari kumbe hawa kaka zake watakua wana vitu zaidi sikukosea aisee..
Hongera sana mkuu
 
Daah mkuu hakuna Ford ya kuanzia 2017 kuja mbele utaikuta Nairobi kwa bei hiyo na wao wana kodi kubwa kuliko Tanzania.
Sio kweli, kenya kodi ni kubwa kwa matoleo ya zamani ila matoleo mapya ya magari kodi sio kubwa. Ndo mana kenya latest car zipo nyingi sana kuliko bongo. Kule hawatak uchafu huo wa matoleo ya zamani. Sio bongo mtu huna hela unaona uagize gari toleo la 2010, angalau upunguze gharama za kodi.
 
Sio kweli, kenya kodi ni kubwa kwa matoleo ya zamani ila matoleo mapya ya magari kodi sio kubwa. Ndo mana kenya latest car zipo nyingi sana kuliko bongo. Kule hawatak uchafu huo wa matoleo ya zamani. Sio bongo mtu huna hela unaona uagize gari toleo la 2010, angalau upunguze gharama za kodi.
Mkuu kodi ni ndogo kwa gari mpya ila sio inayolipika kirahisi kodi ndogo ni Zambia na Malawi ila sio Kenya,sema wakenya wengi wana uchumi mkubwa ndio maana unaona pia wanaagiza gari za miaka ya karibuni na aina yeyote uliza Raptor ya 2022 kodi yake utaambiwa kiasi gani hapo..
 
Back
Top Bottom