Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,166
- 45,872
Sanaakaazi kwelikweli
Sanaakaazi kwelikweli
Mungu hapendi wizi, nyie mnajua wazi kabisa kura hazikutosha akaingia kwa kura za wizi! Leo mnasema Maamuzi ya Mungu? ina maana Mungu anasupport wizi wa kura? Acha utani basi! Sema nguvu za shetani ndio ziliamua awe raisi!Rais John Pombe Magufuli amesema yeye kuchaguliwa kuwa Rais siyo kwa kuwa yeye ni mzuri sana kuliko Watanzania wote bali ni Mungu ndiye aliyeamua. Hivyo akawaasa Viongozi hao kuwa katika nafasi zao, ni Mungu ndiye aliyeamua kuwapa nafasi zao ili kuwatumikia Watanzania.
Wimbo huwa unachuja ukiupenda sana!hotuba nzima kwa mara ya kwanza hajaongelea viwanda
Umekosea, Bila ccm-imara!Hongereni sana. Mkatekeze ilani yetu kwa vitendo. "Bila CCM nchi itayumba-Nyerere "
Mungu hapendi wizi, nyie mnajua wazi kabisa kura hazikutosha akaingia kwa kura za wizi! Leo mnasema Maamuzi ya Mungu? ina maana Mungu anasupport wizi wa kura? Acha utani basi! Sema nguvu za shetani ndio ziliamua awe raisi!
Sasa hivi wimbo wa madege ndio unao trendWimbo huwa unachuja ukiupenda sana!
Vile mlivyo futa uchaguzi zanzibar ni wazi kuwa mliangukia pua,unataka proof gani tena?Tuonyeshe proof yoyote ya kwamba kura hazikutosha au jifungie tu mdomo wako.
Chakula tena?Vipi ile chakura yake imeshakura kiapo...?
Vile mlivyo futa uchaguzi zanzibar ni wazi kuwa mliangukia pua,unataka proof gani tena?
Duh
Waandika kama vile uliniweka kwenye hao..
Kitukoooo eeeeeh ya Zenji sasa🙃
Wasisahau na kuweka watu ndani masaa 48!enendeni mukafanye kazi ili tusonge mbele
We nakujua mzee wa burudani, naona jiwe limekupiga!Tuonyeshe proof yoyote ya kwamba kura hazikutosha au jifungie tu mdomo wako.
Jamani hamjui siasa? Hiyo ni justification ya Dodoma kuwa City, na mapato mengi kutoka central kuelekezwa huko!Inawezekana mkuu kama mikoa mingine kama dar kutakuwa na upigaji au usimamizi ukawa sio mzuri
Ni za kutengeneza ndio, ili ku justfy Dodoma kuwa jiji, na fungu toka serikali kuu lielekezwe huko kwa wingi!Dodoma kuongoza kimapato lazima ushtuke hata kama siyo mtu wa uchumi.Vyanzo vya mapato mbona havieleweki au takwimu za kutengeneza.
Na wasiojulikana walichaguliwa na Shetani?Waziri mkuu hata sijui nlimchaguaje, wapo watu walioenda Dodoma wakiwa wamevaa na suti wakijua wanakuwa mawaziri wakuu. Na sio kwamba Waziri Majaliwa anafaa sana bali Mungu ndo aliamua na vivo hivyo katika nafasi zenu, Uwe mkuu wa mkoa, jeshi, Magereza. Nafasi hizi zimepangwa na Mungu alitaka tuzipate. Tukijua hilo, tutafanya mema sana. Usipojua hilo, hutatenda haki kwa wale unao waongoza.
We hujateuliwa tu! Kwisha kazi yako!Wateuliwa wakiyazingatia hayo mawaidha tutafika mbali sana kama Taifa.
Tanzania kila kitu kinawezekana!Maajabu ya Dodoma kuongeza ukusanyaji wa mapato, ndicho ninachokiuliza. Dodoma hata manispaa ya morogoro inaweza ishinda.
Mkuu tunaomba mrejesho wa watu waliotelekeza watoto!Kijana ana piga kazi sana tu. Sema nyie hamridhiki