AbaMukulu
JF-Expert Member
- Jan 1, 2018
- 2,048
- 3,568
Ninayatafakari maneno ya JPM kuhusu utendaji kazi wa RAIS WA MKOA WA DSM kwamba hauridhishi.
Halikadhalika kwa Aly Happi.
Je Anguko lao liko njiani? Au JPM amewapa nafasi nyingine ya kujirekebisha??
Au ameshindwa kuwatumbua sababu hakuna watu wengine ndani ya chama/circle yake ambao wataziweza kazi zao?
MUDA UTAONGEA