KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
hivi jamani kwanza naomba samahani sisi wengine hatuna vyama na wala hatutalajii kujiunga na vyama, hivi hakuna hata siku moja ishu za kijamii tukazijadili bila kuweka mambo ya vyama vya cdm ccm, wengine twasikia vibaya na hatupendi kuona kilka suala mwawek mambo ya vyama, kwani hata kama cdmwangepata nafasi hiyo wangeweza kutekeleza hayo ambayo ccm imeshindwa au inayafanyia mzaha? Tuondoe mambo ya cdm na ccm tuchangia hoja bila kuwataja hao, mbona sijasikia cuf na wengine wakitajwa?
Hapo kwenye red unadhihirisha wewe ni mwanasiasa na ni ccm