Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
itakua kipindi amejitumbua na kwenda kubeti kigamboninoMbona sjamuona Makonda hapo hiyo pich kweli ni geinuine ?
Jamani mtoa maada yupo sawa kichwani kweli🙉🙊🙈!?IKULU YA TANZANIA NI MAHALI PATAKATIFU SANA KIASI KWAMBA Don NALIMISON HASITAHILI KUINGIEMO.
DON NALIMISON sijawahi kuingia Wala kukanyaga miguu yangu IKULU ya Tanzania na Nina aapa kwa Mamlaka ya Mungu ambaye ni Malaika Mkuu sitakuja kukanyaga kamweee katika Maisha yangu, tena mpaka kufa kwangu. Mimi naishi kwa kufuata KATIBA na SHERIA nasio VITISHO.@Don Nalimison.
View attachment 1517096
Del hujapona badoIKULU YA TANZANIA NI MAHALI PATAKATIFU SANA KIASI KWAMBA Don NALIMISON HASITAHILI KUINGIEMO.
DON NALIMISON sijawahi kuingia Wala kukanyaga miguu yangu IKULU ya Tanzania na Nina aapa kwa Mamlaka ya Mungu ambaye ni Malaika Mkuu sitakuja kukanyaga kamweee katika Maisha yangu, tena mpaka kufa kwangu. Mimi naishi kwa kufuata KATIBA na SHERIA nasio VITISHO.@Don Nalimison.
View attachment 1517096
Leo ngoja nigoogle huyu don nalimison ni nani...IKULU YA TANZANIA NI MAHALI PATAKATIFU SANA KIASI KWAMBA Don NALIMISON HASITAHILI KUINGIEMO.
DON NALIMISON sijawahi kuingia Wala kukanyaga miguu yangu IKULU ya Tanzania na Nina aapa kwa Mamlaka ya Mungu ambaye ni Malaika Mkuu sitakuja kukanyaga kamweee katika Maisha yangu, tena mpaka kufa kwangu. Mimi naishi kwa kufuata KATIBA na SHERIA nasio VITISHO.@Don Nalimison.
View attachment 1517096
Acha kupoteza nguvu zako huyu akili zake anazijua mwenyewe.Una akili timamu???
Ikulu kuna wafanyakazi wa kawaida kabisa wanaishi mle, mwanao, ndugu yako anaweza akawa anaishi ikulu ukatakiwa kwenda kumsalimia
Msipende kujiapiza kwa kitu ambacho haukijui,.ni aibu, ujinga, uzandiki..
Halafu mpaka maulana ni kama anakuuliza "why?"
Kama uko frustrated na maisha wajumbe wamekutibua, kaa kimya