Ila Dar, mnapasifiaga bure tu. Hakuna lolote!

Ila Dar, mnapasifiaga bure tu. Hakuna lolote!

tucker carlson

Senior Member
Joined
Oct 5, 2025
Posts
133
Reaction score
531
Wakati nipo kijijini nilikuwa naambiwa Dar Es Salaam kuna maisha mazuri, fursa ziko nje nje.

Baada ya kumaliza Form 6 nilikuja kuishi huku ili niweze kujitafuta, kwa kweli nilikuta mambo tofauti na nilivyotegemea kwani hata kupata tu hizo fursa lazima uwe na ‘connection’

Kwanza siku nafika, nilipofika stendi, nilikuta watu wengi kiasi kwamba hata kupishana ni shida. Kutoka stendi hadi kwa mwenyeji wangu ilichukua saa tatu kutokana na foleni, huku tukiwa tumesimama kwenye Daladala.

Mji una kelele muda wote, na mitaani kila mtu anakuvuta kununua kitu au anajaribu kukutapeli. Baada ya miezi mitatu nilishindwa, nikarudi mkoani.
 
Nchi ya Tanzania ina wakazi milioni 62+ kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya 2022

DSM pekee, ina wakazi milioni 8+

Ukiweza kubuni biashara ya kuweza kuwafikia wateja 200 pekee kwa siku, hukosi kulaza shilingi 100,000 iwapo utakuwa unazalisha faida ya shilingi 500 kwa siku


Karibu tena DSM
 
Nchi ya Tanzania ina wakazi milioni 62+ kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya 2022

DSM pekee, ina wakazi milioni 8+

Ukiweza kubuni biashara ya kuweza kuwafikia wateja 200 pekee kwa siku, hukosi kulaza shilingi 100,000 iwapo utakuwa unazalisha faida ya shilingi 500 kwa siku


Karibu tena DSM

Hii ni kweli kabisa.
 
Wakati nipo kijijini nilikuwa naambiwa Dar Es Salaam kuna maisha mazuri, fursa ziko nje nje.

Baada ya kumaliza Form 6 nilikuja kuishi huku ili niweze kujitafuta, kwa kweli nilikuta mambo tofauti na nilivyotegemea kwani hata kupata tu hizo fursa lazima uwe na ‘connection’

Kwanza siku nafika, nilipofika stendi, nilikuta watu wengi kiasi kwamba hata kupishana ni shida. Kutoka stendi hadi kwa mwenyeji wangu ilichukua saa tatu kutokana na foleni, huku tukiwa tumesimama kwenye Daladala.

Mji una kelele muda wote, na mitaani kila mtu anakuvuta kununua kitu au anajaribu kukutapeli. Baada ya miezi mitatu nilishindwa, nikarudi mkoani.
Anayepasifia Dar atakuwa Mwehu au atakuwa ametoka SITIMBI ndani ndani.


Dar % kubwa haijapangika ,hauwezi kuwa na mji mzuri ukiwa na 90% SKWATA...na ndiyo maana kuna slums za kutosha na jiji linanuka VIMA na mitakataka kibao barabarani ,mitaro imejaa mimaji michafu na majani kibao ,barabara pembezeno michanga inataka kufika hadi centre ya barabara.

Ningepata nafasi ya kuongoza TZ hata mwaka tu ,nchi ingekuwa kama Rwanda kwa usafi....Ningefunga watu jela kwa kukiuka sheria za usafi.....Ningeanza na mitaani nyumba yako haitakiwi iwe imezungukwa na mauchafu au mijani isiyoeleweka na uchafu unaweka kwenye Pipa gari za taka zitakuja kuzoa....Gharama ni za serikali.
 
Nipo dar.ukweli pazuri ni masaki,salasala na mbweni tu.Sasa imagine mtu anaishi tandale,manzese,magomeni,kawe na mbulahati.

Kwa wanawake sasa ni wananuka midomo kwa kauli chafu na wanavitembeza kwa kugawa ngwengwe kama taasisi za misaada,na ndio maana watoto wengi wanaolelewa kwenye mji huu ni laana tu.
 
Nipo dar.ukweli pazuri ni masaki,salasal na mbweni tu.Sasa imagine mtu anaishi tandale,manzese,magomeni,kawe na mbulahati.

Kwa wanawake sasa ni wananuka midomo kwa kauli chafu na wanavitembeza kwa kugawa ngwengwe kama taasisi za misaada,na ndio maana watoto wengi wanaolelewa kwenye mji huu ni laana tu.
Umeshafika kibada?
 
Back
Top Bottom