shiumiti
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 435
- 19
Wana jamii asubuhi hii wakati napitia magazeti, nimeona kichwa cha habari kikisema "kuelekea kampeni, Ikulu yazui mawaziri kwenda nje ya nchi...... Hii ikanishtua kidogo, nikasema ngoja niiweka hapa tuweze kujadili..... sijui hii mnaionaje majameni???????